Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Hiyo sio mechi ya mpira, punguza kushabikia mambo ya ajabuKikosi Maalum Cha Kutuliza Ghasia Magerezani (KMKGM) vs (FFU) Fanya Fujo Uone Field Force Unit
Tujue nani mwamba Magereza vs Polisi kupitia vikosi vyao maalum KMKGM vs FFU
Ni ile basi tu aonekane lakin hamna kitu hapo. Good operator anajua kubeba vitu ambavyo atatumia kwenye specific task. Hapa ndio unaona tofauti yao na sf guys wa tpdf
Wanataka kuwapoteza maboya msiba wa yule dogo wa TRAMwanzo Mzuri sana
Aibu gani Sasa hapo so wangewaachaIla Ni Aibu Kwa Taifa Sana Angekuwa RPC Amefanya Mwendo Wa Ngiri Mkia Juu Angekamatwa
Mama amefungua Nchi, Safi sana.Mwanzo Mzuri sana
Mpambano mtamu sana utakua.Kikosi Maalum Cha Kutuliza Ghasia Magerezani (KMKGM) vs (FFU) Fanya Fujo Uone Field Force Unit
Tujue nani mwamba Magereza vs Polisi kupitia vikosi vyao maalum KMKGM vs FFU
Magareza wana chuo chao kipo Mbeya.Sasa wote si polisi? Na wote ni product ya CCP 😂😂
Kuna agenda zinasukwa kwa kas sana kuelekea 2025...
Wazir wa Utumish kaa chonjo 😂
Acha ufala sikiliza vizuri tumia adabu kwenye kufikiria na tafakari yako iwe Ina akili timamuWazungu wanasema, "our chicken are coming home to roast" Unapereka vilaza wa form 4,wale waliofeli chini kabisa, wawe polisi! Unategemea nini?
Yaani huyu mpuuzi anaamini kwa vile yeye ni polisi, ana haki yq kuvunja sheria, na anategmea polisi kitengo cha barabarani, wamuache! Pimbi kabisa, stupidity of highest level
Zamani ilikuwa hivyo polisi,magereza,uhamiaji,zimamoto,walikuwa walikuwa wanachukulia mafunzo chuo kimoja cha polisi moshi.Magareza wana chuo chao kipo Mbeya.
🤣 🤣 🤣Amang'ana Gasarikile
🤣 🤣 🤣Pale vibaka wanapovamia mtaa wa vibaka wenzao.
Inapendeza sana sasa nyumba moja imeanza kufarakana kwa ugomvi wa ndani wao kwa wao.
Wananchi sasa wameonyesha mfano ukijaribu tu vioo vinasagwa na mawe na mtekaji anafia humo humo ndani ya gari
Ahsanteni sana Tegeta kwa ndevu , hiyo ndio maana halisi ya kazi iendelee.
View attachment 3171535
Lakini wote hao ni polisi tofauti ni majina na majukumu ndio maana wamewekwa wizara moja.Zamani ilikuwa hivyo polisi,magereza,uhamiaji,zimamoto,walikuwa walikuwa wanachukulia mafunzo chuo kimoja cha polisi moshi.