MR MAJANGA
JF-Expert Member
- Oct 4, 2014
- 3,444
- 10,687
Mimi ningeona serikali inabusara Kama ingefatilia yale anayoyasema yana ukweli kiasi gani, Kama ni kweli wampe support Kama ni uongo ndiyo wangetoa hiyo taarifa, tatizo Kuna mambo mange kayazungumza ni ukweli mtupu lakini serikali inajifanya haioni