Polisi wadaiwa kumsaka Mange Kimambi. Latolewa agizo la siri kwa vituo akionekana akamatwe!

Polisi wadaiwa kumsaka Mange Kimambi. Latolewa agizo la siri kwa vituo akionekana akamatwe!

Huyu Dada kwakweli ataishia pabaya chuki zake na visasi kwa watu vitammaliza. Hapo alipo ana kesi nyingi za kujibu, akishtakiwa hawezi kutoka.


Akimchukia Mtu hawezi kumwacha bila kumchafua, huyuhuyu aliingiwa chuki kwa Makonda. Kila akifanyacho akawa anamkosoa, tena anamkashifu. Ilipoanza vita ya kufukuza mashoga, akazusha Makonda ni shoga anafukuza shoga wenzie. Akatuma hadi screenshot akichat na mtu, eti fulani kamwambia kuna mtu wa CCM alikatwa jina ubunge kisa anamchukua Makonda chakula ya Mkuu.

Alikemea sana madawa, ila asiyempenda alipoiongoza vita akaanza mengine. Hapo ndipo tukasikia yule anayemwita shoga kadinda hadi ana mchepuko wa kando.
Kiufupi siwezi kumwita Msema Kweli bali ni mlipa visasi kwa kutumia mtandao,


Huyuhuyu Mbaya wake alitangaza kuolewa akaanza kampeni za kuhakikisha haolewi. Alimchafua awezavyo mtandaoni, halafu sasa ukiangalia ukosoaji Wake unawahusu maadui zake tu na si wengine.

Jiulizeni wanaofanya makosa ni maadui zake tu?


BINAFSI NAOMBA SANA ASHIKWE AKAJIBU KESI ALIZO NAZO, SIWEZI KUMTETEA HABITHI(MZANDIKI). AKIAMBIWA UKWELI KUHUSU MAKOSA YAKE NI ANAKUBLOCK.
Bashiterapa
 
Nyumba kubwa kunavuja kuna leakage mahali.... Muundo wetu wa habari za siri sio air tight mark tena! Kuna mianya

Mange amekuwa the first to know figure kwenye mambo mengi sana... Ni nani anampenyezea habari nyeti kabisa? Za watu binafsi na hata nyumba kuu? Au ni wale wanajeshi mashushushu waliokuja na Obama Kisha tukawakabidhi paa letu ili waangalie usalama?

Mange amekuwa snowden wa Tanzania.. Lakini sijui Kama kwa hali ilivyo atavumiliwa sana....namkumbuka Ben pekeyake na chatu
Leo kwa habari za chini ya zulia ilitoka hati ya kumkamata pengine huko aliko lakini akainyaka kabla haijamfikia rasmi... Kama kawaida yake kawafungukia mbaya

Namkumbuka Karegeya wa Rwanda na kilichompata hotelini South Africa peke yake chumbani
Mkuu mshana jr,kuna msemo usemao hivi:::USIMDHARAU USIYE MJUA:::
 
b9a52db0eb8b325a1c121f5d1b93371d.jpg
Ngariba hii siri umeipataje?.
 
Hajakana na hana sifa za kupata uraia wa Marekani kutokana na criminal records zake na alishawahi kuidanganya mahakama.Ni mtu asieaminika,anaishi kwa green card kwa kuwa tu ana watoto,wakifika 18,patachimbika.
Ikitokea mtalaka akachukua watoto,(jambo ambalo litatokea soon) Mange atakosa haki ya kuishi America.


Na je akiolewa na Mr Rolex?
 
dunia ndogo sana hii... unaweza puliziwa au hata ukagusishwa kitambaa chenye sumu ikakumaliza taratibu... mara kansa mara gonjwa hili, hakuna pagumu, n mtu tu hajaamua
Si alikua shujaa wa ccm kipindi cha kampeni Leo mnapanga kumuua
 
Mshana Badala ya kufurahia kuwa tunapata nyeti na Mungu aendelee kumlinda Dada na wanaompenyezea wewe unaona shaka na kutishia kuwa atauwawa! Wamekufa wangapi? anayeua hatakufa? Mwache Mange na wanaompa taarifa sio juu yetu kuwajua.wala kusikitika kuwa taarifa za siri zinavuja.
 
Huyu Dada kwakweli ataishia pabaya chuki zake na visasi kwa watu vitammaliza. Hapo alipo ana kesi nyingi za kujibu, akishtakiwa hawezi kutoka.


Akimchukia Mtu hawezi kumwacha bila kumchafua, huyuhuyu aliingiwa chuki kwa Makonda. Kila akifanyacho akawa anamkosoa, tena anamkashifu. Ilipoanza vita ya kufukuza mashoga, akazusha Makonda ni shoga anafukuza shoga wenzie. Akatuma hadi screenshot akichat na mtu, eti fulani kamwambia kuna mtu wa CCM alikatwa jina ubunge kisa anamchukua Makonda chakula ya Mkuu.

Alikemea sana madawa, ila asiyempenda alipoiongoza vita akaanza mengine. Hapo ndipo tukasikia yule anayemwita shoga kadinda hadi ana mchepuko wa kando.
Kiufupi siwezi kumwita Msema Kweli bali ni mlipa visasi kwa kutumia mtandao,


Huyuhuyu Mbaya wake alitangaza kuolewa akaanza kampeni za kuhakikisha haolewi. Alimchafua awezavyo mtandaoni, halafu sasa ukiangalia ukosoaji Wake unawahusu maadui zake tu na si wengine.

Jiulizeni wanaofanya makosa ni maadui zake tu?


BINAFSI NAOMBA SANA ASHIKWE AKAJIBU KESI ALIZO NAZO, SIWEZI KUMTETEA HABITHI(MZANDIKI). AKIAMBIWA UKWELI KUHUSU MAKOSA YAKE NI ANAKUBLOCK.
Ni loser........hana lolote....habari zenyewe huwa anatumiwa na maloser wenzake.....haeleweki anasimamia upande upi.... wakati wa uchaguzi alimtetea sana rais.... alimpa kila sifa...nadhani alijua JPM akiingia akiwa rais atapata chochote.......alimtukana lowasa na upinzani matusi yeyote....alimdhalilidha kwa style zote.....leo mange huyo huyo kageuka.....kama unavyosema akiwa na chuki na mtu.....mhh....huyo wema anayejifanya mdogo wake anafanya laana zote lakini hajawahi msema vibaya hata cku moja.....wanaomuunga mkono huwa ni maloser wenzake wasiojitambua kama yeye
 
Na siku hizi ujumbe wa Mange unawafikia hadi walio facebook kupitia Tanzagiza , basi raha tupu maana makumi kwa makumi wanazinduka usingizini kule kila siku
Tena ukizingatia waliowengi wanaijua fb kuliko insta
 
Nyumba kubwa kunavuja kuna leakage mahali.... Muundo wetu wa habari za siri sio air tight mark tena! Kuna mianya

Mange amekuwa the first to know figure kwenye mambo mengi sana... Ni nani anampenyezea habari nyeti kabisa? Za watu binafsi na hata nyumba kuu? Au ni wale wanajeshi mashushushu waliokuja na Obama Kisha tukawakabidhi paa letu ili waangalie usalama?

Mange amekuwa snowden wa Tanzania.. Lakini sijui Kama kwa hali ilivyo atavumiliwa sana....namkumbuka Ben pekeyake na chatu
Leo kwa habari za chini ya zulia ilitoka hati ya kumkamata pengine huko aliko lakini akainyaka kabla haijamfikia rasmi... Kama kawaida yake kawafungukia mbaya

Namkumbuka Karegeya wa Rwanda na kilichompata hotelini South Africa peke yake chumbani
Duuu ulaya wana uhuru wa ajabu sana nimeona ya msanii mmoja na Rais Trump wallah nimeishiwa nguvu ingekuwa ni mataifa mengine huyo msanii tushasahau siku nyiingii
 
Ila mi naona anafanya poa tu maana wao wameamua kuendesha nchi kwenye giza. Na ndio maana hata bunge linafichwafichwa. Yaan nkiamka asubuh baada ya kumshukuru mungu kwa kuniamsha salama kinachofuata huwa naenda kwenye page ya huyu dada kuangalia tu yaliyojili then ratba zngne ndio zinafuata. Mi nadhan kuna mpango wa makusudi mungu kaupanga kupitia huyu mdada. Maana ana ujasiri ambao wanaume wa JF hata tuwe laki moja hatuwezi.
 
MANGE ANALINDWA NA MUNGU, NO WEAPON FORMED AGAINST HER SHALL PROSPER. UKIFANYA KAZI YA MUNGU UNALINDWA NA MUNGU. NA HATA AKIPOTEZWA MUNGU ATAYAAMURU MAWE YATUTETEEE WABONGO KAMA IKIWA INAMFAA MACHONI PAKE.

NYIE WENYE MAJESHI, KWA MAJESHI HAMJAMKARIABIA FARAO HATA ROBO, KWA HIO MSIMTISHE MTUMISHI WA MUNGU MANGE.
 
Mpaka sasa sijaona makosa ya Mange..

She is a whistle blower na wangekuwepo wengine kama kumi hivi, kwa utawala type hii ndio ingekuwa Safi zaidi.

Hii inatupa picha kwamba wanaomtumia taarifa na wao wameuchoka huu mfumo wa watawala na ndio maana wanampa very crucial documents maana wanajua she is super in whistle blowing.

Kiukweli mimi namuombea sana huyu dada Mungu amlinde.
 
Back
Top Bottom