Polisi wakihakikisha Usalama wa katibu Mkuu wa CCM Taifa Bashiru Ally akiwa ziarani Mkoani Mtwara

Hebu waangalie hao vijana wanaomsindikiza vizuri, hiyo vaa yao inaashiria nini?? Yawezekana akatokea kichaa akampiga shaba, watasema walikuwa wapi?
Kwani huyo kichaa atakuwa alikuwa anamsubiri Bashiru tu? Kwani huko alikofanya ziara hakuna binadamu wengine wanaoweza kujeruhiwa na huyo kichaa? Mbwembwe zisizo na kichwa wala miguu.
 
Kwani huyo kichaa atakuwa alikuwa anamsubiri Bashiru tu? Kwani huko alikofanya ziara hakuna binadamu wengine wanaoweza kujeruhiwa na huyo kichaa? Mbwembwe zisizo na kichwa wala miguu.
Kwa onyesho ka hili hata kichaa atajiuliza mara mbili kama atathubutu kumsogelea
 
Wasalaam, hivi ni kweli jeshi la police mmepoteza weledi na kuamua kumtumikia kafiri? Mbona mnavunja katiba ya jamhuriya muungano ya Tanzania? Mmejipofua macho na kuamua kuwa vibaraka wa ccm huku mkilipwa kwa kodi za watanganyika.

Hakika mungu anawaona
 

Attachments

  • 2316672_uvccm.jpg
    20.8 KB · Views: 1
Hilo ni gari la binafsi, chama au serikali? ni nani yupo humo?
 
Hata nyie chadema mkichukua nchi mtapata Raha zote hizo hivo acheni wivu
 

Pamoja na Ulinzi wa namna hii wa viongozi wa ccm lakini kumbe viongozi hawa wanaweza kudhurika ! wanaweza hata kupigwa vibao , kupigwa fimbo ama hata kupewa sumu kama Ilivyothibitishwa na RPC wa Dar es Salaam Lazaro Mambosasa.

Natoa wito kwa wanadamu kuacha kujivuna na kujimwambafai kwa sababu ya madaraka , mlinzi pekee na wa uhakika ni Mungu pekee , huyu hawezi kukubwaga wala kukutilia sumu .

Maandiko matakatifu yanaeleza kwamba AMELAANIWA MTU YULE AMTEGEMEAYE MWANADAMU (YEREMIA 17 : 5)
 
Manabii,wachungaji na ma askofu wwmekuwa wengi sana


Kanisa lako linaitwaje?
 
Mbona hao hao wanaosema mlinzi ni Yesu pekee humo ndani unakuta wamesimamisha
mijitu ya milaba minne na mawani meusi kama majini! Usimsemee Mungu mwache atajisemea mwenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na pia imeandikwa Kama Bwana asipoulinda Mji waulindao wafanya kazi bure. Hakika mlinzi wa uhakika ni Mungu tu
 
Bashiru alishajibu hii kauli yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…