Polisi wadaiwa kumsaka Mange Kimambi. Latolewa agizo la siri kwa vituo akionekana akamatwe!

Mimi ningeona serikali inabusara Kama ingefatilia yale anayoyasema yana ukweli kiasi gani, Kama ni kweli wampe support Kama ni uongo ndiyo wangetoa hiyo taarifa, tatizo Kuna mambo mange kayazungumza ni ukweli mtupu lakini serikali inajifanya haioni
 
Una akili ndogo sana ndugu yangu. Sijui kama una cheti hata cha la 7.
Mi naona wewe ndo utakuwa na akili ndogo kwa sababu. Umesema Mange anachuki sana na wanawake wenzie ndo nikakuuliza makonda ni mwanamke? Cha ajabu unaniletea ngonjera nyingi. Haya endelea na kazi zako maana hujielewi hata umeongea nini
 
Mimi ningeona serikali inabusara Kama ingefatilia yale anayoyasema yana ukweli kiasi gani, Kama ni kweli wampe support Kama ni uongo ndiyo wangetoa hiyo taarifa, tatizo Kuna mambo mange kayazungumza ni ukweli mtupu lakini serikali inajifanya haioni
Duh!

Yaani serikali nayo iwe inaendeshwa na matukio ya Instagram?

Aiseeee[emoji54]
 
Nashangaa sana kuona baadhi ya member jf kusifia kwamba mange kashindikana na serikali,mange kama karatasi tu yaani mwepesi kukamatwa kwake na kitu chochote anachotegemea na nahisi wastaafu waliamia CDM wanausika na yote haya
Unamaaniasha wastaafu waliohamia chadema wana nguvu kumzidi Sizonje ?

Ila Kwa kiasi fulani John sizonje ana mawazo kama yako.
 
Na ubaya wa hii, kama kikimtokea chochote huko Marekani kilichokuwa linked na serikali ya TZ kwa mfano, inaweza kuibua diplomatic crisis mbaya sana kati ya USA na TZ, maana spying in the USA on behalf of other countries Marekani huichukulia very serious!
 
Hapo wamempa uwezekano wa kupewa asylum protection.Akienda office za home secretary USa ,atapewa ganda hata kama alikuwa hana.

Mkuu kwa kipindi hiki US wanatoa gamba ovyo kama kipindi cha nyuma?
Hukusikia kuna wasomalia wamerudishwa makwao na walikuwa na RP?
Je waghana nao waliorudishwa makwao?
Kwa utawala huu wa trump upo tofauti sana ingekuwa kipindi cha obama jamaa alikuwa fair sana.
Hapa tusubiri tuone serikali itakavyoumiza kichwa kumpata mwanadada huyu mi nafikiri anatumiwa na baadhi ya watu ambao wapo kwenye nyazifa kubwa serikali ili ampake mavi mkulu na mwanae.
Kama sivyo basi CDM wamempa ajira hiyo?
Nasema hivyokwasababu yeye binafsi ni CDM pure.
 
Kwakweli Mimi binafsi nampongeza sana huyu whistleblower Dada mange kimbambi amekuwa ni msaada wa kufichua maovu ya serikali hii. Huku tukiisema serikali tunakamatwa bora tumtumie mabomu yeye ayaachie huko matekani
 
Ukiona kichwa cha habari lugha ngeni jua sisi ni ile timu tetea home boy!
 
Kama wanaubavu watoe amri kwa Trump awaletee mpaka ofisini kwao lakini wakijidai na tule tujamaa tuliyojificha mwenge tutalaluliwa kama swala mbele ya simba mwenye njaa hata kabla hatujakugusa mipaka ya Marekani.
 
Haha serikal ina mkono mrefu ...
Okey ngoja tuuone huo mkono
And by the way hii ni thread ya tatu sjui ya nne inazungumzia the same thing tokea jana ...its not big issue
Kama mnafikiri mna deal na crook bas endeeeleen ndivo marekan walidhan kwa snowden ni just a small boy or just a hacker....but ona sasa hivi...ukijaribu kumsogelea means unaivamia urusi
You know what that means ...vita ya 3 ya dunia
 
Watu kama hawa US inawaprotect sana.
sio serikali ya trump. asije shangaa akirudishwa tz kimzobezobe. democrates ndio wanaprotect all sorts of immorals kama mange kimambi. mashoga ndoa za jinsia moja prostitutes etc. walipata mwavuli chini ya kina obama..sio trump
 
Serikali haiwezi kumfanya chochote akiwa marekani, Huwezi Fanya assassination attempt kwenye aridhi ya marekani, mtiti wake Unaweza kuwa wa karne. Wamarekani wanaitukuza sana ardhi yao, wanailinda sana. U can't simply do that on US soil.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…