Kwanza kwa watoto wale aliozaa na rais wa US c ajabu na yeye ni raia wao so wakimgusa lazima moto utawaka. Si mnajua vile nchi za wenzetu zinavyojali sana raia wakeKwa sirikali ya tanzania kufanya kitu kama cha rwanda ndani ya nchi ya marekani?sijui impact yake itakuwaje.yule anaringia nchi aliyopo inamlinda na ni taifa kubwa
As long as atafichua maovu ya viongozi wale then America will protect her.Nyumba kubwa kunavuja kuna leakage mahali.... Muundo wetu wa habari za siri sio air tight mark tena! Kuna mianya
Mange amekuwa the first to know figure kwenye mambo mengi sana... Ni nani anampenyezea habari nyeti kabisa? Za watu binafsi na hata nyumba kuu? Au ni wale wanajeshi mashushushu waliokuja na Obama Kisha tukawakabidhi paa letu ili waangalie usalama?
Mange amekuwa snowden wa Tanzania.. Lakini sijui Kama kwa hali ilivyo atavumiliwa sana....namkumbuka Ben pekeyake na chatu
Leo kwa habari za chini ya zulia ilitoka hati ya kumkamata pengine huko aliko lakini akainyaka kabla haijamfikia rasmi... Kama kawaida yake kawafungukia mbaya
Namkumbuka Karegeya wa Rwanda na kilichompata hotelini South Africa pekeyake chumbani
Ila shida yake unaweza kukuta ilipita zaidi ya mikono 30 ya watu tofauti toka inaandaliwa mpaka ilipotumwa kwa wahusika wenyewe so kukamata aliyevujisha inaweza kuwa changamoto piaLakini Kiuhalisia document kama hiyo kuvuja ni damage kubwa na inaweza kuondoka na mtu
Fasihi nzuri sanaSIDHANI KAMA KUNA HAJA YA KUHANGAIKA NA MANGE, pa kuparekebisha ni jikoni, jiko linavuja unakimbilia njie utanyeshewa tu. pia waosha vyombo jikoni wana thamani sana..wana ndugu zao wangependa nao wale chakula cha jikoni.
mh! sijui nakosea- ngoja nikimbie......
surelyKuna vitu ukivisoma vya huyu mama mpaka unaogopa hata kuendelea kusoma.
Pamoja na yote na kitu chochote kikitokea mange wewe ni mshindi.
[emoji15] [emoji15] [emoji15]Le Mpipa Akamatwe kwa Kukumbatia Wauza Madawa.##BASHITERAPA.
View attachment 482325
Akitoweka yeye naamini ataibuka mwingine kma yeye endapo afanyao ni kusudio la Mungu. hivyo inapaswa kujua kwa nn hasa yuko hapo?? . kumpoteza tu inaweza kusisaidie kitu . Maoni tuNyumba kubwa kunavuja kuna leakage mahali.... Muundo wetu wa habari za siri sio air tight mark tena! Kuna mianya
Mange amekuwa the first to know figure kwenye mambo mengi sana... Ni nani anampenyezea habari nyeti kabisa? Za watu binafsi na hata nyumba kuu? Au ni wale wanajeshi mashushushu waliokuja na Obama Kisha tukawakabidhi paa letu ili waangalie usalama?
Mange amekuwa snowden wa Tanzania.. Lakini sijui Kama kwa hali ilivyo atavumiliwa sana....namkumbuka Ben pekeyake na chatu
Leo kwa habari za chini ya zulia ilitoka hati ya kumkamata pengine huko aliko lakini akainyaka kabla haijamfikia rasmi... Kama kawaida yake kawafungukia mbaya
Namkumbuka Karegeya wa Rwanda na kilichompata hotelini South Africa pekeyake chumbani
Unajuaje hajaikana? Kumbukeni ana familia huko au hata pengine uraia wa nchi mbiliKuchamba kwingi tu.Hivi ikitokea pasi yake imekwisha atakapotakiwa arudi nyumbani kushughulika na pasi mpya atafanyaje
If they are real smart n committed they will track down the leakageIla shida yake unaweza kukuta ilipita zaidi ya mikono 30 ya watu tofauti toka inaandaliwa mpaka ilipotumwa kwa wahusika wenyewe so kukamata aliyevujisha inaweza kuwa changamoto pia
Mahalamia yameshaanza kumbe!?!? Kumbe Ben hakuondoka kwa bahati mbaya!!
Huenda anasikilizwa kuliko tudhaniavyoTatizo ni lugha anayoitumia ila kuna muda yapo mambo anaongea ya ukweli ila nani atamsikiliza.