Polisi na Magereza watunishiana Msuli Iringa

Polisi na Magereza watunishiana Msuli Iringa

Yani Kwa nnavyomjua Mimi haya majeshi huwa wanaongea vizuri tu na kama Kuna kasoro wanelekezana ila ukijifanya mjuaji na hutaki kujua au kukiri kosa lako hapo ndo huwa wanakomeshana.

Huyo magereza anayeongea hapo anaonekana ana kisirani sana ndo maana wameamua wawakomeshe.

Mimi kwetu watu wa majeshi ni wengi na mara nyingi nimesafiri nao sana wakiwa wanasafiri huwa wanaendesha Kwa fujo sana njiani na akikamatwa na traffic wanakiri kosa na kuongea kistaarab na mara nyingi huwa yanaisha na ni mara moja tu nimeshuhudia akipigwa faini sababu wakuu mbali mbali walikuepo ili kuua soo!

Sasa huyo jamaa yenu wa magereza kwanza inaonekana Hana nidhamu kabisa na anaweza kuadhibiwa Kwa alichokifanya kutuma mtandaoni na inavyoonesha tu huyu alikuwa anaambiwa makosa yake anakuwa mkali et kisa na yeye ni askari, humo kama kungekuwa na silaha angetembea spidi yoyote lakini Kwa kuwa Kuna watu basi fata Sheria inavyosema!
Katika kitu ambacho siamini eti kwamba Rto alivyowasimamisha hakutaka kuongea nao na kuwapeleka kituo Cha police moja Kwa moja hiyo hapana asee siamini kabisa
 
Naaaaaam naona kila MTU atafikiwa Tu. Ni suala la Muda Tu. Hapa ni Tanzania Prisons wakiwa wamezuiliwa Iringa kwa kosa la Overspeeding, normal speed ilitakiwa iwe 80km/HR yeye kaendesha kwa 85km/HR. Wakamdaka kuanzia saa tano asubuhi Hadi jioni.

Jamaa wa Prison anapiga mkwara kuwa very soon Polisi "watawaelewa" Tu. Naam kama huna bando la mawazo angalia video hapa.
View attachment 3171523
Polisi bana wamezingua sana hapa.
 
Naaaaaam naona kila MTU atafikiwa Tu. Ni suala la Muda Tu. Hapa ni Tanzania Prisons wakiwa wamezuiliwa Iringa kwa kosa la Overspeeding, normal speed ilitakiwa iwe 80km/HR yeye kaendesha kwa 85km/HR. Wakamdaka kuanzia saa tano asubuhi Hadi jioni.

Jamaa wa Prison anapiga mkwara kuwa very soon Polisi "watawaelewa" Tu. Naam kama huna bando la mawazo angalia video hapa.
View attachment 3171523
Siwapendi polisi jaman, niliendaga siku moja kituo kimoja kikubwa kuulizia huduma ya sticker ya nenda kwa usalama, nimefika nimesalimia hata hajaitikia anasema sema shida yako, nilichukia yaani kwanza mshahara hanizidi, nimemuacha mbali kielimu hanifikii yaani nilimdharau nikasema hizi ndude sijui zinajionaje kwa mfano,. Nakumbuka niliendaga Jwtz pale Mgulani enzi za duka la jeshi yaani niliulizwa kitu na nikajibiwa vzr, the same to magereza kwa kweli.

Baba yangu alikuwa polisi na hakuwa na tabia mbaya kama za makauli ya ajabu, alikuwa mtu wa watu na msaada kwa wale walioonea, siku moja mtu mmoja alipelekwa kituoni na akawekewa bangi mfukoni nakumbuka baba yangu aliwafokea sana wale watu na akataka kuwaweka rock up na yule mtu akaachiwa, yaani ile picha hadi leo hainitoki nilikuwepo pale sikuelewa kitu ila usiku nyumbani Baba alikuwa akielezea na kusikitika kwa uchungu namna yule mtu alivyotaka kuonewa. Kuna mahali Polisi huwa mnajisahau hamjui pia mtatukuta huku kwenye taasisi zingine sema mm sina roho mbaya so ningekuwa nalipiza lakini nimekula kiapo kwa kweli.

Polisi, nyinyi mjirekebishe kauli zenu kwa wateja wanaoleta malalamiko, lakini muangalie haki za watu sio mnawakandamiza kwa sababu hawana hela, Mungu atawalipa kwa kweli.

Ushauri wangu, mngekuwa nyie wenyewe mngeongeza speed hadi mia moja so msifanyiane hivyo maana hata course nahisi huwa mnakutana, nimechukizwa sana na hii kitu.
 
Naaaaaam naona kila MTU atafikiwa Tu. Ni suala la Muda Tu. Hapa ni Tanzania Prisons wakiwa wamezuiliwa Iringa kwa kosa la Overspeeding, normal speed ilitakiwa iwe 80km/HR yeye kaendesha kwa 85km/HR. Wakamdaka kuanzia saa tano asubuhi Hadi jioni.

Jamaa wa Prison anapiga mkwara kuwa very soon Polisi "watawaelewa" Tu. Naam kama huna bando la mawazo angalia video hapa.
View attachment 3171523
Polisi ni watu wa hovyo sn
 
Pale vibaka wanapovamia mtaa wa vibaka wenzao.

Inapendeza sana sasa nyumba moja imeanza kufarakana kwa ugomvi wa ndani wao kwa wao.

Wananchi sasa wameonyesha mfano ukijaribu tu vioo vinasagwa na mawe na mtekaji anafia humo humo ndani ya gari

Ahsanteni sana Tegeta kwa ndevu , hiyo ndio maana halisi ya kazi iendelee.
View attachment 3171535
Tumefika pazuri sn
 
Sasa wote si polisi? Na wote ni product ya CCP 😂😂

Kuna agenda zinasukwa kwa kas sana kuelekea 2025...

Wazir wa Utumish kaa chonjo 😂
Magereza hawaendi CCP wana vyo vyao mojawapo kipo kiwira huko Mbeya although wote ni vyombo vya dola busara ilipaswa itimike japo wacha moto uwake wagombane wao kwa wao ndio fresh ili askari polisi nao wakiingia kwenye mia za magereza wafurahishwe no favours hapo ncho itaenda. Ikiwezekana na PCCB walianzishe na Usalama wa Taifa walianzishe yani kila state machinery itimize wajibu wake bila kubebana hapo mambo yataenda mswano.
 
Huwa naona magereza wana nafauu kidogo ndiyo maana hata watu wakitoka magereza huwa hawana chuki na magereza kama polisi
Ofcoz magereza mafunzo yao yamejikita zaidi kwenye ukakamavu na kuwarekebisha wahalifu kuwa raia wema kwenye jamii ndio maana nchi za wenzetu including Zanzibar wanaita chuo cha mafunzo sio magereza maana wamebase zaidi kwenye rehabilitation even marekani wanaita Correction facility. Polisi ni mwehu tu mafunzo yao mazuri lakini hawayatilii maanani wanahisi yale mafunzo ya ukakamavu yamelenga uhuni tu. Ni wahuni wahuni tu.
 
Naaaaaam naona kila MTU atafikiwa Tu. Ni suala la Muda Tu. Hapa ni Tanzania Prisons wakiwa wamezuiliwa Iringa kwa kosa la Overspeeding, normal speed ilitakiwa iwe 80km/HR yeye kaendesha kwa 85km/HR. Wakamdaka kuanzia saa tano asubuhi Hadi jioni.

Jamaa wa Prison anapiga mkwara kuwa very soon Polisi "watawaelewa" Tu. Naam kama huna bando la mawazo angalia video hapa.
View attachment 3171523
Kumbe magereza kama Chadema tu 😂😂😂
 
Magereza ni wana sana. Uwepo magereza ama kitaa. Jamaa huwa hawagombani na watejabwao. Sijawahi kusikia raia wakilalamikia magereza.
Malalamiko yapo lakini ni kwa kiwango cha chini sn, mtu akikaa polisi anatoka analalamika na kujenga uhasama lakini akitoka magereza anasema poa tu japo ananyimwa uhuru wa kuongea na cm au kuonana na ndugu zake n.k
 
Back
Top Bottom