DOKEZO Polisi tunaomba msaada. Tunahisi dada yetu ameuawa na mume wake ambaye ni Polisi, inasikitisha sana!

DOKEZO Polisi tunaomba msaada. Tunahisi dada yetu ameuawa na mume wake ambaye ni Polisi, inasikitisha sana!

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Ilipaswa mtafute haki kabla ya maziko kwa kuomba kisheria ifanyike post mortem.

Kwa cheo cha huyo polisi ni kidogo mno kuweza kuwa na mabavu ya kuweza kuzuia chochote endapo mngeenda kisheria mapema. Kwa sasa bila ya ithibati ya mwili wa marehemu itakuwa ngumu sana kudhihirisha chochote.

Wazazi tunapaswa kuwafunza binti zetu kuwa ni sawa kurudi nyumbani pale ndoa inapokuwa na mateso. Nyumba nyingine inakuwa binti akishaolewa basi ndio hapaswi kurudi tena kama kafukuzwa.
 
Kweli nchi hii imejaa vihiyo wenye uoga wa kizuzu mno,why huyu jamaa amekua very powerful hata kuwazuia kumstiri dada yako?,why ulalame humu bila ya kufanya push back wakati bado hajazikwa?,kwangu hii mada imejaa uongo na unafiki mkubwa, next time pigana kudai katiba mpya,maana itakupa kitu kinachoitwa IPID na PP, hawa wange deal na kesi kama hii kama ni ya ukweli
Wanatishwa na Koplo!
 
Ilipaswa mtafute haki kabla ya maziko kwa kuomba kisheria ifanyike post mortem.

Kwa cheo cha huyo polisi ni kidogo mno kuweza kuwa na mabavu ya kuweza kuzuia chochote endapo mngeenda kisheria mapema. Kwa sasa bila ya ithibati ya mwili wa marehemu itakuwa ngumu sana kudhihirisha chochote.

Wazazi tunapaswa kuwafunza binti zetu kuwa ni sawa kurudi nyumbani pale ndoa inapokuwa na mateso. Nyumba nyingine inakuwa binti akishaolewa basi ndio hapaswi kama kafukuzwa.
Hata kama angekuwa na Cheo kikubwa kama cha IGP, endapo kama wangekuwa serious na wangeibua suala hili mapema kabla marehemu hajazikwa basi uchunguzi wa kina ungefanyika tu bila ya kujali cheo alichonacho mtuhumiwa. Kosa limefanywa na hao wanandugu wa marehemu. Hawataweza kusaidika tena kwa lolote kwa hatua hii ilipofikia.
 
Hata kama angekuwa na Cheonkikubwa kama cha IGP, endapo kama wangekuwa serious na wangeibua suala hili mapema kabla marehemu hajazikwa basi uchunguzi wa kina ungefanyik an tu bila ya kujali cheo alichonacho mtuhumiwa. Kosa linefanywa na hao wanabdugu wa marehemu. Hawataweza kusaidika tena kwa lolote kwa hatua hii ilipofikia.
ok
 
Unaleta umbea Tu usiokuwa na mashiko.

Vifo vyote vyenye utata ndugu hawawezi kuruhusu kuzikwa mpaka ifanyike postmortem itakayoshirikisha Wana ndugu.

Marehemu she is dead and buried, unataka JF tuanze kujadili umbea na illusions?

Pambana na January usirudishe muda nyuma.
Kama hauna uchungu simama nafasi ya mwenzio
 
Ilipaswa mtafute haki kabla ya maziko kwa kuomba kisheria ifanyike post mortem.

Kwa cheo cha huyo polisi ni kidogo mno kuweza kuwa na mabavu ya kuweza kuzuia chochote endapo mngeenda kisheria mapema. Kwa sasa bila ya ithibati ya mwili wa marehemu itakuwa ngumu sana kudhihirisha chochote.

Wazazi tunapaswa kuwafunza binti zetu kuwa ni sawa kurudi nyumbani pale ndoa inapokuwa na mateso. Nyumba nyingine inakuwa binti akishaolewa basi ndio hapaswi kama kafukuzwa.
Points za essay huwa ziko kwenye hitimisho, hiyo para yako ya mwisho imekupa medani.
 
Tarehe 23/1/2023 Tulipata msiba wa dada angu alifariki katika mazingira ya kutatanisha aliolewa na kijana anaitwa Josephat Aron ambaye ni Police pale Ufundi (Kilwa Road) cheo Kopro

Kifo chake kilitupa mashaka kutokana na mgogoro wa ndoa waliokuwa nao na sababu hiyo hatujui mpaka leo hii dada yetu amekufa na tatizo gani kwani baada ya kufariki kijana huyo alitunyima kupima mwili pamoja na taarifa za hosptal juu ya kilichomuua dada yetu

Imefika hatua familia ya marehemu wanatishiwa na hawana amani

Siku ya kumuaga marehemu mdogo wa kike wa marehemu alinyimwa kwenda kumstiri dada yake badala yake alienda mume na kaka ake kumstiri dada yetu ndugu tulichukizwa na iko kitendo cha shemeji mtu kwenda kumstiri marehemu tukaingilia kati hilo mwisho wa siku wakamruhusu mdogo mtu kuingia lakini haikusaidia kwani mume na shemeji wa marehemu walikuwa wameshatangulia

Baada ya kuruhusiwa mdogo wa marehemu na mama zake wadogo wawili walinyimwa gloves kwaajili ya kumvalisha marehemu na walikuta dada yetu amezuriwa maeneo mengi

Ndugu wa mwanamke waliokuwa hospitalini walikatazwa kumuona mgonjwa aliyekuwa anaingia ni Josephat na ndugu yake anaitwa Mwinyi walimuamisha mochwari kutoka hospital alipofia (Hindu Mandal)na kumpeleka mochwari ya kazini kwao anapofanyia kazi ndugu wasiweze kupima mwili

View attachment 2860643
View attachment 2860644
Mh asee mletaada na familia yako mmekaa kifala sana na huyo dogo aliona mnamuogopa ndipo akaamua kuendesha
 
Tarehe 23/1/2023 Tulipata msiba wa dada angu alifariki katika mazingira ya kutatanisha aliolewa na kijana anaitwa Josephat Aron ambaye ni Police pale Ufundi (Kilwa Road) cheo Kopro

Kifo chake kilitupa mashaka kutokana na mgogoro wa ndoa waliokuwa nao na sababu hiyo hatujui mpaka leo hii dada yetu amekufa na tatizo gani kwani baada ya kufariki kijana huyo alitunyima kupima mwili pamoja na taarifa za hosptal juu ya kilichomuua dada yetu

Imefika hatua familia ya marehemu wanatishiwa na hawana amani

Siku ya kumuaga marehemu mdogo wa kike wa marehemu alinyimwa kwenda kumstiri dada yake badala yake alienda mume na kaka ake kumstiri dada yetu ndugu tulichukizwa na iko kitendo cha shemeji mtu kwenda kumstiri marehemu tukaingilia kati hilo mwisho wa siku wakamruhusu mdogo mtu kuingia lakini haikusaidia kwani mume na shemeji wa marehemu walikuwa wameshatangulia

Baada ya kuruhusiwa mdogo wa marehemu na mama zake wadogo wawili walinyimwa gloves kwaajili ya kumvalisha marehemu na walikuta dada yetu amezuriwa maeneo mengi

Ndugu wa mwanamke waliokuwa hospitalini walikatazwa kumuona mgonjwa aliyekuwa anaingia ni Josephat na ndugu yake anaitwa Mwinyi walimuamisha mochwari kutoka hospital alipofia (Hindu Mandal)na kumpeleka mochwari ya kazini kwao anapofanyia kazi ndugu wasiweze kupima mwili

View attachment 2860643
View attachment 2860644
Toka tarehe 23/1/023 ndio unaileta Leo kulikoni mkuu!!
 
Haki bado inaweza kupatikana, kesi bado mbichi hii lakini kwa unyonge huu inaonesha mtoa mada na familia hamuwezi kuendesha kesi yaani financially hampo vizuri na ndicho kilichowashinda toka mwanzo
 
Back
Top Bottom