Good People
JF-Expert Member
- Aug 6, 2016
- 945
- 1,819
Serikali kupitia idara ya Uhamiaji imesema inamtafuta popote pale Mange Kimambi anayeishi Marekani kwa tuhuma za kuibua uovu mbalimbali Katika Serikali na watu wengine
Mange Kimambi amekua Blacklisted ambapo hataruhusiwa kuingia nchini au Kutoka nchini.
Mange ambaye kwa juhudi zake hutumia namba ya simu ya WhatsApp kukusanya taarifa mbalimbali pia ameipata barua hiyo ya siri ikiwaelekeza maofisa wa uhamiaji uwanja wa ndege.
Anaweza akapewa Uraia kamili kama mkimbizi sasa maana ile document ikifika US atasaidiwa Pia namshauri ahame Los Angels anakokaa kwa sababu panajulikana Kwani Serikali Ina Mkono mrefu inaweza kutuma Ujumbe wa kumaliza huko.
Ningeweza kuleta shot yake ya instagram lakini ametumia lugha ya matusi sana na ameiweka Private sasa.
Mange Kimambi amekua Blacklisted ambapo hataruhusiwa kuingia nchini au Kutoka nchini.
Mange ambaye kwa juhudi zake hutumia namba ya simu ya WhatsApp kukusanya taarifa mbalimbali pia ameipata barua hiyo ya siri ikiwaelekeza maofisa wa uhamiaji uwanja wa ndege.
Anaweza akapewa Uraia kamili kama mkimbizi sasa maana ile document ikifika US atasaidiwa Pia namshauri ahame Los Angels anakokaa kwa sababu panajulikana Kwani Serikali Ina Mkono mrefu inaweza kutuma Ujumbe wa kumaliza huko.
Ningeweza kuleta shot yake ya instagram lakini ametumia lugha ya matusi sana na ameiweka Private sasa.