Je, kalishwa (kagundulika) na Sumu ili iweje?
A. Ameonekana ni Mtetezi Mkuu wa wale Wanaoonewa, Kubaguliwa na Kudharauliwa pasipo sababu za Msingi?
B. Alikuwa akipingana na Maamuzi yenye Viashiria vya Chuki na Kukataa tabia ya Ukabila katika Kupeana Vyeo?
C. Hakubaliani na Upuuzi kama siyo Upumbavu Uliokubuhu unaoendelea hivyo ni kama anamdharau Mwamba?
D. Anatoa sana Siri za Vikao Nyeti kwa Maadui Hatari wa ndani na wenye Ushawishi mkubwa ndani ya Usalama na Jeshi?
Nawatakieni Mtihani mwema nyote.