Polisi wadaiwa kupokea amri ya kumpeleka mahakamani Msanii Optter

nadhani wale "maagizo kutoka juu" wameshamzingira mama Samia tutarajie na wasiojulikana kurejea kwa kasi na noah zao nyeusi.
Nchi hii nilichokisema wakati wa mwendazake nakirudia sasa "WAKO WAOVU WANAOZINGIRA TAASISI YA URAIS KWA MANUFAA YAO" Inashangaza mtu anaanza vizuri ghafla mambo yanabadilika!!!
 
wekani hii katuni tuione
 
Kwa polisi hawa hawakawii kusema 'huyu ni gaidi na majuzi alikuwa Somalia akijifunza mbinu za ugaidi kwa Al-shabab na amekutwa na mabomu 3 na AK-47' Hao ndio mapolisi wetu!
 
Ila hiyo katuni ni kali. Huwa nacheka sana nikiiona😄

Tukirudi kwenye mada husika, kama hakuna “due process”, basi uongozi ni mbovu na udikteta uchwara bado upo.
Turushie basi nasi hiyo katuni tufurahi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…