Kwani huyo kichaa atakuwa alikuwa anamsubiri Bashiru tu? Kwani huko alikofanya ziara hakuna binadamu wengine wanaoweza kujeruhiwa na huyo kichaa? Mbwembwe zisizo na kichwa wala miguu.Hebu waangalie hao vijana wanaomsindikiza vizuri, hiyo vaa yao inaashiria nini?? Yawezekana akatokea kichaa akampiga shaba, watasema walikuwa wapi?
Kwa onyesho ka hili hata kichaa atajiuliza mara mbili kama atathubutu kumsogeleaKwani huyo kichaa atakuwa alikuwa anamsubiri Bashiru tu? Kwani huko alikofanya ziara hakuna binadamu wengine wanaoweza kujeruhiwa na huyo kichaa? Mbwembwe zisizo na kichwa wala miguu.
Polisi wakihakikisha Usalama wa Katibu Mkuu wa CCM Taifa Bashiru Ally akiwa ziarani Mkoani Mtwara mapema leo hii.
View attachment 1367313
Je, inawezekana kwa Katibu Mkuu wa chama cha upinzani mathalani CHADEMA, John Mnyika kusindikizwa hivi?
Na pia imeandikwa Kama Bwana asipoulinda Mji waulindao wafanya kazi bure. Hakika mlinzi wa uhakika ni Mungu tuView attachment 1382873
Pamoja na Ulinzi wa namna hii wa viongozi wa ccm lakini kumbe viongozi hawa wanaweza kudhurika ! wanaweza hata kupigwa vibao , kupigwa fimbo ama hata kupewa sumu kama Ilivyothibitishwa na RPC wa Dar es Salaam Lazaro Mambosasa.
Natoa wito kwa wanadamu kuacha kujivuna na kujimwambafai kwa sababu ya madaraka , mlinzi pekee na wa uhakika ni Mungu pekee , huyu hawezi kukubwaga wala kukutilia sumu .
Maandiko matakatifu yanaeleza kwamba AMELAANIWA MTU YULE AMTEGEMEAYE MWANADAMU ( YEREMIA 17 : 5 )
nimenukuu maandiko , wewe endelea kukanyaga mafutaMbona hao hao wanaosema mlinzi ni Yesu pekee humo ndani unakuta wamesimamisha
mijitu ya milaba minne na mawani meusi kama majini! Usimsemee Mungu mwache atajisemea mwenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] halafu ujue mimi sio mkanyaga mafuta, hata sijui kazi yake labda haya mafuta ya singida ninayo pikianimenukuu maandiko , wewe endelea kukanyaga mafuta
Bashiru alishajibu hii kauli yako.Hilo ni gwaride au wanatuma ujumbe kwamba CCM ni chama cha kipolisi?
Halafu kinachofuata?
Kusimikwa kwa udikteta ama?
People don't need these stupid parades or whatever they call it.
Watu wanahitaji ajira, maji safi, makazi bora, usafiri, elimu ya uhakika na uchumi imara.
Zaidi ya yote, watu wanataka Katiba iheshimiwe na viongozi wawajibike na ikibidi wawajibishwe kupitia sanduku HURU la kura. FULL STOP.
Sio huu ujinga wa mabuti!