DOKEZO Polisi tunaomba msaada. Tunahisi dada yetu ameuawa na mume wake ambaye ni Polisi, inasikitisha sana!

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Binti yangu sitaki aolewe na hao watu wengi wao ni zero brain.
Wanajiona nchi hii ni mali ya mama zao.
 
Poleni sana, hizi ndoa Zina Siri nyingi sana.
 
Hilda Newton

@HildaNewton21
·
2h

INAHUZUNISHA Askari wa
@tanpol
pale ufundi Dar, Josephat Aron, alimuua mkewe ila akasingizia alikuwa anaumwa, familia iliomba mwili wa marehemu uchunguzwe ili wajue chanzo cha kifo akatishia kuwauwaHii ni siku ya mazishi, ndugu walikuwa wanasisitiza binti yao asizikwe bila.
UKIFUATILIA TWITTER KWA HUYO HILDNEWTON21 KUNA VIDEO.
YWEZEKANA MADAI YAO YAKAWA YA KWELI.
 

Mbona mlikubali kunyamazia sintofahamu hii kwa muda wote huo? Ndugu yenu kafariki toka January 2023 na amezikwa ndio mnakuja kuushtua umma leo January 2024?

Familia nzima ndio mmetishwa na kunyanyaswa na Koplo? Koplo kabisa? Kweli? Hii familia imenitia simanzi.

Na kwa maelezo yenuyenut tu ya upande mmoja, inaonesha kuna kitu nyuma ya pazia juu ya kifo cha ndugu yenu.

Watanzania msiidharau mitandao ya kijamii, inasaidia kidogo katika nchi hizi ambazo mtu akipata kacheo kadogo tu anaanza kupanda juu ya vichwa vya wengine. Kelele za mitandaoni zinasaidia sana.
 
Mngewahi mahakamani kuzuia mwili.

Mungu atawalipia kisasa msiogope.

Rumi 12:19​

Wapenzi, msijilipize kisasi, bali ipisheni ghadhabu ya Mungu; maana imeandikwa, Kisasi ni juu yangu mimi; mimi nitalipa, anena Bwana.
 
mkuu umetisha yani mmekaa kama makondoo mwaka mzima leo ndo unakumbuka haki.

huyoo dada aliekufa huko alipo amewadharau sana mlivyoo màzezeta kushindwa kupigania haki yake akiwa bado hajazikwa
Atakuwa haamini ni vipi ana ndugu goigoi kama hao.
 
Uchunguzi ufanyike.....Taarifa za Hospitali ziwekwe Mahakamani
 
Comment ya Kipumbavu toka mwaka huu uanze
 
Jeshi la polisi limejaa uozo mtupu, wahusika wanapita huku, kuna walakini hapa
 
Ndo hivyo. Ila kwenye case kama hiyo ndugu wa mke wangesimama vizuri uchunguzi ungefanyika, inaonyesha ni waoga
Labda ana nguvu kubwa nyuma yake ndo mana wanamuogopa.
Halafu hii issue sio mara ya kwanza.nliwahi ona mke kauliwa na mtoto wa wifi Ake familia ya mume ikawakataza hata kuaga mwili.nlishangaa!
 
Bila shaka jamaa alikua anatoa kibunda cha haja kwenye hiyo familia.

Yaani ndgu hmna say juu ya mwili wa ndgu yenu?

Je alikua hana baba, hana mama, hakuna watu wazima kwenye ukoo wenu.
Suala kama hilo polisi hulindana sana ila mngesimama kidete walau mngetendewa haki.
 
Wanaume wasiohudhuria vikao ndio wanatujengea picha mbaya,tushasema pisi Kali ni za kunyandua na kuacha ila mchizi kaweka ndani anategemea nn!!
 
Koplo koplo koplo ndio wakukutisha. Angekuwa officer kabisa ingekuwaje?
Hahahaa...

A corporal is usually appointed as a section commander, and is in charge of 7–14 soldiers of private rank. They are assisted by a second-in-command, usually a lance-corporal or senior private.
 
Hivi Tanzania hakuna sheria inayolazimisha kila kifo kipate cheti kutoka kwenye mamlaka kudhihirisha chanzo cha kufariki kabla ya maziko? Kama hali iko hivyo basi ni hatari sana.
Tanzania mwenye sheria ni yule aliyekuwa na pesa/mamlaka na yule anaemjua mwenye pesa/mamlaka.
 
Huko Rombo kuna nini? Mauaji kila kukicha.

Kijana Mtenga wa Israel, Beatrice wa Lukas Tarimo na sasa huyu wa Polisi na bado mambo ni mengi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…