Polisi Tanzania 1-1 Yanga SC | Sheikh Amri Abeid Stadium | VPL

Tunasubili match yenu nanyi ili tuwambie wamisri na wakongo kuwa nyinyi huku kwetu tz n underdog 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣
Mtani wamisri na wakongo hawawezi kuamini maneno yako, kwani hao wote wamechezea kichapo cha mbwa koko. Bora hunyamaze tu mtani au unishangilie kimya kimya🤣🤣🤣🤣🤣
 
🤣🤣🤣🤣
Mtani wamisri na wakongo hawawezi kuamini maneno yako, kwani hao wote wamechezea kichapo cha mbwa koko. Bora hunyamaze tu mtani au unishangilie kimya kimya🤣🤣🤣🤣🤣
Inatakiwa match yetu na nyie isogezwe ili tuwarahisishie wamisri kuwa nyie si lolote🤣
 
Fiston kaotea,angalia wakati anapewa pasi tayari alikuwa offside!Ukitaka kujiridhisha subiri kipyenga cha mwisho utapata majibu!
CLEAR OFFSIDE ......CLEARLY OFFSIDE.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…