Polisi: Tunawashikilia Niffer na Diva kwa mahojiano na hatua nyingine za Kisheria

Tena huyo Diva ndio tapeli kabisa, bora hata Niffer tunaweza kumpa the benefit of doubt.

Diva kodi ya nyumba tu mpaka akamlilie Diamond, ndio awafikishie michango yao wahanga wa K/Koo? Teh
Kumbe wanajulikana si waaminifu?
 
Okay hii inaitwa enjoy my city view while u can , cauz u crack my City rule tehehehe.
Mambo ya I dont mean to disrespect officer hayana nafasi
 
Yes, Spinning Propaganda Tactics.
 
Binti mdogo wa miaka 25 ana trend kwa kuchangisha michango ya maafa, huyu si ndio angepongezwa kwa kufanya hivyo chapchapu wakati mamlaka husika imelala? cha ajabu ananakamatwa. itungwe sheria ya msamaria mwema
Yule binti nilmshangaa.
Waziri Mkuu anatoa taarifa kuwa akamatwe, yeye anashangilia kuwa hata Waziri Mkuu kamtambua na anajua yupo.
Haijui Serikali huyu na makali yake!
 
Tena huyo Diva ndio tapeli kabisa, bora hata Niffer tunaweza kumpa the benefit of doubt.

Diva kodi ya nyumba tu mpaka akamlilie Diamond, ndio awafikishie michango yao wahanga wa K/Koo? Teh
Nilikuwa nina hofu kubwa baada ya kuona hilo jina la Nifah! Ahueni sasa nimepata amani baada tu ya kuona hii comment yako hapa!😇
 
Roho
Ni kweli ni mdogo ila hicho kiherehere chake ndio hunifanya nisimkubali pia.
Roho iliniruka kwa huzuni Jana nilipoona hilo jina ni wewe ,nikawaza vipi yule shemeji atajisikiaje ila nilipoona umejibu nilifarijika .

Keep hustling dada ,pamoja ,ana kihehere Sana huyo dada ila akitoka aje kwanza ajibu kwa hili jina la bilikwija nina mengi ya kumuuliza
 
Celebrity Uchwara wa bongo walishapata kichaka cha kupiga hela!
Kama mna hela toeni tu, hakuna ujasiri wowote kwenye kuchangisha! Shenzy zenu!
Uko sahihi kabisa. Huu ni mchongo na walishaona sehemu ya kupiga fedha. Dunia ya sasa haina watu wema kiasi hicho hasa hawa celebrity uchwara. Walikuwa wanatafuta fedha za kufanya surgeries za kuongeza urembo
 
Wapelekwe mahakamani kama wamekosea.
 
Tena huyo Diva ndio tapeli kabisa, bora hata Niffer tunaweza kumpa the benefit of doubt.

Diva kodi ya nyumba tu mpaka akamlilie Diamond, ndio awafikishie michango yao wahanga wa K/Koo? Teh
Fedha haina cha huyu ni afadhali. Narudia, fedha haina cha huyu ni afadhali. Tafuta notebook uandike hiyo sentensi, itakusaidia baadae.
 
Nguvu iliyotumika kwa niffer mngetumia kwa wezi wa serikalini au vigogo
Watanzania tungeishi kama Bruney
Pam kazingua
Katumia zaidi mihemko na kiki ili wazidi kuzima presha za watu kutaka kujua mmiliki na injinia wa lile jengo
Mungu atamlipa nifer kwa nia yake ya dhati
 
CCM izuie mjadala iwe iweje? Katika nchi ambayo uongozi wa nchi hauna pressure ya kuogopa mijadala ya wananchi basi ni Bongo. Wananchi wenyewe siku mbili tu wanakuwa wameshasahau kila kitu. N kama majoka ya kibisa tu, hawana madhara.
 
Hawa wanaojiona maarufu watafute njia nyingine za kudumisha huo umaarufu wao mambo mengine ni kujitafutia matatizo na kujitia aibu ya bure kwa kuonekana ni matapeli.
Mtu wewe unajua siyo muhusika kiherehere cha nini?
 
Ni kweli ni mdogo ila hicho kiherehere chake ndio hunifanya nisimkubali pia.
Miaka 25? Si kweli aisee.... mwambie wajina wako aache kiherehere, ujuaji na utapeli... kwa miaka 25 kweli ndo akomae na vyote hivyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…