Mkuu wa Polisi Kanda maalum ya Dar es Salaam,Kamanda SULEMAN KOVA,amesema kwamba Jeshi la Polisi limewafukuza Askari Polisi Watano waliohusika na Wizi wa pesa zaidi ya shilingi Ml,150 walizoiba ktk tukio la Ujambazi lililotokea mwishoni mwa mwaka jana maeneo ya KARIAKOO!
Akizungumza na Waandishi wa Habari alisema kwamba baada ya Polisi kufanya Upelelezi pamoja na Kuwahoji baadhi ya raia waliokuwepo ktk eneo la Tukio siku ile, walijiridhisha kwamba ni ukweli kwamba Askari polisi hao watano waliiba pesa hizo!
Ndipo waliamua kuwashtaki ktk Mahakama ya kijeshi pamoja na kuwafukuza Kazi!!
Source:ITV HABARI SAA 2 USIKU!
NB:
Je hatua kuwashtaki Polisi hao ktk Mahakama ya Kijeshi pekee badala ya Mahakama ya Kiraia ni sawa??
Tayari wamevuliwa vyeo na kwamba wao sio Askari polisi tena ila ni raia wa kawaida,kama hakuna Kiini Macho,hapo je Kuna nini?
Akizungumza na Waandishi wa Habari alisema kwamba baada ya Polisi kufanya Upelelezi pamoja na Kuwahoji baadhi ya raia waliokuwepo ktk eneo la Tukio siku ile, walijiridhisha kwamba ni ukweli kwamba Askari polisi hao watano waliiba pesa hizo!
Ndipo waliamua kuwashtaki ktk Mahakama ya kijeshi pamoja na kuwafukuza Kazi!!
Source:ITV HABARI SAA 2 USIKU!
NB:
Je hatua kuwashtaki Polisi hao ktk Mahakama ya Kijeshi pekee badala ya Mahakama ya Kiraia ni sawa??
Tayari wamevuliwa vyeo na kwamba wao sio Askari polisi tena ila ni raia wa kawaida,kama hakuna Kiini Macho,hapo je Kuna nini?