gammaparticles
JF-Expert Member
- Jan 9, 2024
- 1,407
- 3,855
Ubaguzi unaanzia pale nyinyi machogo kutwa kuchwa kubumbwa habari za uongo humu kuhusu Zanzibar na UislamuHivi uislam unakufundisha ubaguzi kiasi hiki? Zama za ubaguzi zilishapitwa na wakati na hutofanikiwa.
Mungu anawapenda wote, iweje wewe binadamu tu?
By the way Zanzibar aiongozwi kidini.
We control you.Machogo mtoke sasa mfunge virago, hatuwataki huku, na sasa ndio mjue hivyo
Ni njaa zenu zimewaleta huku, ndio maana wote mnafanya vikazi vya ajira tu za kuungaunga,
Hakuna mwenye biashara kubwa wala kampuni au kiwanda, hamna faida yeyeto huku mtoke sasa, tulikuwa tunawalia timing na mmeingia cha kike sasa
Kawafate Zanzibar walioweka hiyo sheria.Utanipangiaje pa kulia chakula changu? Kwani ulinisaidia kukitafuta. Walafi tu nyie. Mtu mzima unashindwaje kujizuia na kuendelea na mfungo wako kisa umemuona mtu akila chakula chake? Nyie ni watoto wenye maumbo makubwa tu. Hivyoooo
Unataka tuanzishe mjadala wa nani zaidi kati ya Zanzibar na Bara? Au unamaanisha nini?Ubaguzi unaanzia pale nyinyi machogo kutwa kuchwa kubumbwa habari za uongo humu kuhusu Zanzibar na Uislamu
Sasa tukijibu, huwa hakuna rangi hamtoona, kaeni kimya au hapa ni jicho kwa jicho
By the way hatutaki Zanzibar iendeshwe kiislamu, lakini kwa kuwa utamaduni na mila zinaendana na uislamu, lazima ziheshimiwe.
Narudia tena hamjaitwa kuja huku, ni njaa zenu zimewaleta, mnaweza mkaondoka tu ikawa poa.
Visiwani siondoki hata kwa mtutu.Ubaguzi unaanzia pale nyinyi machogo kutwa kuchwa kubumbwa habari za uongo humu kuhusu Zanzibar na Uislamu
Sasa tukijibu, huwa hakuna rangi hamtoona, kaeni kimya au hapa ni jicho kwa jicho
By the way hatutaki Zanzibar iendeshwe kiislamu, lakini kwa kuwa utamaduni na mila zinaendana na uislamu, lazima ziheshimiwe.
Narudia tena hamjaitwa kuja huku, ni njaa zenu zimewaleta, mnaweza mkaondoka tu ikawa poa.
Hao jamaa huwa hawafungi wanabadilisha milo ya chakula.Acha ujinga. Unapata wapi haki ya kunipangia mahali pa kulia chakula changu? Kuna ubaya gani wewe unayefunga ukipita pembeni ukaniacha mie nisiyefunga nakula chakula changu kwa uhuru?!!
Umeandika kwa kutumia elimu ya madrasa. Hongera sanaUbaguzi unaanzia pale nyinyi machogo kutwa kuchwa kubumbwa habari za uongo humu kuhusu Zanzibar na Uislamu
Sasa tukijibu, huwa hakuna rangi hamtoona, kaeni kimya au hapa ni jicho kwa jicho
By the way hatutaki Zanzibar iendeshwe kiislamu, lakini kwa kuwa utamaduni na mila zinaendana na uislamu, lazima ziheshimiwe.
Narudia tena hamjaitwa kuja huku, ni njaa zenu zimewaleta, mnaweza mkaondoka tu ikawa poa.
Hio dini hapana aiseeHao jamaa huwa hawafungi wanabadilisha milo ya chakula.
Mchana kutwa amevimbiwa, hana njaa.
- Chakula cha asubuhi atakula saa 1 usiku
- Chakula cha mchana atakula saa 5 usiku
- Chakula cha usiku atakula saa saa 10 alfajiri
hakuna sheria ya namna hiyo kwenye dini. mimi kuona mtu anapata mawaa mtu kula hadharani namuona ni mlafi wa chakula tu hajafunga bali anafuata mkumbo tu.Mimi muislam ila hii sheria sijaikubali.
Ni mambo ya kijinga kwa mimi navyoona.
Hii ndio ligi naitaka sasaUmeandika kwa kutumia elimu ya madrasa. Hongera sana
Wakristo wanakula nguruwe, wameambiwa kimuingiacho mtu si haramu bali kimtokacho. Wamepeea agano jipya na kanuni ya upendo.Ni wapi kumeandikwa Wakristo wale Nguruwe
kwa muislamu hata kama hajafunga ataona haya kula hadharani lakini kwa asiye muislam aachwe ale hadharani popote pale kama anavyokula siku zingine. kuna visheria vingine ni vya kijinga kama si vya kuleta utengano. zaidi inachoshangaza ni kuwakamata na kuwaadhibu.Sijakuelewa.
Maana hakuna sheria katika uislam inayoruhusu kwa wanachofanya Zanzibar.
Labda sijakuelewa unaulizia sheria ipi.
Kufunga ni kwa mtu mwenyewe wengine hawahusishwi hata wawe wanakula hadharani.
Japo kibusara si vizuri kula hadharani kipindi hiki,ila hakuna sheria iliyowekwa ya kumhukumu mtu akila hadharani.
Sasa si mkawaombe UN waje kuwasaidiaWe control you.
Everything happening in znz is controlled by Tanganyika
so sad even UN doesn't recognise you
Hajajibu mpaka sasa.
aloo shule muhimu. hebu cheki pwenti hii umeandika mukuu wa kaziπΉ Kama una support hilo basi ifurahie na ukubaliane na waislamu wanaouawa kule India yenye majority ya wahindu
πΉ Unapokuwa sehemu ambayo ninyi ni majority ni jukumu Lenu ku safe guard haki za minority na sio minority wa safeguard haki za majority
Ngoja nimuite aliyeandika kitabu chenye kuitwa "Aya za shetani" atusaidie ukiombacho ila usishike jambia.Embu elezea huo ushetani wa uislam.
Ila angalia usije kula za uso wewe.
Tunasubiri huo ushetani uuelezee hapa.
Waislamu wengi kama hao wanaofanya fujo Zanzibar ni wajinga hawajui minority rights, wanajifanya Uislamu wao ndio dini ya maana ya kutawala dunia, wakati hawajui kuwa wao wanavyowaonea watu wasio Waislamu kwenye nchi za Kiislamu, ndivyo hivyo hivyo Waislamu walio katika nchi zisizo za Kiislamu wanaweza kuonewa.kwa muislamu hata kama hajafunga ataona haya kula hadharani lakini kwa asiye muislam aachwe ale hadharani popote pale kama anavyokula siku zingine. kuna visheria vingine ni vya kijinga kama si vya kuleta utengano. zaidi inachoshangaza ni kuwakamata na kuwaadhibu.
karume alileta hiyo sheria zamani lakini pengine shule yake kua ndogo na kukosa exposure plus na kupokea dini kwa mihemko. kuna mambo hayawezi kua applicable kwa zama tuko nazo sasa. mabadiliko ni lazima. ndio maana hata Arabuni kuna amendments kibao kila uchwao. mfano mzuri saudia waliona ni sheria ya kipumbavu kuzuia wanawake kuendesha magari wakafuta. lakini usishangae hata ktk hilo kuna waitikadi kali waliona kama ni makosa.
Hap wajinga wajinga wengi hata shule hawajaenda hawawezi kuelewa somo la minority rights na umuhimu wake.πΉ Kama una support hilo basi ifurahie na ukubaliane na waislamu wanaouawa kule India yenye majority ya wahindu hivyo watu wote wanalazimishwa waabudu ngombe na madude mengine na misikiti inabadilishwa kuwa hekalu
πΉ Kama unafurahia huo upuuzi unaofanyika huko Zanzibar kwa sababu ya sheria za kidini basi ukubaliane na wayahudi wanavyoua wapalestina ukanda wa Gaza kwa sababu Wana maandishi ya Musa yanayosema hiyo ni eneo lao la ahadi wslioahidiwa na Mungu
πΉ Unapokuwa sehemu ambayo ninyi ni majority ni jukumu Lenu ku safe guard haki za minority na sio minority wa safeguard haki za majority
πππ Mambo mengine ni us...n..e kweliIla hakuna sheria iliyowekwa ya kumhukumu mtu akila hadharani.
π¨π¨π¨Hawajui kwamba kuna Waislamu wengi sana wako minority nchi zisizo za Kiislamu na watu wakianza kuwabagua kwa sababu wao ni minorities, Waislamu wenzao watapata shida sana.