Evarist Massawe
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 666
- 857
mbona hiyo doc haionekani kuwa ni ya siri. ni tangazo au taarifa kwenda vituo vyote vya uhamiaji, kwangu si tangazo la siri na wala halionyeshi kuwa lilikuwa la siri.kingine mtu anayemuunga mkono mange nahisi ana upungufu wa akili kama mange alivyo.Lakini Kiuhalisia document kama hiyo kuvuja ni damage kubwa na inaweza kuondoka na mtu