Kumbe wanajulikana si waaminifu?Tena huyo Diva ndio tapeli kabisa, bora hata Niffer tunaweza kumpa the benefit of doubt.
Diva kodi ya nyumba tu mpaka akamlilie Diamond, ndio awafikishie michango yao wahanga wa K/Koo? Teh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe wanajulikana si waaminifu?Tena huyo Diva ndio tapeli kabisa, bora hata Niffer tunaweza kumpa the benefit of doubt.
Diva kodi ya nyumba tu mpaka akamlilie Diamond, ndio awafikishie michango yao wahanga wa K/Koo? Teh
Yes, Spinning Propaganda Tactics.Pressure ya kariakoo ilikuwa kubwa sana, atleast mmepata pa kupumulia. Wataalam tunaiita propaganda.
Kitendo cha serikali au taasisi kutumia tukio jingine ili kuhamisha au kupunguza umakini wa umma kutoka kwenye tukio linalowahusu hujulikana kitaalamu kama "distraction" au "agenda setting manipulation". Kwa lugha nyingine, inaweza pia kuitwa:
1. "Diversionary Tactic": Mbinu ya kupotosha au kuhamisha umakini wa umma kutoka kwenye suala nyeti.
2. "Smoke Screen": Njia ya kuficha ukweli kwa kuleta mada nyingine ya kuvutia au yenye mjadala mkali.
3. "News Drowning": Mbinu ya kuzidisha habari nyingine ili kufunika habari nyeti.
Hii ni sehemu ya mbinu za propaganda au public relations spin, zinazolenga kudhibiti maoni ya umma na kuzuia mijadala kuhusu suala fulani.
Yule binti nilmshangaa.Binti mdogo wa miaka 25 ana trend kwa kuchangisha michango ya maafa, huyu si ndio angepongezwa kwa kufanya hivyo chapchapu wakati mamlaka husika imelala? cha ajabu ananakamatwa. itungwe sheria ya msamaria mwema
Nilikuwa nina hofu kubwa baada ya kuona hilo jina la Nifah! Ahueni sasa nimepata amani baada tu ya kuona hii comment yako hapa!😇Tena huyo Diva ndio tapeli kabisa, bora hata Niffer tunaweza kumpa the benefit of doubt.
Diva kodi ya nyumba tu mpaka akamlilie Diamond, ndio awafikishie michango yao wahanga wa K/Koo? Teh
Nje ya mada....huyo Niffer ana miaka 25 kweli kwa uzee ule? Msichana ana kiherehere hadi anatia kinyaa!!Tena huyo Diva ndio tapeli kabisa, bora hata Niffer tunaweza kumpa the benefit of doubt.
Diva kodi ya nyumba tu mpaka akamlilie Diamond, ndio awafikishie michango yao wahanga wa K/Koo? Teh
Ni kweli ni mdogo ila hicho kiherehere chake ndio hunifanya nisimkubali pia.Nje ya mada....huyo Niffer ana miaka 25 kweli kwa uzee ule? Msichana ana kiherehere hadi anatia kinyaa!!
Roho iliniruka kwa huzuni Jana nilipoona hilo jina ni wewe ,nikawaza vipi yule shemeji atajisikiaje ila nilipoona umejibu nilifarijika .Ni kweli ni mdogo ila hicho kiherehere chake ndio hunifanya nisimkubali pia.
Uko sahihi kabisa. Huu ni mchongo na walishaona sehemu ya kupiga fedha. Dunia ya sasa haina watu wema kiasi hicho hasa hawa celebrity uchwara. Walikuwa wanatafuta fedha za kufanya surgeries za kuongeza uremboCelebrity Uchwara wa bongo walishapata kichaka cha kupiga hela!
Kama mna hela toeni tu, hakuna ujasiri wowote kwenye kuchangisha! Shenzy zenu!
Wapelekwe mahakamani kama wamekosea.Tarehe 16 Novemba 2024 eneo la Kariakoo Dar es salaam kulitokea tukio la kuporomoka kwa jengo la biashara. Wakai jitihada mbalimbali zikifanywa na Serikali na sekta binafsi kuhusiana na jinsi ya kuwaokoa watu katika eneo hilo , zilipatikana taarifa za watu wasio na mamlaka yoyote ya kisheria ya kushughulikia majanga yenye sura ya kitaifa , kuanza kukusanya pesa kwa kutumia akaunti zao binafsi suala ambalo ni kinyume na Sheria na Kanuni zinazoshughulikia majanga.
Watuhumiwa wawili wamekamatwa na wanahojiwa kwa kina. Waliokamatwa ni Diva Gissele Malinzi miaka 36, mkazi wa Mikocheni amekamatwa Dar es Salaam na Jenifer Jovin Bilikwija miaka 25, mkazi wa Salasala Kinondoni ambaye amekamatwa Dodoma na kurejeshwa Dar es salaam.
Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es salaam litashirikiana na Mamlaka zingine za kisheria kuona hatua zaidi zinazopaswa kuchukuliwa dhidi ya watuhumiwa hawa.
Aidha, Jeshi la Polisi linaendelea kutoa tahadhari na halitasita kuchukua hatua za kisheria kwa mtu au watu ambao yanapotokea matatizo au majanga wao huona ni fursa ya kujinufaisha.
Pia soma:
- Jeshi la Polisi tayari limempata Niffer kwa kuchangisha michango ya wahanga wa Kariakoo
- Polisi wamsafirisha Niffer hadi Dar kutokea Dodoma baada ya kujisalimisha kufuatia agizo la Waziri Mkuu la kukamatwa
Fedha haina cha huyu ni afadhali. Narudia, fedha haina cha huyu ni afadhali. Tafuta notebook uandike hiyo sentensi, itakusaidia baadae.Tena huyo Diva ndio tapeli kabisa, bora hata Niffer tunaweza kumpa the benefit of doubt.
Diva kodi ya nyumba tu mpaka akamlilie Diamond, ndio awafikishie michango yao wahanga wa K/Koo? Teh
CCM izuie mjadala iwe iweje? Katika nchi ambayo uongozi wa nchi hauna pressure ya kuogopa mijadala ya wananchi basi ni Bongo. Wananchi wenyewe siku mbili tu wanakuwa wameshasahau kila kitu. N kama majoka ya kibisa tu, hawana madhara.Pressure ya kariakoo ilikuwa kubwa sana, atleast mmepata pa kupumulia. Wataalam tunaiita propaganda.
Kitendo cha serikali au taasisi kutumia tukio jingine ili kuhamisha au kupunguza umakini wa umma kutoka kwenye tukio linalowahusu hujulikana kitaalamu kama "distraction" au "agenda setting manipulation". Kwa lugha nyingine, inaweza pia kuitwa:
1. "Diversionary Tactic": Mbinu ya kupotosha au kuhamisha umakini wa umma kutoka kwenye suala nyeti.
2. "Smoke Screen": Njia ya kuficha ukweli kwa kuleta mada nyingine ya kuvutia au yenye mjadala mkali.
3. "News Drowning": Mbinu ya kuzidisha habari nyingine ili kufunika habari nyeti.
Hii ni sehemu ya mbinu za propaganda au public relations spin, zinazolenga kudhibiti maoni ya umma na kuzuia mijadala kuhusu suala fulani.
unauliza Diva wa miondoko ya muziki laini redioni usiku?Diva yupi yule wa Mr.right?
Sawa,vp kuhusu kushindwa kuokoa watu?...Kwenye hili nipo na serikali. Inabidi iache alama ambazo mjinga mmoja akitaka kuchangisha kwenye maafa akumbushwe hiyo alama
Miaka 25? Si kweli aisee.... mwambie wajina wako aache kiherehere, ujuaji na utapeli... kwa miaka 25 kweli ndo akomae na vyote hivyo?Ni kweli ni mdogo ila hicho kiherehere chake ndio hunifanya nisimkubali pia.