Mango833
JF-Expert Member
- May 4, 2011
- 4,407
- 20,572
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi tuhuma anazotuhumiwa Mbowe za ugaidi, hata ukimueleza mtoto mdogo anayesoma chekechea atajua kuwa Jeshi la Polisi limembambikia.MATAGA mnaungana na Mbowe kumuharibia Mama...
Hatukubali.
Hajiheshim... Wacha ajifunze..Hizi tuhuma anazotuhumiwa Mbowe za ugaidi, hata ukimueleza mtoto mdogo anayesema chekechea atajua kuwa Jeshi la Polisi limembambikia
Mahakama itaamua, acheni ifanye kazi yake. Siyo mnakaa hapa kumlazimisha Rais kuingilia mihimili mingineNani kafanya vurugu we kinda..katiba mpya kwenu ni tishio na vurugu!
Unataka kushinda halafu upigane vita,Mbowe is a liability to the nation..
Akili ya kipumbavu Sana, kwamba tumuache mtu afanye anavyotaka yy na kutishia hadi viongozi kwa kuogopa eti wawekezaji wataogopa kuja kuwekeza,Tanzania ni nchi huru na Ina Rais anaye iongoza na watu wote tunatakiwa kutii mamlaka ya nchi,Ukiacha kelele zinazopigwa kwa nguvu Sana hapa nchini Tanzania za kutakiwa, Freeman Mbowe aachiwe huru, kutokana na makosa yanayoonekana wazi kuwa ni ya "kubambika" ya ugaidi, lakini vyombo mbalimbali vya dunia navyo vimeungana na wapigania haki wa hapa nchini, kama vile mashirika ya habari ya CNN na Aljazeera, yamejitokeza na kuipa "headline" hiyo taarifa ya Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, kupata tuhuma hiyo nzito ya ugaidi.
Madhara ya serikali hii kumbambikia Freeman Mbowe Makosa hayo ya ugaidi ni makubwa Sana kuliko tunavyofikiria.
Lazima ifahamike wazi kuwa wawekezaji ambao walikuwa wanafikiria kuleta mitaji yao hapa nchini, baada ya kuona mabadiliko ya uongozi wa juu, baada ya kufariki Rais Magufuli, watasita kufanya hivyo, kutokana na kuogopa kuleta mitaji yao kwenye nchi ambayo uongozi wa nchi umeutangazia dunia kuwa kiongozi mkuu wa chama cha upinzani cha Chadema, anatuhuma za ugaidi!
Lakini ukiangalia mwenendo wa viongozi wakuu wa nchi hii, wanatumia mwanya wa Katiba yetu ya nchi, kuwabambikia viongozi wa upinzani kwa Makosa yasiyokuwa na dhamana ya ugaidi, kwa lengo tu la kuwakomoa, kutokana na kupigania haki za watanzania, ambapo wao viongozi wa serikali hawapendi watanzania waipate haki hiyo!
Kwa hiyo tutarajie wawekezaji kutoka nchi za nje kupungua Sana kuja hapa nchini kutokana na hofu hii, waliyoianzisha wao viongozi wa serikali, kuwa nchi yetu ina magaidi!
Dai la katiba mpya linatishiaje mamlaka ya Rais?Wewe ndio unamu-underestimate Rais Samia Suluhu Hassan
Hakuna atayedharau au kutishia mamlaka ya Rais halafu akaachwa bila kuulizwa
ACHA KAZI IENDELEE
Nchi za magharibi zina details zote za Magaidi huwa hazisubiri kutajiwa majina na polisi wa Tz. Hivyo wanajua everythingNchi za MAGHARIBI na UGAIDI....
Unapotaja tu ugaidi ,Magaidi ,gaidi ujue nchi za MAGHARIBI hushtuka mno......nimeshangaa eti unasema kuwa NCHI HIZO ZITAKUWA NA HURUMA na wahusika wa vitendo hivyo......
Hivi ni lini nchi hizo zimeanza kuwa na HURUMA NA KUGUSWA NA WANAOHUSIKA NA HAYO MAMBO?!!!
Kwao ukituhumiwa ugaidi basi ujue utatambulika sio gaidi mpaka pale MAHAKAMA ikithibitisha hayo......
Kutuhumiwa si KUHUKUMIWA....
Tusubiri mahakama ifanye kazi yake.....
Nasubiri mahakama ifanye kazi yake zaidi ya humu mitandaoni KUHUKUMU kuwa ANA/HANA HATIA......
#MahakamaNiMuhimiliWaNchi
#KaziIendelee
Amkomoe Kwa kipi aisee?Yaani huyo mama yenu ata-regret kwa kwa hizo hasira alizonazo za kutaka kumkomoa Mbowe, kwa kutumia Jeshi "lake" la Polisi, kwa kumtuhumu kiongozi huyo wa upinzani nchini, Freeman Mbowe, kuwa ni gaidi!
Ambapo madhara yake ni makubwa Sana kwa wawekezaji wakubwa wa nchi, kusita kuleta mitaji yao nchini, kwa hofu ya ugaidi
Ukiacha kelele zinazopigwa kwa nguvu Sana hapa nchini Tanzania za kutakiwa, Freeman Mbowe aachiwe huru, kutokana na makosa yanayoonekana wazi kuwa Jeshi la Polisi nchini limeamua "kubambika" ya ugaidi, lakini vyombo mbalimbali vya dunia navyo vimeungana na wapigania haki wa hapa nchini, kama vile mashirika ya habari ya CNN na Aljazeera, yamejitokeza na kuipa "headline" hiyo taarifa ya Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, kupata tuhuma hiyo nzito ya ugaidi.
Madhara ya serikali hii kumbambikia Freeman Mbowe Makosa hayo ya ugaidi ni makubwa Sana kuliko tunavyofikiria.
Lazima ifahamike wazi kuwa wawekezaji ambao walikuwa wanafikiria kuleta mitaji yao hapa nchini, baada ya kuona mabadiliko ya uongozi wa juu, baada ya kufariki Rais Magufuli, watasita kufanya hivyo, kutokana na kuogopa kuleta mitaji yao kwenye nchi ambayo uongozi wa nchi umeutangazia dunia kuwa kiongozi mkuu wa chama cha upinzani cha Chadema, anatuhuma za ugaidi!
Lakini ukiangalia mwenendo wa viongozi wakuu wa nchi hii, wanatumia mwanya wa wanaodai Katiba yetu ya nchi, kuwabambikia viongozi wa upinzani kwa Makosa yasiyokuwa na dhamana ya ugaidi, kwa lengo tu la kuwakomoa, kutokana na kupigania haki za watanzania, ambapo wao viongozi wa serikali hawapendi watanzania waipate haki hiyo!
Kwa hiyo tutarajie wawekezaji kutoka nchi za nje kupungua Sana kuja hapa nchini kutokana na hofu hii, waliyoianzisha wao viongozi wa serikali, kuwa nchi yetu ina magaidi!
Kwani UGAIDI hauwezi kufanywa na MTU MMOJA ?!!!Sijasema wana unabiii wa matukio yanayoenda kutokea.Nimesema wana taarifa za watu gani au vikundi vipi ni vya magaidi.Kama Mbowe vile hawahitaji kuambiwa na Polisi Tanzania kuwa Mbowe Ni gaidi.Wao wenyewe kupitia vyombo vyao wanajua kuwa Mbowe Ni gaidi au sio gaidi.
Kujua fulani kuwa Ni mwizi sio kwamba ndio kujua kuwa lini atakuja kukuibia
Dai la katiba mpya linatishiaje mamlaka ya Rais?
Are you serious, na ulinzi wote wa Rais kweli Mdude anaweza hata kugusa kamba za viatu vya Madam?Tatizo ni kuunganisha dai la katiba na ule wembe mliotumia kwa mtangulizi na mnaotaka kuendelea kuutumia sasa kwa mama Rais
We binti umeolewa?Sehemu salama ya Gaidi ni jela, Mbowe yupo sehemu anayostahili, anapiga story na kunguni tu, hakuna mwekezaji serious anayeona Mbowe ni mtu muhimu, hizi story zenu za vijiweni zibaki huko huko kwa nyumbxxx wenzio.
Kwa mahakama zipi?Nchi hii haijawah kushughulikia seriously baadhi ya matukio.
Kukamatwa Kwa Mbowe kunaweza kuweka kujibu baadhi ya sintofaham. Mbowe amekuwa akituhumiwa kutumia mbinu nying kubak kuwa madarakani.
Maadam anatuhumiwa tu basi badala ya kushinikizwa aachiwe (mashinikizo ya kipuuzi kabisa) tushinikize sheria isipindishwe katika mwenendo wa kesi yake.