Synthesizer
Platinum Member
- Feb 15, 2010
- 12,699
- 22,598
Hapa nchini kwetu Tanzania, kuna taasisi mbili za serikali ambazo nazichukia kwa moyo wangu wote. Yaani taasisi hizi zingekuwa ni wanadamu nikaona wanaelekea kutumbukia katika shimo hatari na nisipowatahadharisha watakufa, ningekaa kimya ili wapotelee mbali.
1. Jeshi la Polisi Tanzania
2. Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)
Hizi ni taasisi ambazo naona utendaj wake ni wa dhuruma, kukomoana, kuoneana, kubambikiziana, na kujiona wao ni miungu watu ambao wako juu sana ya Watanzania wengine, na ni haki yao kupewa rushwa.
1. Jeshi la Polisi Tanzania
2. Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)
Hizi ni taasisi ambazo naona utendaj wake ni wa dhuruma, kukomoana, kuoneana, kubambikiziana, na kujiona wao ni miungu watu ambao wako juu sana ya Watanzania wengine, na ni haki yao kupewa rushwa.