Polisi: Tunawashikilia Niffer na Diva kwa mahojiano na hatua nyingine za Kisheria

Polisi: Tunawashikilia Niffer na Diva kwa mahojiano na hatua nyingine za Kisheria

Kingsmann

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2018
Posts
4,805
Reaction score
17,850
Tarehe 16 Novemba 2024 eneo la Kariakoo Dar es salaam kulitokea tukio la kuporomoka kwa jengo la biashara. Wakai jitihada mbalimbali zikifanywa na Serikali na sekta binafsi kuhusiana na jinsi ya kuwaokoa watu katika eneo hilo , zilipatikana taarifa za watu wasio na mamlaka yoyote ya kisheria ya kushughulikia majanga yenye sura ya kitaifa , kuanza kukusanya pesa kwa kutumia akaunti zao binafsi suala ambalo ni kinyume na Sheria na Kanuni zinazoshughulikia majanga.

Watuhumiwa wawili wamekamatwa na wanahojiwa kwa kina. Waliokamatwa ni Diva Gissele Malinzi miaka 36, mkazi wa Mikocheni amekamatwa Dar es Salaam na Jenifer Jovin Bilikwija miaka 25, mkazi wa Salasala Kinondoni ambaye amekamatwa Dodoma na kurejeshwa Dar es salaam.

Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es salaam litashirikiana na Mamlaka zingine za kisheria kuona hatua zaidi zinazopaswa kuchukuliwa dhidi ya watuhumiwa hawa.

Aidha, Jeshi la Polisi linaendelea kutoa tahadhari na halitasita kuchukua hatua za kisheria kwa mtu au watu ambao yanapotokea matatizo au majanga wao huona ni fursa ya kujinufaisha.

Pia soma:


20241119_134952.jpg


20241119_134953.jpg
 
1000191225.jpg
20241119_135708.jpg


Tarehe 16 Novemba 2024 eneo la Kariakoo Dar es salaam kulitokea tukio la kuporomoka kwa jengo la biashara. Wakati jitihada mbalimbali zikifanywa na Serikali na sekta binafsi kuhusiana na jinsi ya kuwaokoa watu katika eneo hilo, zilipatikana taarifa za watu wasio na mamlaka yoyote ya kisheria ya kushughulikia majanga yenye sura ya kitaifa, kuanza kukusanya pesa kwa kutumia akaunti zao binafsi suala ambalo ni kinyume na Sheria na Kanuni zinazoshughulikia majanga.

Watuhumiwa wawili wamekamatwa na wanahojiwa kwa kina, Waliokamatwa ni Diva Gissele Malinzi miaka 36, mkazi wa Mikocheni amekamatwa Dar es Salaam na Jenifer Jovin Bilikwija miaka 25, mkazi wa Salasala Kinondoni ambaye amekamatwa Dodoma na kurejeshwa Dar es salaam.

Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es salaam litashirikiana na Mamlaka zingine za kisheria kuona hatua zaidi zinazopaswa kuchukuliwa dhidi ya watuhumiwa hawa.

Aidha, Jeshi la Polisi linaendelea kutoa tahadhari na halitasita kuchukua hatua za kisheria kwa mtu au watu ambao yanapotokea matatizo au majanga wao huona ni fursa ya kujinufaisha.

Imetolewa na;
Muliro J. Muliro -SACP Kamanda Kanda Maalum ya Polisi Dar es Salaam
 
Tena huyo Diva ndio tapeli kabisa, bora hata Niffer tunaweza kumpa the benefit of doubt.

Diva kodi ya nyumba tu mpaka akamlilie Diamond, ndio awafikishie michango yao wahanga wa K/Koo? Teh
Ila watanzania ni wajinga yaani .hivi wanamshobokea nini
Halafu hela alitoa.akawaambia watu warejeshe miamala yao.yaani huyu ataumbuka vibaya
 
Tarehe 16 Novemba 2024 eneo la Kariakoo Dar es salaam kulitokea tukio la kuporomoka kwa jengo la biashara. Wakai jitihada mbalimbali zikifanywa na Serikali na sekta binafsi kuhusiana na jinsi ya kuwaokoa watu katika eneo hilo , zilipatikana taarifa za watu wasio na mamlaka yoyote ya kisheria ya kushughulikia majanga yenye sura ya kitaifa , kuanza kukusanya pesa kwa kutumia akaunti zao binafsi suala ambalo ni kinyume na Sheria na Kanuni zinazoshughulikia majanga.

Watuhumiwa wawili wamekamatwa na wanahojiwa kwa kina. Waliokamatwa ni Diva Gissele Malinzi miaka 36, mkazi wa Mikocheni amekamatwa Dar es Salaam na Jenifer Jovin Bilikwija miaka 25, mkazi wa Salasala Kinondoni ambaye amekamatwa Dodoma na kurejeshwa Dar es salaam.

Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es salaam litashirikiana na Mamlaka zingine za kisheria kuona hatua zaidi zinazopaswa kuchukuliwa dhidi ya watuhumiwa hawa.

Aidha, Jeshi la Polisi linaendelea kutoa tahadhari na halitasita kuchukua hatua za kisheria kwa mtu au watu ambao yanapotokea matatizo au majanga wao huona ni fursa ya kujinufaisha.

Pia soma:



Pressure ya kariakoo ilikuwa kubwa sana, atleast mmepata pa kupumulia. Wataalam tunaiita propaganda.

Kitendo cha serikali au taasisi kutumia tukio jingine ili kuhamisha au kupunguza umakini wa umma kutoka kwenye tukio linalowahusu hujulikana kitaalamu kama "distraction" au "agenda setting manipulation". Kwa lugha nyingine, inaweza pia kuitwa:

1. "Diversionary Tactic": Mbinu ya kupotosha au kuhamisha umakini wa umma kutoka kwenye suala nyeti.
2. "Smoke Screen": Njia ya kuficha ukweli kwa kuleta mada nyingine ya kuvutia au yenye mjadala mkali.
3. "News Drowning": Mbinu ya kuzidisha habari nyingine ili kufunika habari nyeti.

Hii ni sehemu ya mbinu za propaganda au public relations spin, zinazolenga kudhibiti maoni ya umma na kuzuia mijadala kuhusu suala fulani.
 
Back
Top Bottom