FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Kwa mazingira unayoyasema , kama unasema ukweli, basi kuna jambo zito limejificha. Huu uzi ilioaswa uulete siku mnazuiliwa kumuona, kwa sasa ushahidi umeshapotea..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walitakiwa wampe kazi Ananilea Nkya waone kama igp hasingeng'oka, au Chama cha Kisheria cha kutetea wasio na maarifa ya sheria. Usirogwe kuomba msaada wa Tume ya Haki za Binadamu (ambayo haiko huru na haina meno), tume hiyo ni serikali 100% na polisi pia ni serikali 100%, serikali haiwezi kujifunga yenyewe.Mtoa mada na familia yako kwa ujumla mnaonekana ni wanyonge na wazembe kupitiliza.
Hawa ni wazembe wakubwa ndiyo.Hatuna uelewa mmoja sio kila mtu anajua pa kuanzia haki yake
"Meno ya Mbwa Hayaumani."Walitakiwa wampe kazi Ananilea Nkya waone kama igp hasingeng'oka, au Chama cha Kisheria cha kutetea wasio na maarifa ya sheria. Usirogwe kuomba msaada wa Tume ya Haki za Binadamu (ambayo haiko huru na haina meno), tume hiyo ni serikali 100% na polisi pia ni serikali 100%, serikali haiwezi kujifunga yenyewe.
😄😄Ndiyo maana wazungu wametengeneza mwanamke bandia na mwanaume bandia kukidhi mahitaji ya kimahusiano, mali ukifa unarithisha makambi ya wazee na yatima, period.
Kabisa inaonekana koplo anakibunda kuzid wao.Haki bado inaweza kupatikana, kesi bado mbichi hii lakini kwa unyonge huu inaonesha mtoa mada na familia hamuwezi kuendesha kesi yaani financially hampo vizuri na ndicho kilichowashinda toka mwanzo
Hao ni wazembe waliokubuhukesi yako ni ngumu sana...kwa nchi kama yetu...japo unaweza kutoa malalamiko yako na uchunguzi ukafanyika...je upo teyari kutoa ushirikiano ikihitajika...?
na ilikuwaje mkashindwa kumdhibiti huyo shemeji yenu...je aliwashikia silaha pengine...? uaskari wake kwenye maziko ulikuwa una husikaje husikaje...?
au nyie kwenu mtu akiwa askari mna muogopa...?
Tusimlaumu mleta mada. Hiki unachosema uko sahihi, lakini inategemeana na uelewa wa familia. Wengine hata hiyo postmortem hawaijui.Unaleta umbea Tu usiokuwa na mashiko.
Vifo vyote vyenye utata ndugu hawawezi kuruhusu kuzikwa mpaka ifanyike postmortem itakayoshirikisha Wana ndugu.
Marehemu she is dead and buried, unataka JF tuanze kujadili umbea na illusions?
Pambana na January usirudishe muda nyuma.
Koplo kafaulu kwa sababu uaskari ni kujikana na uoga, wanaondolewa uoga kwenye mafunzo yao.Uwoga ni dhambi.
Ndo hivyo. Ila kwenye case kama hiyo ndugu wa mke wangesimama vizuri uchunguzi ungefanyika, inaonyesha ni waogaHivi ukiolewa inakuwa halal ya mumeo na ndugu zake kiujumla na familia na ndugu zako wanakuwa hawana nguvu ya usemi juu yako?
Nikupambana nao haswaKweli umasikini mbaya.
Inashangaza sana.
Mpaka sasa ushahidi wote wa muhimu tayari umeshapotea.
Mkuu nina binti yangu kwanini nirithishe wazee na yatima?Ndiyo maana wazungu wametengeneza mwanamke bandia na mwanaume bandia kukidhi mahitaji ya kimahusiano, mali ukifa unarithisha makambi ya wazee na yatima, period.
ukiona manyoya?Tarehe 23/1/2023 Tulipata msiba wa dada angu alifariki katika mazingira ya kutatanisha aliolewa na kijana anaitwa Josephat Aron ambaye ni Police pale Ufundi (Kilwa Road) cheo Kopro
Kifo chake kilitupa mashaka kutokana na mgogoro wa ndoa waliokuwa nao na sababu hiyo hatujui mpaka leo hii dada yetu amekufa na tatizo gani kwani baada ya kufariki kijana huyo alitunyima kupima mwili pamoja na taarifa za hosptal juu ya kilichomuua dada yetu
Imefika hatua familia ya marehemu wanatishiwa na hawana amani
Siku ya kumuaga marehemu mdogo wa kike wa marehemu alinyimwa kwenda kumstiri dada yake badala yake alienda mume na kaka ake kumstiri dada yetu ndugu tulichukizwa na iko kitendo cha shemeji mtu kwenda kumstiri marehemu tukaingilia kati hilo mwisho wa siku wakamruhusu mdogo mtu kuingia lakini haikusaidia kwani mume na shemeji wa marehemu walikuwa wameshatangulia
Baada ya kuruhusiwa mdogo wa marehemu na mama zake wadogo wawili walinyimwa gloves kwaajili ya kumvalisha marehemu na walikuta dada yetu amezuriwa maeneo mengi
Ndugu wa mwanamke waliokuwa hospitalini walikatazwa kumuona mgonjwa aliyekuwa anaingia ni Josephat na ndugu yake anaitwa Mwinyi walimuamisha mochwari kutoka hospital alipofia (Hindu Mandal)na kumpeleka mochwari ya kazini kwao anapofanyia kazi ndugu wasiweze kupima mwili
View attachment 2860643
View attachment 2860644
Kabisa pia marehem itakwa alipgwa na koplo.Ndo hivyo. Ila kwenye case kama hiyo ndugu wa mke wangesimama vizuri uchunguzi ungefanyika, inaonyesha ni waoga
huwajui tu... lakini na wao kuna Engle zao ni waoga balaa...ukiwapatia hata magoti wanakupigiqKoplo kafaulu kwa sababu uaskari ni kujikana na uoga, wanaondolewa uoga kwenye mafunzo yao.