Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
- Thread starter
-
- #61
Nimecheka kama mazuriNipende kutoa pongezi kwa Mama yetu kwa kutumia intelijensia kuwakamata Tanzania prisons kwa kosa la kuzidisha spidi. Pia nipende kuwapongeza polisi na rto kwa kutuma silaha za moto na mabomu kwa Tanzania prisons. Nipende kuzisihi na kuziomba taasisi nyingine zikae kwa utulivu kwani kila mtu atafikia na madhira haya.
duh kwamba magereza nao ni product ya ccp!? are you serious expert member?Sasa wote si polisi? Na wote ni product ya CCP ππ
Kuna agenda zinasukwa kwa kas sana kuelekea 2025...
Wazir wa Utumish kaa chonjo π
Wauwane tuππ€£ Kama Kuna polisi bahati mbaya alifanya kosa na Yuko magereza au ndio Yuko kwenye process ya kuelekea huko ajipange.... Revenge yake SI mchezo.....
Wazungu wanasema, "our chicken are coming home to roast" Unapereka vilaza wa form 4,wale waliofeli chini kabisa, wawe polisi! Unategemea nini?Naaaaaam naona kila MTU atafikiwa Tu. Ni suala la Muda Tu. Hapa ni Tanzania Prisons wakiwa wamezuiliwa Iringa kwa kosa la Overspeeding, normal speed ilitakiwa iwe 80km/HR yeye kaendesha kwa 85km/HR. Wakamdaka kuanzia saa tano asubuhi Hadi jioni.
Jamaa wa Prison anapiga mkwara kuwa very soon Polisi "watawaelewa" Tu. Naam kama huna bando la mawazo angalia video hapa.
View attachment 3171523
MbuyaAmang'ana Gasarikile
Hata ukiwa na msala wa kawaida tu na pengine umesingiziwa yaani anakuwa anakukataa kiaina na tena anajifanya file lipo mamlaka za juu, na hapo hujamwomba msaadaNakubaliana na wewe.ata ukiwa na rafiki akawa police ana badilika kabsaa hili nme lishuhudia kwa rafiki zangu wawili. Kazi ya kishenzi sana hii
O
Magereza ni kiwira mbeyaSasa wote si polisi? Na wote ni product ya CCP ππ
Kuna agenda zinasukwa kwa kas sana kuelekea 2025...
Wazir wa Utumish kaa chonjo π
na amani duniani kwa watu wenye mapenzi mema!!Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana!
Hizi ndo habari unazo penda kusikia.Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana!
Kwahiyo wao Magereza wana haki ya kuvunja sheria? Je wakigonga na kusababisha vifo watasemajeNaaaaaam naona kila MTU atafikiwa Tu. Ni suala la Muda Tu. Hapa ni Tanzania Prisons wakiwa wamezuiliwa Iringa kwa kosa la Overspeeding, normal speed ilitakiwa iwe 80km/HR yeye kaendesha kwa 85km/HR. Wakamdaka kuanzia saa tano asubuhi Hadi jioni.
Jamaa wa Prison anapiga mkwara kuwa very soon Polisi "watawaelewa" Tu. Naam kama huna bando la mawazo angalia video hapa.
View attachment 3171523
Wengine ni product ya KiwiraSasa wote si polisi? Na wote ni product ya CCP ππ