Polisi wa Zanzibar kuwakamata watu kisa kuwakuta wakila mchana kipindi cha Ramadhan ni uvunjifu wa sheria za Nchi

Polisi wa Zanzibar kuwakamata watu kisa kuwakuta wakila mchana kipindi cha Ramadhan ni uvunjifu wa sheria za Nchi

Kwa namna unavyoropoka yawezekana hata hiyo Zanzibar unaionaga kwenye picha,Tv na Simu tuu ila hujawahi fika wala kuishi huko.
Watu wanakamatwa ndani,yaani ndani ya nyumba wewe wacha kukurupuka uliza wenyeji.
Pale kanisani walikamatwa wakiwa sehemu ya kula iliyopewa kibali.
Ilikuwa ukikutwa huna sahani unasombwa tuu.
Ila ukifikishwa huko kesi inakuwa kula hadharani
 
Hehehe lipumbavu gadi la dini na mtakoma tu, mpaka sasa mazombi yenu yamekufa zaidi ya 30,000

GFfUGgLWkAAh9uE.jpeg
 
Kuhusu watu kuadhibiwa kula hadharani ZANZIBAR hilo naliunga mkono.Imani za watu ziheshimiwe

Unajua nashindwa kuelewa watu wanatokwa na povu kwa suala dogo kama hili kwani haswa wakati taratibu za wenzetu zipo wazi?

ZANZIBAR hakuna aliyelazimishwa kufunga ispokua utaratibu wa kule unakataza mtu kula hadharani hasa kipindi hiki cha Mwezi mtukufu wa Ramadhan

Na mnajua ZANZIBAR asilimia 99.999 ni waislam, na lazima tamaduni za watu ziheshimiwe kama unataka kula mchana we kula tu lakini sio vizuri kula hadharani maana yake utakua unafundisha nini jamii?

Kwa huku bara hata mtu ukila ni sawa tu maana humu tumechanganyikana watu wa dini tofauti ZANZIBAR wengi ni waislam na nashangaa watu mnatokwa na mapovu kwenye hili

Ni ushetani mkubwa kutokua na haya na kwenda kula public mwezi wa ramadhan katika jamii ambayo ni waislam watupu kwanini usitafute mahala kwako au ndani kwako ukala?Kwanini ule hadharani?

Kuna mtu kahoji kwahiyo mbona sisi kwaresma huwa hatuwagusi waislam ambao unakuta hawajafunga?Swali ni mkristo yupi anafungaga kwaresma?Mimi nimekulia sehemu zenye Christian majority sijawahi kuona mtu kafunga hata kwa bahati mbaya....Kwahyo msipende kucompare dini za watu, kama mnaridhika imani zenu kuchezewachezewa kwasababu zishakua "imani cheap" ni nyie ila sio uislam.

Uislam sio dini ya masihara na mchezomchezo ndo maana ndo dini inakua kwa kasi kidunia na ipo tokea karne pamoja na kupigwa vita vya kimwili na kiroho.Watu washaacha dini yao ishaharibiwa huko na kuchezewa vya kutosha sasa wanataka uislam iwe dini ya hivyo hilo No!!

Mnaotokwa na mapovu kuhusu sakata la kula kumbukeni ZANZIBAR asilimia 99 ni waislam kwahyo tamaduni za walowengi ziheshimiwe..

Kama ulikua na mikiu yako ya kula minguruwe yako ungeenda kujifungia ndani ule kwa raha zako!! Msipende kuwaponza waliofunga!!Mimi naunga mkono wachapwe tu.kila mtu aheshimu imani ya mwenzake kama ambavyo yake huheshimiwa.

Binafsi yangu nimeishi kwenye jamii nyingine ambazo ni za imani tofauti na mimi au tamaduni tofauti ila nilifanikiwa pakubwa kuishi nao kwasababu niliishi kwa kutii taratibu zao na mambo yalienda vizuri tu.
Dini inakuwa kwa kasi kwa kuzaliana sio ideology au convert watu pia ila ni dini ya hovyo ....itaendaelea kuwepo ila after sometime nchi zingine zitaanza kupiga marufuku koz ina mafundisho ya hatari kwa binadamu mfano kuchukia watu wengine
 
Tafadhari naomba kufahamishwa kwa mjibu wa taratibu za kiislam ni sahihi kuwatendea hivyo wasio waislam ? Tena kwenye maeneo yao?
 
Mkuu,

Unasema imani za watu ziheshimiwe.

Waislamu walio Uingereza nao walazimishwe kutofunga na kula nguruwe kwa sababu imani za watu ziheshimiwe?

Au hii heshima ni special kwa Waislamu tu?

Waislamu walio india walazimishwe kutofunga na kula nguruwe kwa sababu imani za watu ziheshimiwe?

Au hii heshima ni special kwa Waislamu tu?
Umemuuliza maswali mazuri sana

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Ni ushetani mkubwa kutokua na haya na kwenda kula public mwezi wa ramadhan katika jamii ambayo ni waislam watupu kwanini usitafute mahala kwako au ndani kwako ukala?Kwanini ule hadharani?
Makobazi wanafiki sana, mnafanana na makaburi yaliyopambwa vizuri kwa nje ila ndani ni mifupa mikavu. Wacheni watu wajinafasi kula kujiachia. Vitendo mfanyiavyo watu hata serikali yenu imewakana acheni uhuni wa kipumbavu kwa kujifanya waswalihina kuliko hata mtume.
 
Makobazi wanafiki sana, mnafanana na makaburi yaliyopambwa vizuri kwa nje ila ndani ni mifupa mikavu. Wacheni watu wajinafasi kula kujiachia. Vitendo mfanyiavyo watu hata serikali yenu imewakana acheni uhuni wa kipumbavu kwa kujifanya waswalihina kuliko hata mtume.
Kumbe mnafahamu mnavyo fanya makaburini ni kazi bure.
 
Mkuu,

Unasema imani za watu ziheshimiwe.

Waislamu walio Uingereza nao walazimishwe kutofunga na kula nguruwe kwa sababu imani za watu ziheshimiwe?

Au hii heshima ni special kwa Waislamu tu?

Waislamu walio india walazimishwe kutofunga na kula nguruwe kwa sababu imani za watu ziheshimiwe?

Au hii heshima ni special kwa Waislamu tu?
Ni wapi kumeandikwa Wakristo wale Nguruwe
 
Tafadhari naomba kufahamishwa kwa mjibu wa taratibu za kiislam ni sahihi kuwatendea hivyo wasio waislam ? Tena kwenye maeneo yao?
Sio sahihi, tatizo watendaji wengi wa serikali wana mihemko, mtu akikabidhiwa jukumu hulifanya kwa kupitiliza pasi na kuweka mbele utu. Wanajali sana maagizo wanayopewa bila kuingiza utu. Mtume Muhammad (SAAW) ameagiza kuwatendea wema wasio waislam. Na sio dhambi kama muislam atapata wageni wasio waislam mchana wa Ramadhan na akawatengea chakula. Kwani wao funga hiyo haiwawajibikii kisheria.
 
Kuhusu watu kuadhibiwa kula hadharani ZANZIBAR hilo naliunga mkono.Imani za watu ziheshimiwe

Unajua nashindwa kuelewa watu wanatokwa na povu kwa suala dogo kama hili kwani haswa wakati taratibu za wenzetu zipo wazi?

ZANZIBAR hakuna aliyelazimishwa kufunga ispokua utaratibu wa kule unakataza mtu kula hadharani hasa kipindi hiki cha Mwezi mtukufu wa Ramadhan

Na mnajua ZANZIBAR asilimia 99.999 ni waislam, na lazima tamaduni za watu ziheshimiwe kama unataka kula mchana we kula tu lakini sio vizuri kula hadharani maana yake utakua unafundisha nini jamii?

Kwa huku bara hata mtu ukila ni sawa tu maana humu tumechanganyikana watu wa dini tofauti ZANZIBAR wengi ni waislam na nashangaa watu mnatokwa na mapovu kwenye hili

Ni ushetani mkubwa kutokua na haya na kwenda kula public mwezi wa ramadhan katika jamii ambayo ni waislam watupu kwanini usitafute mahala kwako au ndani kwako ukala?Kwanini ule hadharani?

Kuna mtu kahoji kwahiyo mbona sisi kwaresma huwa hatuwagusi waislam ambao unakuta hawajafunga?Swali ni mkristo yupi anafungaga kwaresma?Mimi nimekulia sehemu zenye Christian majority sijawahi kuona mtu kafunga hata kwa bahati mbaya....Kwahyo msipende kucompare dini za watu, kama mnaridhika imani zenu kuchezewachezewa kwasababu zishakua "imani cheap" ni nyie ila sio uislam.

Uislam sio dini ya masihara na mchezomchezo ndo maana ndo dini inakua kwa kasi kidunia na ipo tokea karne pamoja na kupigwa vita vya kimwili na kiroho.Watu washaacha dini yao ishaharibiwa huko na kuchezewa vya kutosha sasa wanataka uislam iwe dini ya hivyo hilo No!!

Mnaotokwa na mapovu kuhusu sakata la kula kumbukeni ZANZIBAR asilimia 99 ni waislam kwahyo tamaduni za walowengi ziheshimiwe..

Kama ulikua na mikiu yako ya kula minguruwe yako ungeenda kujifungia ndani ule kwa raha zako!! Msipende kuwaponza waliofunga!!Mimi naunga mkono wachapwe tu.kila mtu aheshimu imani ya mwenzake kama ambavyo yake huheshimiwa.

Binafsi yangu nimeishi kwenye jamii nyingine ambazo ni za imani tofauti na mimi au tamaduni tofauti ila nilifanikiwa pakubwa kuishi nao kwasababu niliishi kwa kutii taratibu zao na mambo yalienda vizuri tu.
Kwanza ukifunga hutakiwi kujionyesha,unafunga rohoni na sio mwilini. Usikute umefunga Ila unachati na mchepuko unamwambia subiria nifungue tutafanya kula utamu.
Pia ukiwa umefunga hata nikikuangalia usoni tu haitakiwi nijue ,hii ishu sio za kimwili Wala kijaziba.

Why Imani yako wewe uwe kero kwa mwingine,yaani unafunga ramadhani unazini shabani.
Mlipofunga penyewe kuchapa ama kuwashtaki wengine unaona hayo ndio matendo mema kwa Muumbaji wako
 
Nyie mapumbavu sana yaani mkiambiwa mdhihirishe uwepo wa huyo 'mungu' wenu anayesababisha mfanye hayo maujinga yote mnakosa la kusema zaidi ya kuvaa dera/kanzu mfanane na muarabu. Sasa hivi hiyo dini yenu ndio chukizo la dunia, imekua kero hadi basi, hamtakiwi popote, mnalazimisha huo upumbavu wa muarabu kwa kila mtu, ona hii picha mlivyo na upumbavu wa kunyanyua makalio katikati ya barabara za nchi ya watu.....

main-qimg-17512da37a0b1e02107ce7cc1999f006
Nabii Issa AS nae alisujudu kama hivi unavyo ona Umma Bora unafanya.
 
Back
Top Bottom