Polisi "wame-underestimate impact" ya kumtuhumu Mbowe kwa makosa ya ugaidi?

Polisi "wame-underestimate impact" ya kumtuhumu Mbowe kwa makosa ya ugaidi?

Mystery

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2012
Posts
15,843
Reaction score
31,057
Ukiacha kelele zinazopigwa kwa nguvu Sana hapa nchini Tanzania za kutakiwa, Freeman Mbowe aachiwe huru, kutokana na makosa yanayoonekana wazi kuwa Jeshi la Polisi nchini limeamua "kubambika" ya ugaidi, lakini vyombo mbalimbali vya dunia navyo vimeungana na wapigania haki wa hapa nchini, kama vile mashirika ya habari ya CNN na Aljazeera na BBC, yamejitokeza na kuipa "headline" hiyo taarifa ya Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, kupata tuhuma hiyo nzito ya ugaidi.

Madhara ya serikali hii kumbambikia Freeman Mbowe Makosa hayo ya ugaidi ni makubwa Sana kuliko tunavyofikiria.

Lazima ifahamike wazi kuwa wawekezaji ambao walikuwa wanafikiria kuleta mitaji yao hapa nchini, baada ya kuona mabadiliko ya uongozi wa juu, baada ya kufariki Rais Magufuli, watasita kufanya hivyo, kutokana na kuogopa kuleta mitaji yao kwenye nchi ambayo uongozi wa nchi umeutangazia dunia kuwa kiongozi mkuu wa chama cha upinzani cha Chadema, anatuhuma za ugaidi!

Lakini ukiangalia mwenendo wa viongozi wakuu wa nchi hii, wanatumia mwanya wa wanaodai Katiba yetu ya nchi, kuwabambikia viongozi wa upinzani kwa Makosa yasiyokuwa na dhamana ya ugaidi, kwa lengo tu la kuwakomoa, kutokana na kupigania haki za watanzania, ambapo wao viongozi wa serikali hawapendi watanzania waipate haki hiyo!

Kwa hiyo tutarajie wawekezaji kutoka nchi za nje kupungua Sana kuja hapa nchini kutokana na hofu hii, waliyoianzisha wao viongozi wa serikali, kuwa nchi yetu ina magaidi!
 
Yaani mmetafuta bwana wenu mmoja huko birmigham eti ndio mchambuzi wa demokrasia yaAfrica??
Yaani huyo mama yenu ata-regret kwa hizo hasira alizonazo za kutaka kumkomoa Mbowe, kwa kutumia Jeshi "lake" la Polisi, kwa kumtuhumu kiongozi huyo wa upinzani nchini, Freeman Mbowe, kuwa ni gaidi!

Ambapo madhara yake ni makubwa Sana kwa wawekezaji wakubwa wa nchi, kusita kuleta mitaji yao nchini, kwa hofu ya ugaidi
 
Ukiacha kelele zinazopigwa kwa nguvu Sana hapa nchini Tanzania za kutakiwa, Freeman Mbowe aachiwe huru, kutokana na makosa yanayoonekana wazi kuwa ni ya "kubambika" ya ugaidi, lakini vyombo mbalimbali vya dunia navyo vimeungana na wapigania haki wa hapa nchini, kama vile mashirika ya habari ya CNN na Aljazeera, yamejitokeza na kuipa "headline" hiyo taarifa ya Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, kupata tuhuma hiyo nzito ya ugaidi.

Madhara ya serikali hii kumbambikia Freeman Mbowe Makosa hayo ya ugaidi ni makubwa Sana kuliko tunavyofikiria.

Lazima ifahamike wazi kuwa wawekezaji ambao walikuwa wanafikiria kuleta mitaji yao hapa nchini, baada ya kuona mabadiliko ya uongozi wa juu, baada ya kumfariki Rais Magufuli, watasita kufanya hivyo, kutokana na kuogopa kuleta mitaji yao kwenye nchi ambayo uongozi wa nchi umeutangazia dunia kuwa kiongozi mkuu wa chama cha upinzani cha Chadema, anatuhuma za ugaidi!

Lakini ukiangalia mwenendo wa viongozi wakuu wa nchi hii, wanatumia mwanya wa Katiba yetu ya nchi, kuwabambikia viongozi wa upinzani kwa Makosa yasiyokuwa na dhamana ya ugaidi, kwa lengo tu la kuwakomoa, kutokana na kupigania haki za watanzania, ambapo wao viongozi wa serikali hawapendi watanzania waipate haki hiyo!

Kwa hiyo tutarajie wawekezaji kutoka nchi za nje kupungua Sana kuja hapa nchini kutokana na hofu hii, waliyoianzisha wao viongozi wa serikali, kuwa nchi yetu ina magaidi!
Nchi za MAGHARIBI na UGAIDI....

Unapotaja tu ugaidi ,Magaidi ,gaidi ujue nchi za MAGHARIBI hushtuka mno......nimeshangaa eti unasema kuwa NCHI HIZO ZITAKUWA NA HURUMA na wahusika wa vitendo hivyo......

Hivi ni lini nchi hizo zimeanza kuwa na HURUMA NA KUGUSWA NA WANAOHUSIKA NA HAYO MAMBO?!!!

Kwao ukituhumiwa ugaidi basi ujue utatambulika sio gaidi mpaka pale MAHAKAMA ikithibitisha hayo......

Kutuhumiwa si KUHUKUMIWA....

Tusubiri mahakama ifanye kazi yake.....

Nasubiri mahakama ifanye kazi yake zaidi ya humu mitandaoni KUHUKUMU kuwa ANA/HANA HATIA......

#MahakamaNiMuhimiliWaNchi
#KaziIendelee
 
Yaani huyo mama yenu ata-regret kwa kwa hizo hasira alizonazo za kutaka kumkomoa Mbowe, kwa kutumia Jeshi "lake" la Polisi, kwa kumtuhumu kiongozi huyo wa upinzani nchini, Freeman Mbowe, kuwa ni gaidi!

Ambapo madhara yake ni makubwa Sana kwa wawekezaji wakubwa wa nchi, kusita kuleta mitaji yao nchini, kwa hofu ya ugaidi
Hivi Tanzania hakujawahi kutokea Magaidi ?!!!

Misaada ya USAID ,GTZ JICA,DANIDA ilisitishwa/kupunguza walipotokea Magaidi kule KIBITI ,AMBONI TANGA na MTWARA?!!!

Je nao wawekezaji hawakujitokeza kipindi hicho ?!!!

Je UAMSHO walipotuhumiwa kwa ugaidi na kukaa ndani miaka 8 WAWEKEZAJI HAWAKUJITOKEZA ?!!!

KWA NINI Hofu ya kukosa WAWEKEZAJI IJE kipindi hiki cha KUTUHUMIWA mh.Mbowe ?!!!

TUHUMA huthibitishwa mahakamani tu .....

#KaziIendelee
 
Hivi Tanzania hakujawahi kutokea Magaidi ?!!!

Misaada ya USAID ,GTZ JICA,DANIDA ilisitishwa/kupunguza walipotokea Magaidi kule KIBITI ,AMBONI TANGA na MTWARA?!!!

Je nao wawekezaji hawakujitokeza kipindi hicho ?!!!

Je UAMSHO walipotuhumiwa kwa ugaidi na kukaa ndani miaka 8 WAWEKEZAJI HAWAKUJITOKEZA ?!!!

KWA NINI Hofu ya kukosa WAWEKEZAJI IJE kipindi hiki cha KUTUHUMIWA mh.Mbowe ?!!!

TUHUMA huthibitishwa mahakamani tu .....

#KaziIendelee
Wewe unajua kuwa hii dunia, inahofia Sana ugaidi?

Hususani kiongozi mkuu wa upinzani nchini, akipewa tuhuma hizo.

Tutarajie kuwa wawekezaji wengi wakubwa wa nje, wataanza kusita kuleta mitaji yao, kutokana na serikali yetu kuitangazia dunia, kuwa nchi yetu ina magaidi!
 
Hakika hawatakuja!
Si kweli ulisemalo.....

Unaongea KIHISIA zaidi ya mifano hai mingi ya KIUHALISIA....

Kule nchini Rwanda ,mpinzani wa serikali ,bi VICTOIRE INGABIRE alituhumiwa UGAIDI.....wawekezaji hawakuacha kuwekeza RWANDA....

#KaziIendelee
 
Si kweli ulisemalo.....

Unaongea KIHISIA zaidi ya mifano hai mingi ya KIUHALISIA....

Kule nchini Rwanda ,mpinzani wa serikali ,bi VICTOIRE INGABIRE alituhumiwa UGAIDI.....wawekezaji hawakuacha kuwekeza RWANDA....

#KaziIendelee
Hivi unadhani kwa hili Jeshi la Polisi, la kupewa mamlaka ya "kuwabambikia" watuhumiwa "charges" wanazozitaka wao, lazima ufahamu hiyo ni mojawapo ya sababu kubwa ya ku-press nchi yetu tuwe na Katiba mpya.

Refer huko Afrika Kusini, enzi zile za utawala wa makaburu, walimfunga kifungo cha maisha, shujaa Nelson Mandela, ambaye hatimaye baada ya "pressure" kubwa Sana ya dunia, alikuja achiliwa na hatimaye akawa mwafrika wa kwanza mweusi kuwa Rais wa nchi hiyo ya Afrika Kusini!

Kama kweli hizo tuhuma walizompa Nelson Mandela, zingekuwa za kweli, kamwe asingeweza kuchaguliwa kuwa Rais wa Afrika Kusini na kuwa mtu maarufu kuliko mtu yeyote hapa duniani nyakati zake

Kwa hiyo huu mtindo unaotumiwa na watawala wetu wa CCM wa kuwaonea na kuwakandamiza wapinzani siyo mgeni machoni mwa dunia
 
Mungu akimjalia asife ... Mbowe needs nothing but to retire and disappear.
 
Nchi za MAGHARIBI na UGAIDI....

Unapotaja tu ugaidi ,Magaidi ,gaidi ujue nchi za MAGHARIBI hushtuka mno......nimeshangaa eti unasema kuwa NCHI HIZO ZITAKUWA NA HURUMA na wahusika wa vitendo hivyo......

Hivi ni lini nchi hizo zimeanza kuwa na HURUMA NA KUGUSWA NA WANAOHUSIKA NA HAYO MAMBO?!!!

Kwao ukituhumiwa ugaidi basi ujue utatambulika sio gaidi mpaka pale MAHAKAMA ikithibitisha hayo......

Kutuhumiwa si KUHUKUMIWA....

Tusubiri mahakama ifanye kazi yake.....

Nasubiri mahakama ifanye kazi yake zaidi ya humu mitandaoni KUHUKUMU kuwa ANA/HANA HATIA......

#MahakamaNiMuhimiliWaNchi
#KaziIendelee
Hizi mahakama uchwara ambazo hata jaji mkuu anawekewa kinga ya kutoshtakiwa kwa makosa yoyote?
 
MATAGA mnaungana na Mbowe kumuharibia Mama...

Hatukubali.
 
Nchi za MAGHARIBI na UGAIDI....

Unapotaja tu ugaidi ,Magaidi ,gaidi ujue nchi za MAGHARIBI hushtuka mno......nimeshangaa eti unasema kuwa NCHI HIZO ZITAKUWA NA HURUMA na wahusika wa vitendo hivyo......

Hivi ni lini nchi hizo zimeanza kuwa na HURUMA NA KUGUSWA NA WANAOHUSIKA NA HAYO MAMBO?!!!

Kwao ukituhumiwa ugaidi basi ujue utatambulika sio gaidi mpaka pale MAHAKAMA ikithibitisha hayo......

Kutuhumiwa si KUHUKUMIWA....

Tusubiri mahakama ifanye kazi yake.....

Nasubiri mahakama ifanye kazi yake zaidi ya humu mitandaoni KUHUKUMU kuwa ANA/HANA HATIA......

#MahakamaNiMuhimiliWaNchi
#KaziIendelee
Hizi hizi mahakama aliyeziacha mwendazake?.. Anyways, uzuri wa Western countries 'wanachimba' haswa either he's guilty or nah linapokuja suala la ugaidi.

Na Kama siyo,tutaendelea' kupuuzwa ' Kama kawaida.!
 
Samia anaonewa tu ukute yupo kwenye harakati za kutaka mbowe aachiwe bila masharti isipokuwa wahafidhina wa jiwe wanaweka ngumu na kumtisha

Ila all in all itafahamika tu siku zijazo ni akina nani walitoa shinikizo mbowe atungiwe kesi ya ugaidi

Cc: madelu

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom