John Wickzer Mulholland
JF-Expert Member
- Apr 13, 2023
- 6,656
- 14,403
Uchunguzi wa Postmortem kwa kesi za Homicides unatoa matokeo mazuri zaidi ikiwa mwili wa marehemu bado haujazikwa. Mwili ukushazikwa na kupita muda mrefu kama kwenye kesi hii huwa inakuwa vigumu sana kupata ushahidi ambao ni "water-tight evidence."bado... muda mwingine makovu kwenye mifupa huchelewa kupotea... japo hapo ushahidi wa kumtia hatiani muuaji itachukua kazi kweli kweli kuthibitika...lakini kutokana na kuwa muuaji anaweza sio serial killer...anaweza akabainika...
nchi zilizo endelea watu wanaua na kufuta ushahidi kabisa...ila kwa bongo utaalam wa mauaji ya kupangwa bado haupo...!
Bila kumuonesha kosa lake wengine hawawezi kujifunza, njia aliyotumia leo angeitumia wakati marehemu yuko monchwari hapa pangechimbika na hakuna mazishi yangefanyika mpaka postmortem ifanyike.Tusimlaumu mleta mada. Hiki unachosema uko sahihi, lakini inategemeana na uelewa wa familia. Wengine hata hiyo postmortem hawaijui.
Hujui ulisemalo, mleta mada ni member mwandamizi wa JF Kwa miaka 15, hawezi kuwa mjinga kiasi hiki, sasa miaka yote hiyo JF itakuwa imemsaidia nini?Kama hauna uchungu simama nafasi ya mwenzio
She is gone relax kula beer ebbooKutoka kwenye mtandao wa X, Akaunti ya Lisa Ildephonce (@LIldephoce)
“Tarehe 23/1/2023 Tulipata msiba wa dada angu alifariki katika mazingira ya kutatanisha aliolewa na kijana anaitwa Josephat Aron ambaye ni Police pale Ufundi (Kilwa Road) cheo Kopro
Kifo chake kilitupa mashaka kutokana na mgogoro wa ndoa waliokuwa nao na sababu hiyo hatujui mpaka leo hii dada yetu amekufa na tatizo gani kwani baada ya kufariki kijana huyo alitunyima kupima mwili pamoja na taarifa za hosptal juu ya kilichomuua dada yetu
Imefika hatua familia ya marehemu wanatishiwa na hawana amani
Siku ya kumuaga marehemu mdogo wa kike wa marehemu alinyimwa kwenda kumstiri dada yake badala yake alienda mume na kaka ake kumstiri dada yetu ndugu tulichukizwa na iko kitendo cha shemeji mtu kwenda kumstiri marehemu tukaingilia kati hilo mwisho wa siku wakamruhusu mdogo mtu kuingia lakini haikusaidia kwani mume na shemeji wa marehemu walikuwa wameshatangulia
Baada ya kuruhusiwa mdogo wa marehemu na mama zake wadogo wawili walinyimwa gloves kwaajili ya kumvalisha marehemu na walikuta dada yetu amezuriwa maeneo mengi
Ndugu wa mwanamke waliokuwa hospitalini walikatazwa kumuona mgonjwa aliyekuwa anaingia ni Josephat na ndugu yake anaitwa Mwinyi walimuamisha mochwari kutoka hospital alipofia (Hindu Mandal)na kumpeleka mochwari ya kazini kwao anapofanyia kazi ndugu wasiweze kupima mwili
View attachment 2860643
View attachment 2860644
View attachment 2860794
Hii ni siku ya msiba [Video] baada ya ndugu wa mwanamke kutaka mwili ukafanyiwe vipimo ili kujua ndugu yetu kwa nini amepatwa na kifo ila tukaletewa mapolisi waliokuja na mwili wakashika na mabunduki kutaka kuyafwatua baada ya wananchi waliokuja msibani kuwaambia tuuweni tu kama hamtaki tumpime ndugu yetu. Kijana huyo Josephat Aron akaamuru Polisi waingie ndani ya gari. Tulimzika ndugu yetu chini ya ulinzi wa mapolisi waliotoka Dar es Salaam kuja Rombo na mwili tukiwa na majonzi”
Duuuh,umesoma maelezo ya mtoa mada mpaka mwisho????Unaleta umbea Tu usiokuwa na mashiko.
Vifo vyote vyenye utata ndugu hawawezi kuruhusu kuzikwa mpaka ifanyike postmortem itakayoshirikisha Wana ndugu.
Marehemu she is dead and buried, unataka JF tuanze kujadili umbea na illusions?
Pambana na January usirudishe muda nyuma.
Duuuh,umesoma maelezo ya mtoa mada mpaka mwisho????
Unainekana una makasiriko yasiyo na maana ya january .
Hata hivyo walimchelewesha sana maana ilipita miaka kama miwiliNyie wachaga gani mmepooza hivyo?
Naona ni kwa vile wachaga hamnaga mambo ya uchawi na ushirikina, ingekuwa mtu wa mwambao wa Pwani ya bahari ya Hindi sasa hivi mngeshashitaki kwenye mahakama ya wanyonge [emoji3][emoji28]
Dito alipompiga dereva wa daladala bunduki na kuua nini kulitokea baada ya muda mfupi?
Leo imekuwa historia mahakama ya wanyonge haina mchezo iwapo umeua kweli haichelewi [emoji38][emoji38]
Damu ya mtu ina Siri kubwa ya Mungu.
Kajambe.Itakuwa ni matokeo ya ndaza za siku kuu !
Huenda bado imo kichwani inamnyung’unya. [emoji3][emoji28]
Salute! Hii nchi aisee mimi nimeshindwa kujua sisi raia ni breed ya hawa hawa binadamu wa nchi nyingine au ni tofauti. Jambo serious kama hili kweli walikubalije huyo polisi afanye uhuni kama huo? Ndugu yao lakini wanalazimishwa kutouona mwili, kujua chanzo cha kifo na hata namna ya kuzika?Kweli nchi hii imejaa vihiyo wenye uoga wa kizuzu mno,why huyu jamaa amekua very powerful hata kuwazuia kumstiri dada yako?,why ulalame humu bila ya kufanya push back wakati bado hajazikwa?,kwangu hii mada imejaa uongo na unafiki mkubwa, next time pigana kudai katiba mpya,maana itakupa kitu kinachoitwa IPID na PP, hawa wange deal na kesi kama hii kama ni ya ukweli
We nae unaemjibu huyu huna akili kabisaaaa,kakwambia mume wake alikuwa polisi,we kigumu kuelewa nini hapo,na nini na kwanini kulikuwa ma mzuieni nyingi nyinyingi hapoUnaleta umbea Tu usiokuwa na mashiko.
Vifo vyote vyenye utata ndugu hawawezi kuruhusu kuzikwa mpaka ifanyike postmortem itakayoshirikisha Wana ndugu.
Marehemu she is dead and buried, unataka JF tuanze kujadili umbea na illusions?
Pambana na January usirudishe muda nyuma.
Mtuhumiwa polisiKweli nchi hii imejaa vihiyo wenye uoga wa kizuzu mno,why huyu jamaa amekua very powerful hata kuwazuia kumstiri dada yako?,why ulalame humu bila ya kufanya push back wakati bado hajazikwa?,kwangu hii mada imejaa uongo na unafiki mkubwa, next time pigana kudai katiba mpya,maana itakupa kitu kinachoitwa IPID na PP, hawa wange deal na kesi kama hii kama ni ya ukweli
Hivi Tanzania hakuna sheria inayolazimisha kila kifo kipate cheti kutoka kwenye mamlaka kudhihirisha chanzo cha kufariki kabla ya maziko? Kama hali iko hivyo basi ni hatari sana.Ilipaswa mtafute haki kabla ya maziko kwa kuomba kisheria ifanyike post mortem.
Kwa cheo cha huyo polisi ni kidogo mno kuweza kuwa na mabavu ya kuweza kuzuia chochote endapo mngeenda kisheria mapema. Kwa sasa bila ya ithibati ya mwili wa marehemu itakuwa ngumu sana kudhihirisha chochote.
Wazazi tunapaswa kuwafunza binti zetu kuwa ni sawa kurudi nyumbani pale ndoa inapokuwa na mateso. Nyumba nyingine inakuwa binti akishaolewa basi ndio hapaswi kama kafukuzwa.
Polisi yuko juu ya sheria? Yaani ndugu yao afariki kwenye mazingira tata halafu walazimishwe kutojua chanzo cha kifo chake kwa sababu ni polisi. Koplo mbona ni mtu mdogo sana?Mtuhumiwa polisi
Pumbavu wewe, kuwa Polisi ndio nini?We nae unaemjibu huyu huna akili kabisaaaa,kakwambia mume wake alikuwa polisi,we kigumu kuelewa nini hapo,na nini na kwanini kulikuwa ma mzuieni nyingi nyinyingi hapo
Polisi yuko juu ya sheria? Yaani ndugu yao afariki kwenye mazingira tata halafu walazimishwe kutojua chanzo cha kifo chake kwa sababu ni polisi. Koplo mbona ni mtu mdogo sana?