Hakika jeshi limekuja kivingine, ukiweka ugoko wanaweka jiwe.
Hii ni moja ya zana ya kisasa ya kudhibiti wahuni kipindi cha uchaguzi, nyingine bado hazijaonyeshwa. Nasubiri nione dizaini ya rungu, nashauri kule Mbele ziwekewe kama miba miba hivi, ili zikigonga ugoko mtu asikilizie mpaka kwenye ubongo.
Pia gari za maji ya kuwasha yaongezwe ukali ili mtu ajikune kama Ndala Kasheba anapiga nyuzi za gitaa lake
View attachment 3215496
SWAT TEAM imeingia katika jeshi letu la Polisi.Hakika jeshi limekuja kivingine, ukiweka ugoko wanaweka jiwe.
Hii ni moja ya zana ya kisasa ya kudhibiti wahuni kipindi cha uchaguzi, nyingine bado hazijaonyeshwa. Nasubiri nione dizaini ya rungu, nashauri kule Mbele ziwekewe kama miba miba hivi, ili zikigonga ugoko mtu asikilizie mpaka kwenye ubongo.
Pia gari za maji ya kuwasha yaongezwe ukali ili mtu ajikune kama Ndala Kasheba anapiga nyuzi za gitaa lake
View attachment 3215496
Serikali inashindwa kuhudumia wajawazito ila pesa za kununua vifaa vya mauaji zipoHakika jeshi limekuja kivingine, ukiweka ugoko wanaweka jiwe.
Hii ni moja ya zana ya kisasa ya kudhibiti wahuni kipindi cha uchaguzi, nyingine bado hazijaonyeshwa. Nasubiri nione dizaini ya rungu, nashauri kule Mbele ziwekewe kama miba miba hivi, ili zikigonga ugoko mtu asikilizie mpaka kwenye ubongo
Pia gari za maji ya kuwasha yaongezwe ukali ili mtu ajikune kama Ndala Kasheba anapiga nyuzi za gitaa lake
View attachment 3215496
Gloves 🧤 zinawashinda, ila wananunua gari za kuwaeruhi wapinzani, wanaoandamana, lakini kununua glove's ni shidaaa , Watanzania amkeni!!Serikali inashindwa kuhudumia wajawazito ila pesa za kununua vifaa vya mauaji zipo
Hawatoi bure, kwani in return anawagawia bandari, kia na ngorongoroHuo ni msaada na ni chache hazifiki hata kumi.Hii Nchi Kwa kuombaomba Hadi kero?.Mama anapenda sana kutembeza bakuli Hadi watoa misaada wanatushangaa
Kumbuka " Muosha huoshwa"Hakika jeshi limekuja kivingine, ukiweka ugoko wanaweka jiwe.
Hii ni moja ya zana ya kisasa ya kudhibiti wahuni kipindi cha uchaguzi, nyingine bado hazijaonyeshwa. Nasubiri nione dizaini ya rungu, nashauri kule Mbele ziwekewe kama miba miba hivi, ili zikigonga ugoko mtu asikilizie mpaka kwenye ubongo.
Pia gari za maji ya kuwasha yaongezwe ukali ili mtu ajikune kama Ndala Kasheba anapiga nyuzi za gitaa lake
View attachment 3215496
SubaruBrand gani hii gari
Kumbe Hata Yutong Ni Msaada, Aibu GaniHuo ni msaada na ni chache hazifiki hata kumi.Hii Nchi Kwa kuombaomba Hadi kero?.Mama anapenda sana kutembeza bakuli Hadi watoa misaada wanatushangaa
Haina maajabu yoyote ya kawaida tu halafu hivyo yaan fresh ikisogezewe semitela moja scania iliyoshiba vizuri inageuka chapatiHiyo ndiga jumamosi jioni nliiona pale msimbazi police
Nakumbuka mwaka 1994 Mrema akiwa waziri wa mambo ya ndani alienda kufanya shopping ya mabomu ya kisasa ya kutoa machozi huku akiwatukana wapinzani na kuwaita vichaa lakini mwaka 1995 akiwa mgombea wa Urais kupitia NCCR Mageuzi alikuwa wa kwannza kupigwa mabomu hayo kule Moshi na aliyekuwa RPC wa Kilimanjaro Omar Mahita karibu yampofue macho. Hawa hawa askari wanaowatumia kuteka na kuua wapinzani kuna siku watawageuzia hiyo mitutu.Hawatoi bure, kwani in return anawagawia bandari, kia na ngorongoro
Ndio maana Trump akausoma mchezo mapema,SWAT TEAM imeingia katika jeshi letu la Polisi.
Toka maktaba: SWAT TEAM kazini nchini Marekani
View attachment 3215503