Polisi wabadili gia angani, Wanadai hawajui alipo Mfanyakazi wa LHRC Tito Magoti



Hapa ndipo lilipofikia Jeshi la Polisi la Tanzania , bila shaka kuna laana inaliandama .
 

Attachments

  • Two contradicting statements.! ( 268 X 480 ).mp4
    1.1 MB
Hizo ni ngonjera tu. Hivi ni operation ya siri kiasi gani hata ushindwe kumjulisha RPC wa eneo hilo? Halafu imefanywa na askari kanzu hivi askari wengine wakiwaona wafikiri ni majambazi si wanaweza kuwarushia risasi wakawaua wenzao?

Ukiona operesheni ya siri hata RPC haambiwi basi inamaana bosi amekosa imani na huyo RPC na ingekua bora amuondoe halafu aweke ambaye anamuamini.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu @Bollen Ngeti nae wanamshikilia?!,nimezimisi sana makala zake kule fb

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi Ulimboka alipotelea wapi? Roma yeye anasemaje kuhusu masahibu yake na kwanini Makonda (Bashite) huwa anajishughulisha na watu wanaotekwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…