Baba Ndubwi
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 1,223
- 1,992
Kwa namna unavyoropoka yawezekana hata hiyo Zanzibar unaionaga kwenye picha,Tv na Simu tuu ila hujawahi fika wala kuishi huko.
Watu wanakamatwa ndani,yaani ndani ya nyumba wewe wacha kukurupuka uliza wenyeji.
Pale kanisani walikamatwa wakiwa sehemu ya kula iliyopewa kibali.
Ilikuwa ukikutwa huna sahani unasombwa tuu.
Ila ukifikishwa huko kesi inakuwa kula hadharani
Watu wanakamatwa ndani,yaani ndani ya nyumba wewe wacha kukurupuka uliza wenyeji.
Pale kanisani walikamatwa wakiwa sehemu ya kula iliyopewa kibali.
Ilikuwa ukikutwa huna sahani unasombwa tuu.
Ila ukifikishwa huko kesi inakuwa kula hadharani