Polisi wadaiwa kumsaka Mange Kimambi. Latolewa agizo la siri kwa vituo akionekana akamatwe!

18 yote... Magu anatembelea fimbo tayr
 
Kwa madesa anayoyapata huyo dem, taratibu naanza kuamini ile story ya Pombe, kumdabua mazaa makofi mpaka akazimia na kulazwa Sewa Haji.
 
kipindi cha uchaguzi uliopita wakati wa kampeni alionekana shujaa kwa upande fulani kwa kutoa maneno kwa mgombea wa upinzani, sasa kageuka upande wa pili
 
Reactions: MC7
Mange yupo mbali na Tz hvo anajiona salama, lakini pia anaujasiri wa kumzungumzia /kumkashifu mtu yoyote, tatu anafollower wengi katika social network, watu kama Hawa wanaweza kufanya kama biashara ukiwa na uzandiki, au jambo la kumkashifu mtu, mnaelewana pesa, unamtumia hizo data ili azisambaze, so kwake ni kama business. Na kwakuwa nchi yetu kwa sasa inamihemko mingi ya kisiasa inawezekana kabisa wenye chuki na viongozi/ serikali kwa ujumla wakawa wanamtumia. Kwa maana hiyo kupata data kama hzo kwake sio tatizo, zaweza kuwa za ukweli au za uongo kikubwa unamlipa pesa yake.
 
Suhiri aishie pabaya
 
Siku hizi amekuwa ndie kama source ya habari nyingi za kutikisa! nakumbuka kuna habari ya kutaka kujiuzulu kiongozi mkubwa aliitoa hadi serikali ilikanusha, ukiangalia hata followers katika page yake ya instagram wanaongezeka kwa kasi!


Na siku hizi ujumbe wa Mange unawafikia hadi walio facebook kupitia Tanzagiza , basi raha tupu maana makumi kwa makumi wanazinduka usingizini kule kila siku
 
sijui tumelogwa na nani, wanaangaika na mtu anayewasaidia kuwapa information, badala ya kuangaika na matatizo yenyewe, watakuwa wamefungua account kumi kumi insta hata humu jf tehe tehe tehe lazima adondoke mtu kwa pressure mwaka huu
 
Siku hizi amekuwa ndie kama source ya habari nyingi za kutikisa! nakumbuka kuna habari ya kutaka kujiuzulu kiongozi mkubwa aliitoa hadi serikali ilikanusha, ukiangalia hata followers katika page yake ya instagram wanaongezeka kwa kasi!
Nilimfollow anao 300 ndani ya miezi 2 wamefika 900
 


Nakuonea huruma na unatumia verified user name, Mange akikupa kombola moja tu utakimbia mitandaoni kama si kujinyonga maana hadi mke na wazazi,majirani watakuona kituko...

Mfano aweke picha yako kwamba umeliwa tigo , hata ukikana tayari ameshakuchafua coz wengi wataamini na wachache hawataamini
 
Atapatikana tu ipo siku isiyo na jina ili ajieleze kuhusu matusi yake na bullying alizowafanyia watu mbalimbali kibaya zaidi kavuka kiwango na kuwatukana mpaka viongozi na records zoote zipo. Kwa Marekani huo ni uhalifu na wala haiko kwenye haki za binadamu kutukana wengine na kuwadharirisha, asidhani atapata kinga yoyote na ukichukulia yeye ni mhamiaji aliyegeuka mhalifu...tusubirini kitakachotokea...Taratibu hii itafika mpaka Interpol....
 
Endelea kubana pumbu na kumuombea mabaya ivyoivyo
 
Dua la kibashite
 
mbona hiyo doc haionekani kuwa ni ya siri. ni tangazo au taarifa kwenda vituo vyote vya uhamiaji, kwangu si tangazo la siri na wala halionyeshi kuwa lilikuwa la siri.kingine mtu anayemuunga mkono mange nahisi ana upungufu wa akili kama mange alivyo.
Hivi mkuu hata zile gari zinazoonekana kwenye nyumba ya Bashite, no I mean Paul si zitakuwa za kuchora tu?
 

Tatizo wabongo hamjui sheria.

HUWEZI KUHUKUMIWA KWA KOSA ULILOTENDA NCHI INGINE. Mange akija Bongo hana kesi ya kujibu. Mpare kwa kesi kaisoma sheria. Labda wamshililie kama Lema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…