Polisi "wame-underestimate impact" ya kumtuhumu Mbowe kwa makosa ya ugaidi?

Tatizo kubwa la viongozi wa Afrika ni kutotambua unyeti wa nafasi wanazo kabidhiwa kikatiba. Badala ya kutembea ndani ya malengo ya kimkakati kwa mustakabali mwema na maslahi mapana ya nchi zao, wao hugeukia "trivial things" ambayo vinawashushia hadhi katika jumuiya ya kimataifa!
 
Are you serious, na ulinzi wote wa Rais kweli Mdude anaweza hata kugusa kamba za viatu vya Madam?
Nimeshangaa hayo madai ya hao Polisi wetu, kuwa eti Mbowe alipanga njama za kuwaua viongozi wakuu wa serikali!

Baada ya kuona huyo Mbowe yuko "frontline" katika kuidai Katiba mpya, ambapo hao wenye mamlaka hawaitaki kwa maslahi yao binafsi
 
Mirembe moja hiyo...
 
Kutumia mbinu nyingi kubaki madarakani???????aisee POLE SANA MKUU,RUDI TU WODINI HUJAPATA RUKHSA YA DAKTARI
 
Rais wa nchi 'aregret' kwa sababu ya huyo mbowe? Acheni mzaha! Mbowe ni nani ndani ya nchi hii? Wacha kesi iende mahakamani, mbona kwa Sabaya mlishangilia sana. Malipo ni hapa hapa duniani.
 
Wawekezaji hawawezi kushindwa kuja Tanzania kwasababu ya wahuni kama Mbowe. Walijaribu kumdharau Mama sasa wacha waone cha moto.
 
Mtu afanye vurugu aachiwe sababu tu ya kuogopa wawekezaji? Huo ni upuuzi
Imenenwa kwenye Biblia, kitabu cha Mithali 14:34

Haki huinua Taifa, bali dhambi ni aibu kwa watu wote

Hivi hudhani hilo suala la Jeshi letu la Polisi, kumbambikia Mbowe kesi ya ugaidi, kuwa ni aibu kwa serikali nzima ya CCM?
 
Imenenwa kwenye Biblia, kitabu cha Mithali 14:34

Haki huinua Taifa, bali dhambi ni aibu kuwa watu wote

Hivi hudhani hilo suala la Jeshi letu la Polisi, kumbambikia Mbowe kesi ya ugaidi, kuwa ni aibu kwa serikali nzima ya CCM?
Una hakika gani kama kabambikiwa? So wewe unaamini Mwamba hawezi kukosea?
 
Ivi hii dhana ya kwamba wanasiasa wa upinzan hawakosei au hawana makosa?
Kwamfano ushahidi ukaonesha amehusika kwenye ugaidi mtakubali? Acheni sheria ifuatwe kama kweli hana makosa akaithibitishie mahakama hivyo vyombo vya habari vya kimataifa havitasaidia chochote zaid ya propaganda tu mana ndo wanachokipenda
 
Are you serious, na ulinzi wote wa Rais kweli Mdude anaweza hata kugusa kamba za viatu vya Madam?
Dada yangu kipi kinashindikana?!!

Rais wa Ufaransa mh.Macron alipigwa makofi na raia wake.....

Mh.Mzee Mwinyi alipigwa makofi na yule kijana chizi.....

George Bush alipigwa KIATU kule Iraq.....

Usicheze na BINADAMU ....

Mdude Nyagali amemtisha Rais....ametutisha wananchi kuwa "ATAUTUMIA WEMBE ALIOMNYOLEA HAYATI MAGUFULI KUMYOA MH.RAIS SSH ,na akahanikiza sisi UVCCM tumwambie mama yetu kuwa yeye hamuogopi"

Unataka hayo maneno tuyachukulie kirahisi?!! 🤣🤣

Unataka tusihoji kwanini 2+2=5?

#NchiKwanza
#KaziInaendelea
 
Sehemu salama ya Gaidi ni jela, Mbowe yupo sehemu anayostahili, anapiga story na kunguni tu, hakuna mwekezaji serious anayeona Mbowe ni mtu muhimu, hizi story zenu za vijiweni zibaki huko huko kwa nyumbxxx wenzio.

Sehemu salama ya Gaidi ni jela, Mbowe yupo sehemu anayostahili, anapiga story na kunguni tu, hakuna mwekezaji serious anayeona Mbowe ni mtu muhimu, hizi story zenu za vijiweni zibaki huko huko kwa nyumbxxx wenzio.
Mbowe hamtamuweza kumuweka mahabusu hamjaanza leo sana sana mnampaisha homa kali ya katiba mpya ndio inawafanya mshikwe na matumbo ya kuharisha katiba mpya mpya ndio suluhisho la haya yote.
 
Kila ukipita mitaani, hata wale wwnaCCM wenye akili timamu, wanasema wazi kuwa kwenye hili huyu Bibi ameharibu, na kukitia aibu chama.
 
Kwa ujinga huu alioufanya huyu bibi, hakuna mwenye busara Duniani atakayemsikiliza kwa lolote.

Nchi za Magharibi zinafuatilia sana maana alichokifanya huyu bibi hakina tofauti na kilichofanywa na utawala dikteta wa Syria. Wapinzani waliwaita magaidi wakitegemea nchi za Magharibi zitawaunga mkono, kinyume chake, walitajwa magaidi ndio waliosaidiwa na mataifa yote makubwa isipokuwa Urusi iliyoamua kusimama na Serikali ya kidikteta.
 
Wawekezaji hawatakuja Tanzania siyo kwa sababu Mbowe amebambikiwa kesi ya ugaidi na Samia, bali ujumbe utakaotumwa Duniani, ni kuwa Tanzania siyo mahali salama maana unaweza kubambikiwa kesi yoyote na watawala wakati wowote, alimradi wakiamua kufanya hivyo.
 
Mkuu ninachokijua hawajawahi kumshinda mbowe mahakamani ni issue ya muda tu watamwachia.Hiyo kesi ni ya kubumba na inaenda kuwaumbua na kuwaaibisha ila mama ataathiriwa vibaya na hawa washauri wake ambao wanamtoa nje ya reli wanataka aone kiti kigumu hivyo asema hagombei tena 2025.
 
Sehemu salama ya Gaidi ni jela, Mbowe yupo sehemu anayostahili, anapiga story na kunguni tu, hakuna mwekezaji serious anayeona Mbowe ni mtu muhimu, hizi story zenu za vijiweni zibaki huko huko kwa nyumbxxx wenzio.
Tozo za miamala ziko juu!!!... Makampuni ya simu yameanza kupiga mayowe!!!...wateja hakuna!!...Alafu tunasikia kuna Gaidi tena!!!.. Unadhani tukajenge Uchumi wa Namna gani?!!..
 
Si kweli ulisemalo.....

Unaongea KIHISIA zaidi ya mifano hai mingi ya KIUHALISIA....

Kule nchini Rwanda ,mpinzani wa serikali ,bi VICTOIRE INGABIRE alituhumiwa UGAIDI.....wawekezaji hawakuacha kuwekeza RWANDA....

#KaziIendelee
Ni wawekezaji gani wa maana waliopo Rwanda? Ni wawekezaji gani wa maana wapya waliokuja Tanzania wakati wa utawala wa Magufuli?

Wawekezaji wa maana, ni wale wawekezaji makini na wanaowekeza angalao kuanzia dola milioni 500. Wa mwisho natambua kuwa alikuwa Dangote, wakati wa utawala wa Kikwete.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…