Polisi Usalama wa Barabarani: Safari za Usiku za Mabasi haiwezekani kwa route zote

bagamoyo

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2010
Posts
24,941
Reaction score
28,869
Your browser is not able to display this video.

Mkuu wa kikosi cha Polisi cha Usalama wa barabarani ACP Ramadhani Ngazi asema kuna changamoto za kiusalama. Ni kwenye baadhi ya mikoa kutokana na ujambazi n.k Akitaja maeneo ya Rukwa, Katavi, Kagera kuna mapori ambayo ni tishio kwa utekaji.

Akizungumza mbele ya kikao cha LATRA baada ya azimio la bunge kupitia hoja ya spika wa Bunge kuwa mabasi yasafiri usiku.

Pia wadau waomba mabasi ya safari ndefu kuwa na madereva zaidi ya mmoja ambao watapokezana kuendesha mabasi ili kupunguza ajali za barabarani zinazotokana na uchovu unaosababisha madereva kutokuwa makini.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…