Polisi wa Zanzibar kuwakamata watu kisa kuwakuta wakila mchana kipindi cha Ramadhan ni uvunjifu wa sheria za Nchi

Polisi wa Zanzibar kuwakamata watu kisa kuwakuta wakila mchana kipindi cha Ramadhan ni uvunjifu wa sheria za Nchi

Sheria ya uislam iko wazi.
Ukileta matakwa mbele ya sheria basi wewe umekufuru laa sivyo uombe msamaha na utamke shahada tena.
Au hujui hilo!?
Sheria ya uislam haipo hivyo kama usemavyo au utakavyo,ukiikiuka tu umeshatoka kundini ili urudi tubu na tamka shahada upya.
Kwa hiyo hakuna shoga mwislam?
 
Kwa hiyo mimi ndie nilitunga hizo hadith 🤣🤣🤣
Mtume wako alimnyonya uume Hassan kumbuka🤣🤣
Hadithi haina ithbati.
Inapingana na wasifu wa mtume na Qur'an.
Hivyo wewe huna hoja bali unalazimisha ushahidi wa uongo.
Nadhani hapa tumemaliza mjadala.
 
Hadithi haina ithbati.
Inapingana na wasifu wa mtume na Qur'an.
Hivyo wewe huna hoja bali unalazimisha ushahidi wa uongo.
Nadhani hapa tumemaliza mjadala.
Kimbia tu.
Kazi ni yako kujua ipi ina ithibati na ipi haina sio mimi.
 
Ndio ushetani huo saSa
Kisasi sio ushetani.
Unajua hikma ya kisasi??
Ni kukomesha kuendekezana kufanyiana uovu.
Yani uje unifanyie ubaya nikuangalie??
Siku ingine si utanidhalilisha kabisa??
Wakristu bhana yani kama wao hawalipizagi kisasi??
😂😂😂😂Hoja huna
 
Mimi nilizani utanikosoa kuwa nilichoandika hakipo , kumbe unazidi kukazia tu ushetwani.
Tizama ulichoandika na nilicholeta.
"Ulisema hiyo ayah inaruhusu unyang'anyi na wizi"
Je hiyo ayah inasema hivyo!?
Ngawira ni mali zipatikanazo baada ya vita.Wala sio mali za uporaji.
Huna hoja endelea kubwabwaja.
 
Aaa shehe. Umewatoa lini wakati bado wanaswali na Allah anawajibu.
Nimekuwekea hadithi inayosema atakayefanya ulawiti basi Mungu humuondoa katika rehma zake.
Na humuandalia moto wa jehanam kama watu wa Lutw wa Sodoma na Gomora.
AU HUKUIONA HII HADITHI???
Screenshot_2024-03-31-18-20-39-75_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
 
Mtego wa samaki hauchagui. Mbona nyie hamtofautishi wakristo
Tatizo lenu viongozi wenu hawaoneshi kupinga yale yanayofanyika.
Ilhali siye viongozi hupinga kiasi wameweka hukmu mpaka za kifo.
 
Tizama ulichoandika na nilicholeta.
"Ulisema hiyo ayah inaruhusu unyang'anyi na wizi"
Je hiyo ayah inasema hivyo!?
Ngawira ni mali zipatikanazo baada ya vita.Wala sio mali za uporaji.
Huna hoja endelea kubwabwaja.
Hapa vipi?
Allah alishindwa kumlinda mtume wake?
Demanded the protection of armed bodyguards, even in a house of worship
(Quran 4:102)
 
Tatizo lenu viongozi wenu hawaoneshi kupinga yale yanayofanyika.
Ilhali siye viongozi hupinga kiasi wameweka hukmu mpaka za kifo.
Kwa sababu sisi hatujaagizwa kumpigania Mungu wetu.
Fight those who believe neither in God nor the Last Day, nor what has been forbidden by God and his messenger, nor acknowledge the religion of Truth, even if they are People of the Book, until they pay the tribute and have been humbled. - 9:29
 
Kwa sababu sisi hatujaagizwa kumpigania Mungu wetu.
If you should die or be killed in the cause of Allah, His mercy and forgiveness would surely be better than all they riches they amass. If you should die or be killed, before Him you shall all be gathered. - 3:157-8
Jihad sio kumpigania Mungu bali Jihad ni kuipigania imani yako kifedha na kinguvu.
Kama wewe huwezi linda amana ulopewa hivi utakua na imani kweli wewe??
Imani halisi ni kuwa na uwezo wa kujitolea na kuilinda amana yake.
Mungu anawesa kujipigania mwenyewe.
Kasome suratul fiyl uone walichofanywa walotaka kuvunja Al kahba.
 
Sheria inasemaje.???
Mimi na wewe nani ana hoja yenye nguvu??
Nimekuwekea sheria inasemaje hao sio waislam tena.
View attachment 2951013
Acha kukaza fuvu. Umesema hakuna shoga mwislam, nimekupa ushahidi unaanza kusema tena sheria.

Tangu lini sheria ya Tanzania ikaruhusu wizi? Je wezi hawapo?
 
Jihad sio kumpigania Mungu bali Jihad ni kuipigania imani yako kifedha na kinguvu.
Kama wewe huwezi linda amana ulopewa hivi utakua na imani kweli wewe??
Imani halisi ni kuwa na uwezo wa kujitolea na kuilinda amana yake.
Mungu anawesa kujipigania mwenyewe.
Kasome suratul fiyl uone walichofanywa walotaka kuvunja Al kahba.

Ndio maana nikasema mmeagizwa kufanyia watu ukatiri. Kwani allah alishindwa ku deal nao?
Whether unarmed or well-equipped, march on and fight for the cause of Allah, with your wealth and your persons. - 9:41
 
Hapa vipi?
Allah alishindwa kumlinda mtume wake?
Demanded the protection of armed bodyguards, even in a house of worship
(Quran 4:102)
Unacholeta hakiendani na uhalisia wa tafsiri.
Hiyo ayah ni mushahabihaat yani yenye mlolongo ili itimie maana inabidi uanze na 100 mpaka 104.
Mungu anasema kama watu mpo katika jihad mnaruhusiwa kuswali wa nyuma huku wa mbele wakipigana kesha wambele warudi na wanyuma wapigane ila si ruhusa kusalimisha silaha kirahisi katika vita.
Screenshot_2024-04-01-18-27-04-62_9c8f038911ec651d7a588d16d22aeb03.jpg
 
Ndio maana nikasema mmeagizwa kufanyia watu ukatiri. Kwani allah alishindwa ku deal nao?
Whether unarmed or well-equipped, march on and fight for the cause of Allah, with your wealth and your persons. - 9:41
Piganieni kusudi la Mungu ila sio kumpigania Mungu.
Kupigania kusudi laa na kumpigania vinafanana???
Nahisi unatakiwa ufundishwe misamiati na maana zake kiufasaha.
 
Unacholeta hakiendani na uhalisia wa tafsiri.
Hiyo ayah ni mushahabihaat yani yenye mlolongo ili itimie maana inabidi uanze na 100 mpaka 104.
Mungu anasema kama watu mpo katika jihad mnaruhusiwa kuswali wa nyuma huku wa mbele wakipigana kesha wambele warudi na wanyuma wapigane ila si ruhusa kusalimisha silaha kirahisi katika vita.
View attachment 2951014
Tafsiri fanya wewe, mimi nachukua kilichosemwa na alaah nakupa kama ushahidi
 
Ndio maana nikasema mmeagizwa kufanyia watu ukatiri. Kwani allah alishindwa ku deal nao?
Whether unarmed or well-equipped, march on and fight for the cause of Allah, with your wealth and your persons. - 9:41
Unajua sababu ya kushuka hiyo surah??
Kama tumefundishwa ukatili mbona waislam walivyokua wanateswa Makkah hawakuamrishwa wapigane bali waliamrishwa wahame kutoka Makkah kwenda Madinah??
Ila licha ya waislam kuhama Madinah makafiri wakawafata huko huko na kuwapiga vita.
Hapo ndio Suratul Taubah ikashuka kuwa waislam wanaruhusiwa sasa kupigana na kujitetea maana licha ya kuhama bado wamefatwa na kuchokozwa.
 
Back
Top Bottom