Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,604
- 5,583
nadhani wale "maagizo kutoka juu" wameshamzingira mama Samia tutarajie na wasiojulikana kurejea kwa kasi na noah zao nyeusi.
Nchi hii nilichokisema wakati wa mwendazake nakirudia sasa "WAKO WAOVU WANAOZINGIRA TAASISI YA URAIS KWA MANUFAA YAO" Inashangaza mtu anaanza vizuri ghafla mambo yanabadilika!!!
Nchi hii nilichokisema wakati wa mwendazake nakirudia sasa "WAKO WAOVU WANAOZINGIRA TAASISI YA URAIS KWA MANUFAA YAO" Inashangaza mtu anaanza vizuri ghafla mambo yanabadilika!!!