Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
>una moyo wa chadema Wewe sibure /huna shukrani
Amaa, kumbe kwenu mnaoa wanenu, sikujua!Huenda umeoa mwanao pia!Basi muoe wewe [emoji1787][emoji1787]
Eboo, wewe vipi? Ni sawa na dereva wa KIlimanjaro kusema abiria wake wamekosa shukurani wanamlaumu wakati alitaka kuwawahisha Dar!KUNA WATU WAMEKOSA SHUKURANI KABISA UNALALA USIKU KUCHA KWA AMANI, UNAFANYA SHUGHULI ZAKO KWA AMANI UKIIBIWA KUNAKWENDA POLISH KURIPOTI SHIDA YAKO INATATULIWA,
MKuu hata wachawi kuna wakati wanalala!Hawa watu sijui wanapataje usingizi.
CCM ni laana ya hili Taifa yaani Sheria zinatungwa na kina Msukuma,Jah People,kibajaji & co Ambao ni std sevenKuchukia Polisi na TRA ni kudhihirisha kuwa uwezo wako wa kufikiri una wakakini. Wachukie waliotunga sheria za namna ya kuendesha hizo taasisi.
Marehemu Masaburi alikuwa sahihi sana.CCM ni laana ya hili Taifa yaani Sheria zinatungwa na kina Msukuma,Jah People,kibajaji & co Ambao ni std seven
Halafu zinakuja kutafsiriwa na kina kibatalah,Tundu Lissu,Fatma Karume na majaji wenye CV zilizoshiba
What a joke
Only Tanzania you will see the Miracles!
😁😁😁😁😁🔥🔥