Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu tupe hicho kisa haraka kadri inavyowezekanaIsije ikawa imetengenezwa kuwaweka ndani au kuwapekuwa majumbani watu fulan wakubwa ndani ya Chama
Siasa za mataifa yanayojiita ya Kijamaanni siasa hatare sana
Ntakuja kuwapa kisa kilipoanzia hadi kuwatoa Wizaran kina Emanuel Nchimbi na Shamsi Vuai pamoja na Hanis Kagasheki ambao wote walikuwa team Mamvi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna tatizo hapo. Hayo yalitakiwa kusemwa na mahakama/hakimu. Maneno ya namna hiyo kwa nchi nyingine ni issue lkn kwetu ni kawaida maana tumeyazoea"..............................litachukua hatua kali kwa mtu yeyote atakaye bainika kupanga,......." napata shida kuelewa hii "statement" kwani zaidi ya kukamata, kuchunguza na kumpeleka mtuhumiwa mahakamani hatua kali zinazongunzwaga na Jeshi letu ni zipi kwa mujibu wa Katiba?
Choose Chonde wajamen. Mzee Mangula upone haraka na uishi muda mrefu.Maccm yanataka kuuana
WanaCCM hawaachiani maji ya kunywa mezani - Kikwete
Mangula baada ya kutumikishwa wanataka kumng'oa , ama kweli shetani hana rafikiMbobezi alikataamaji ya kunywa kikaoni akanywa aliyopewa na mkewe