Polisi wamefanikiwa kuingia ndani ya CCM, sasa wanataka kujiingiza kwenye mpira kwa nguvu

Polisi wamefanikiwa kuingia ndani ya CCM, sasa wanataka kujiingiza kwenye mpira kwa nguvu

tpaul

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2008
Posts
24,225
Reaction score
22,632
Leo nimekaa zangu nimetulia sitaki kuandika chochote, ghafla nakutana na kipeperushi cha polisi kwenye mitandao ya jamii. Nikadhani labda kina taarifa ya muhimu, kumbe ni upumbavu tu umejaa humo na kuparamia mambo wasiyoyajua na yasiyowahusu.
1000149654.jpg

Nimejiuliza maswali mengi sana kuhusu hiki kipeperushi:
1. Je, polisi walijuaje kwamba wale mashabiki waling'oa viti kwa sababu ya muda kuzidi? Huo uchunguzi mliufanya lini?

2. Ni lini waliwahoji hao waarabu wakawambia tatizo lao ni muda kuzidi?

3. Je, muda huo ulipozidi wao hawakuwa kiwanjani au walikuwa wamekatwa miguu wasicheze mpira?

4. Je, waarabu wangefunga goli lisingehesabiwa?


Mimi sio mshabiki wa mpira lakini nafikiri hiki kipeperushi hakina matinki yoyote zaidi ya kujipendekeza kutatua jambo ambalo haliwahusu. Inaonekana kabisa kuwa mtu aliyeandika hiki kipeperushi amesukumwa na ushabiki kwani ameenda mbali sana kwenye andiko lake huku akijua fika kwamba anachofanya ni upotoshaji usiokuwa na maana yoyote. Polisi na siasa zao za CCM wanadhani kuwa mpira nao unaendeshwa kisiasa kama wanavyoendeshwa na kutumiwa kama kondomu na CCM.

Sijawahi kusoma kipeperushi cha kijinga kama hiki tangu nizaliwe. Huu ufafanuzi wa muda wa kumaliza mchezo sio kazi ya polisi hata kidogo. Sijui huyu mtu aliyeandika na kusaini hiki kipeperushi alipata wapi ujasiri huu. Hivi siku akiitwa kwenda CAF kutoa ushahidi na hajui kimombo, ataongea lugha gani? Ramadhani Kingai alijiharishia wakati anatoa ushahidi wa uwongo dhidi ya Mbowe. Huyu aliyeandika hii takataka siku akiitwa kwenda CAF kutoa ushahidi bila shaka atazimia na kufa kabisa. Mpuuzi mkubwa!
 
Leo nimekaa zangu nimetulia sitaki kuandika chochote, ghafla nakutana na kipeperushi cha polisi kwenye mitandao ya jamii. Nikadhani labda kina taarifa ya muhimu, kumbe ni upumbavu tu umejaa humo na kuparamia mambo wasiyoyajua na yasiyowahusu.
View attachment 3178218
Nimejiuliza maswali mengi sana kuhusu hiki kipeperushi:
1. Je, poliCCM walijuaje kwamba wale mashabiki waling'oa viti kwa sababu ya muda kuzidi? Huo uchunguzi mliufanya lini?

2. Ni lini waliwahoji hao waarabu wakawambia tatizo lao ni muda kuzidi?

3. Je, muda huo ulipozidi wao hawakuwa kiwanjani au walikuwa wamekatwa miguu wasicheze mpira?

4. Je, waarabu wangefunga goli lisingehesabiwa?


Mimi sio mshabiki wa mpira lakini nafikiri hiki kipeperushi hakina matinki yoyote zaidi ya kujipendekeza kutatua jambo ambalo haliwahusu. Inaonekana kabisa kuwa mtu aliyeandika hiki kipeperushi amesukumwa na ushabiki kwani ameenda mbali sana kwenye andiko lake huku akijua fika kwamba anachofanya ni upotoshaji usiokuwa na maana yoyote. Polisi na siasa zao za CCM wanadhani kuwa mpira nao unaendeshwa kisiasa kama wanavyoendeshwa na kutumiwa kama kondomu na CCM.

Sijawahi kusoma kipeperushi cha kijinga kama hiki tangu nizaliwe. Huu ufafanuzi wa muda wa kumaliza mchezo sio kazi ya polisi hata kidogo. Sijui huyu mtu aliyeandika na kusaini hiki kipeperushi alipata wapi ujasiri huu. Hivi siku akiitwa kwenda CAF kutoa ushahidi na hajui kimombo, ataongea lugha gani? Ramadhani Kingai alijiharishia wakati anatoa ushahidi wa uwongo dhidi ya Mbowe. Huyu aliyeandika hii takataka siku akiitwa kwenda CAF kutoa ushahidi bila shaka atazimia na kufa kabisa. Mpuuzi mkubwa!

Mara nyingi tumekuwa tukisikia na kushuhudia mikutano au mikusanyiko ya vyama vya siasa ikizuiliwa kufanyika kwa sababu ya kuwepo kwa viashiria vya fujo au uvunjifu wa amani ambao hugunduliwa mapema sana na police (watu wa intelijensia),

Je hili la fujo na kuharibu viti vya uwanja hawakuweza kuliona mapema? Au intelijensia yao iko katika mambo fulani fulani tu.
 
Mara nyingi tumekuwa tukisikia na kushuhudia mikutano au mikusanyiko ya vyama vya siasa ikizuiliwa kufanyika kwa sababu ya kuwepo kwa viashiria vya fujo au uvunjifu wa amani ambao hugunduliwa mapema sana na police (watu wa intelijensia),

Je hili la fujo na kuharibu viti vya uwanja hawakuweza kuliona mapema? Au intelijensia yao iko katika mambo fulani fulani tu.
Hawa wahuni intelejensia yao inawaona wafuasi wa CHADEMA tu. Wafuasi wa vyama vingine haiwahusu.
 
Leo nimekaa zangu nimetulia sitaki kuandika chochote, ghafla nakutana na kipeperushi cha polisi kwenye mitandao ya jamii. Nikadhani labda kina taarifa ya muhimu, kumbe ni upumbavu tu umejaa humo na kuparamia mambo wasiyoyajua na yasiyowahusu.
View attachment 3178218
Nimejiuliza maswali mengi sana kuhusu hiki kipeperushi:
1. Je, polisi walijuaje kwamba wale mashabiki waling'oa viti kwa sababu ya muda kuzidi? Huo uchunguzi mliufanya lini?

2. Ni lini waliwahoji hao waarabu wakawambia tatizo lao ni muda kuzidi?

3. Je, muda huo ulipozidi wao hawakuwa kiwanjani au walikuwa wamekatwa miguu wasicheze mpira?

4. Je, waarabu wangefunga goli lisingehesabiwa?


Mimi sio mshabiki wa mpira lakini nafikiri hiki kipeperushi hakina matinki yoyote zaidi ya kujipendekeza kutatua jambo ambalo haliwahusu. Inaonekana kabisa kuwa mtu aliyeandika hiki kipeperushi amesukumwa na ushabiki kwani ameenda mbali sana kwenye andiko lake huku akijua fika kwamba anachofanya ni upotoshaji usiokuwa na maana yoyote. Polisi na siasa zao za CCM wanadhani kuwa mpira nao unaendeshwa kisiasa kama wanavyoendeshwa na kutumiwa kama kondomu na CCM.

Sijawahi kusoma kipeperushi cha kijinga kama hiki tangu nizaliwe. Huu ufafanuzi wa muda wa kumaliza mchezo sio kazi ya polisi hata kidogo. Sijui huyu mtu aliyeandika na kusaini hiki kipeperushi alipata wapi ujasiri huu. Hivi siku akiitwa kwenda CAF kutoa ushahidi na hajui kimombo, ataongea lugha gani? Ramadhani Kingai alijiharishia wakati anatoa ushahidi wa uwongo dhidi ya Mbowe. Huyu aliyeandika hii takataka siku akiitwa kwenda CAF kutoa ushahidi bila shaka atazimia na kufa kabisa. Mpuuzi mkubwa!
Siku hizi polisi tuna phd siyo ksma zamsni mdogo wangu. Nina div one kali form six pia tena pcm siyo wewe hgk failure
 
Siku hizi hakuna tofauti ya Jeshi la Polisi na CCM Green Guards.

Badala ya PGO wanatumia Ilani ya Chama cha Mapinduzi.
 
Siku hizi polisi tuna phd siyo ksma zamsni mdogo wangu. Nina div one kali form six pia tena pcm siyo wewe hgk failure
Divisheni one ndio mnaamdika kopeperushi bila kuweka punctuation marks?
 
Siku hizi polisi tuna phd siyo ksma zamsni mdogo wangu. Nina div one kali form six pia tena pcm siyo wewe hgk failure
Ila kusema kweli polisi mna mambo ya ovyo sana mkuu.
 
Siku hizi polisi tuna phd siyo ksma zamsni mdogo wangu. Nina div one kali form six pia tena pcm siyo wewe hgk failure
Ila unalinda Bank au nyumbani Kwa kiongozi mmoja mkubwa na mkeo anatimbiwa nyumbani na wahuni wa boda boda.

Mna PhD mnashindwa kufanya transformation na kuendesha jeshi lenu kitaalamu na kuacha kutumia wanasiasa!
 
Ila unalinda Bank au nyumbani Kwa kiongozi mmoja mkubwa na mkeo anatimbiwa nyumbani na wahuni wa boda boda.

Mna PhD mnashindwa kufanya transformation na kuendesha jeshi lenu kitaalamu na kuacha kutumia wanasiasa!
Inashangaza jinsi polisi wanavyotumiwa na wanasiasa kama kondomu kwa manufaa ya wanasiasa na familia zao.
 
Mara nyingi tumekuwa tukisikia na kushuhudia mikutano au mikusanyiko ya vyama vya siasa ikizuiliwa kufanyika kwa sababu ya kuwepo kwa viashiria vya fujo au uvunjifu wa amani ambao hugunduliwa mapema sana na police (watu wa intelijensia),

Je hili la fujo na kuharibu viti vya uwanja hawakuweza kuliona mapema? Au intelijensia yao iko katika mambo fulani fulani tu.
PoliCCM ni jumuiya ya CCM kama zilizvyo UWT, UVCCM na jumuiya nyinginezo.
 
Back
Top Bottom