Polisi wadaiwa kumsaka Mange Kimambi. Latolewa agizo la siri kwa vituo akionekana akamatwe!

Polisi wadaiwa kumsaka Mange Kimambi. Latolewa agizo la siri kwa vituo akionekana akamatwe!

Lakini Kiuhalisia document kama hiyo kuvuja ni damage kubwa na inaweza kuondoka na mtu
mbona hiyo doc haionekani kuwa ni ya siri. ni tangazo au taarifa kwenda vituo vyote vya uhamiaji, kwangu si tangazo la siri na wala halionyeshi kuwa lilikuwa la siri.kingine mtu anayemuunga mkono mange nahisi ana upungufu wa akili kama mange alivyo.
 
mbona hiyo doc haionekani kuwa ni ya siri. ni tangazo au taarifa kwenda vituo vyote vya uhamiaji, kwangu si tangazo la siri na wala halionyeshi kuwa lilikuwa la siri.kingine mtu anayemuunga mkono mange nahisi ana upungufu wa akili kama mange alivyo.
Lina muhuri wa SIRI tafsiri yake ni nini?

Sent from my INFINIX-X551 using JamiiForums mobile app
 
Kuna kipindi account yake ya insta ilifungwa kwa siku mbili kumbe jeshi la polisi liliwasilisha malalamiko kwa uongozi wa instagram ikabidi insta wamuambie apige picha akiwa ameshikilia passport yake inayoonyesha sura na jina kujiridhisha ndipo wakaifungua ,wakawaapuuza polisi baada ya kuona malalamiko yao ni ya kijinga na typical africans wanaopenda kukandamiza wenzao
 
Unajuaje hajaikana? Kumbukeni ana familia huko au hata pengine uraia wa nchi mbili

Sent from my INFINIX-X551 using JamiiForums mobile app
Hajakana na hana sifa za kupata uraia wa Marekani kutokana na criminal records zake na alishawahi kuidanganya mahakama.Ni mtu asieaminika,anaishi kwa green card kwa kuwa tu ana watoto,wakifika 18,patachimbika.
Ikitokea mtalaka akachukua watoto,(jambo ambalo litatokea soon) Mange atakosa haki ya kuishi America.
 
Nyumba kubwa kunavuja kuna leakage mahali.... Muundo wetu wa habari za siri sio air tight mark tena! Kuna mianya

Mange amekuwa the first to know figure kwenye mambo mengi sana... Ni nani anampenyezea habari nyeti kabisa? Za watu binafsi na hata nyumba kuu? Au ni wale wanajeshi mashushushu waliokuja na Obama Kisha tukawakabidhi paa letu ili waangalie usalama?

Mange amekuwa snowden wa Tanzania.. Lakini sijui Kama kwa hali ilivyo atavumiliwa sana....namkumbuka Ben pekeyake na chatu
Leo kwa habari za chini ya zulia ilitoka hati ya kumkamata pengine huko aliko lakini akainyaka kabla haijamfikia rasmi... Kama kawaida yake kawafungukia mbaya

Namkumbuka Karegeya wa Rwanda na kilichompata hotelini South Africa peke yake chumbani
Karegeya wa Rwanda kilichompata hotelini south afrika....
Sasa kaka mange yupo state na si ndani ya bara Giza hili
 
Nafanya juhudi kupata hiyo hati naona najifunza ushilawadu sasa

Sent from my INFINIX-X551 using JamiiForums mobile app
Screenshot_2017-03-17-12-29-55.png
 
Hajakana na hana sifa za kupata uraia wa Marekani kutokana na criminal records zake na alishawahi kuidanganya mahakama.Ni mtu asieaminika,anaishi kwa green card kwa kuwa tu ana watoto,wakifika 18,patachimbika.
Ikitokea mtalaka akachukua watoto,(jambo ambalo litatokea soon) Mange atakosa haki ya kuishi America.
Mmh haya

Sent from my INFINIX-X551 using JamiiForums mobile app
 
Kuna kipindi account yake ya insta ilifungwa kwa siku mbili kumbe jeshi la polisi liliwasilisha malalamiko kwa uongozi wa instagram ikabidi insta wamuambie apige picha akiwa ameshikilia passport yake inayoonyesha sura na jina kujiridhisha ndipo wakaifungua ,wakawaapuuza polisi baada ya kuona malalamiko yao ni ya kijinga na typical africans wanaopenda kukandamiza wenzao
Yap Polisi wa kwetu wanafatilia vitu ambavyo havina mantiki kabisa,Miili 7 imeokotwa ruvu kimya,Ben kamezwa na chatu wa chatle Kimya,Bashite kala rushwa kutoka kwa watuhumiwa wa ngada kimya,Bashite kafoji vyeti Kimya,wao kumtafuta mange ambaye anawasaidia kuwapa habari za kiuhalifu badala ya kumpa support wao wanamtafuta wamfunge kweli TZ Ya VIWONDER...#BASHITEWEKAVYETI.
 
Kwa upande wa US ni ngumu sana kumfanyia umafia,labda wamtege siku akitua nchini ndio wanaweza kumnyonga hadharani.
Ivi hata kuagiza kakijana tuu kamfanyie mautundu na vile blacks wanauliwa kwa risasi sana kule ni ngumu..?? maana yule dada i wish aendelee kuwa hai maana anafichua mengi mazito
 
mbona hiyo doc haionekani kuwa ni ya siri. ni tangazo au taarifa kwenda vituo vyote vya uhamiaji, kwangu si tangazo la siri na wala halionyeshi kuwa lilikuwa la siri.kingine mtu anayemuunga mkono mange nahisi ana upungufu wa akili kama mange alivyo.
Huoni muhuri wa confidential mkuu
Huo muhuri ukiwekwa hapo means what it means and should be so.
Sasa km mambo ndo hivi nadhani watu wamechoka ni muda tuu bado ila nahisi watanzania wamebeba mabomu mioyoni mwao.
Mungu tusaidie.
Japo Nampenda mange mpaka naumwa,dada nakuombea kwa Mungu usipatwe na baya lolote.
 
Back
Top Bottom