DOKEZO Polisi tunaomba msaada. Tunahisi dada yetu ameuawa na mume wake ambaye ni Polisi, inasikitisha sana!

DOKEZO Polisi tunaomba msaada. Tunahisi dada yetu ameuawa na mume wake ambaye ni Polisi, inasikitisha sana!

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Kwa mazingira unayoyasema , kama unasema ukweli, basi kuna jambo zito limejificha. Huu uzi ilioaswa uulete siku mnazuiliwa kumuona, kwa sasa ushahidi umeshapotea..
 
Mtoa mada na familia yako kwa ujumla mnaonekana ni wanyonge na wazembe kupitiliza.
Walitakiwa wampe kazi Ananilea Nkya waone kama igp hasingeng'oka, au Chama cha Kisheria cha kutetea wasio na maarifa ya sheria. Usirogwe kuomba msaada wa Tume ya Haki za Binadamu (ambayo haiko huru na haina meno), tume hiyo ni serikali 100% na polisi pia ni serikali 100%, serikali haiwezi kujifunga yenyewe.
 
kesi yako ni ngumu sana...kwa nchi kama yetu...japo unaweza kutoa malalamiko yako na uchunguzi ukafanyika...je upo teyari kutoa ushirikiano ikihitajika...?

na ilikuwaje mkashindwa kumdhibiti huyo shemeji yenu...je aliwashikia silaha pengine...? uaskari wake kwenye maziko ulikuwa una husikaje husikaje...?

au nyie kwenu mtu akiwa askari mna muogopa...?​
 
M
Walitakiwa wampe kazi Ananilea Nkya waone kama igp hasingeng'oka, au Chama cha Kisheria cha kutetea wasio na maarifa ya sheria. Usirogwe kuomba msaada wa Tume ya Haki za Binadamu (ambayo haiko huru na haina meno), tume hiyo ni serikali 100% na polisi pia ni serikali 100%, serikali haiwezi kujifunga yenyewe.
"Meno ya Mbwa Hayaumani."
 
Haki bado inaweza kupatikana, kesi bado mbichi hii lakini kwa unyonge huu inaonesha mtoa mada na familia hamuwezi kuendesha kesi yaani financially hampo vizuri na ndicho kilichowashinda toka mwanzo
Kabisa inaonekana koplo anakibunda kuzid wao.
 
kesi yako ni ngumu sana...kwa nchi kama yetu...japo unaweza kutoa malalamiko yako na uchunguzi ukafanyika...je upo teyari kutoa ushirikiano ikihitajika...?

na ilikuwaje mkashindwa kumdhibiti huyo shemeji yenu...je aliwashikia silaha pengine...? uaskari wake kwenye maziko ulikuwa una husikaje husikaje...?

au nyie kwenu mtu akiwa askari mna muogopa...?​
Hao ni wazembe waliokubuhu
 
Unaleta umbea Tu usiokuwa na mashiko.

Vifo vyote vyenye utata ndugu hawawezi kuruhusu kuzikwa mpaka ifanyike postmortem itakayoshirikisha Wana ndugu.

Marehemu she is dead and buried, unataka JF tuanze kujadili umbea na illusions?

Pambana na January usirudishe muda nyuma.
Tusimlaumu mleta mada. Hiki unachosema uko sahihi, lakini inategemeana na uelewa wa familia. Wengine hata hiyo postmortem hawaijui.
 
Inashangaza sana.
Mpaka sasa ushahidi wote wa muhimu tayari umeshapotea.
bado... muda mwingine makovu kwenye mifupa huchelewa kupotea... japo hapo ushahidi wa kumtia hatiani muuaji itachukua kazi kweli kweli kuthibitika...lakini kutokana na kuwa muuaji anaweza sio serial killer...anaweza akabainika...

nchi zilizo endelea watu wanaua na kufuta ushahidi kabisa...ila kwa bongo utaalam wa mauaji ya kupangwa bado haupo...!​
 
Tarehe 23/1/2023 Tulipata msiba wa dada angu alifariki katika mazingira ya kutatanisha aliolewa na kijana anaitwa Josephat Aron ambaye ni Police pale Ufundi (Kilwa Road) cheo Kopro

Kifo chake kilitupa mashaka kutokana na mgogoro wa ndoa waliokuwa nao na sababu hiyo hatujui mpaka leo hii dada yetu amekufa na tatizo gani kwani baada ya kufariki kijana huyo alitunyima kupima mwili pamoja na taarifa za hosptal juu ya kilichomuua dada yetu

Imefika hatua familia ya marehemu wanatishiwa na hawana amani

Siku ya kumuaga marehemu mdogo wa kike wa marehemu alinyimwa kwenda kumstiri dada yake badala yake alienda mume na kaka ake kumstiri dada yetu ndugu tulichukizwa na iko kitendo cha shemeji mtu kwenda kumstiri marehemu tukaingilia kati hilo mwisho wa siku wakamruhusu mdogo mtu kuingia lakini haikusaidia kwani mume na shemeji wa marehemu walikuwa wameshatangulia

Baada ya kuruhusiwa mdogo wa marehemu na mama zake wadogo wawili walinyimwa gloves kwaajili ya kumvalisha marehemu na walikuta dada yetu amezuriwa maeneo mengi

Ndugu wa mwanamke waliokuwa hospitalini walikatazwa kumuona mgonjwa aliyekuwa anaingia ni Josephat na ndugu yake anaitwa Mwinyi walimuamisha mochwari kutoka hospital alipofia (Hindu Mandal)na kumpeleka mochwari ya kazini kwao anapofanyia kazi ndugu wasiweze kupima mwili

View attachment 2860643
View attachment 2860644
ukiona manyoya?
 
Back
Top Bottom