Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 26,961
- 77,890
Sure. Kimasihara sana jamaa anaenda jela.Na abadili line kabisa ikiwezekana manake lazima tu kesi imdondokee yeye
Hii ni sehemu ya kula ya polisi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sure. Kimasihara sana jamaa anaenda jela.Na abadili line kabisa ikiwezekana manake lazima tu kesi imdondokee yeye
Hayo ni mazoezi ya utetezi.Hapana mkuu mimi nimepewa na maza aliokota, Soma uzi vizuri
Polisi hawanaga dogo,hapo lazima watamkazia yeye tuSure. Kimasihara sana jamaa anaenda jela.
Hii ni sehemu ya kula ya polisi.
Kisheria presumption ni kwamba wewe ndio mwizi itabidi uende kupangua kama wewe sio mwizi , na tahadhari kwa wote simu used ni kiti hatari unaweza kusota muda mrefu rumande hadi wajiridhishe kama sio wewe huko mahakamani, imagine hiyo simu mwenyewe angekuwa kauliwa wakati inaibwa? Si murder case hiyoMsaada wa kisheria simu ya kuokota nakamatwa na polisi. Mama yangu aliokota simu smat phone akanipa sababu yeye Hawezi tumia nikaweka laini hapa nimepagawa,
Hii imekaaje mbaya zaidi aliepoteza simu anadai kwao ilibiwa simu, TV nch 32, jiko la ges plate mbili. Je machomokaje katika hili tatizo?
Mkiona kimya mjue nawasiliana na polisi maana wanasumbua balaa
Mzee mzima mshika dini huna Ustaarabu? Yanini kumtusi mama usiyemjua kuwa anadanga? Ndio ninyi mnataka kutufundisha dini za peponi wakati matendo yenu ni sifuriHuyo mamako alikudanganya. Alienda kudanga akahongwa hiyo simu na mwizi au jambazi, muulize vizuri.
Babako unamjuwa? Mnaishi nae?
Huyu jamaa mpaka sasa hivi ndiye mwizi wa hivyo vitu vilivyopotea! Akifika polisi lazima anyee ndoo!Isalumimishe police kituo kingine back date tarehe!Cha kuokota si Cha kuiba huna kesi ingawa utasumbuliwa.
Akimbilie Lebanoni kwa usalama wake!Huyu jamaa mpaka sasa hivi ndiye mwizi wa hivyo vitu vilivyopotea! Akifika polisi lazima anyee ndoo!
Mkuu Umewaza Kiwango cha Masters of Telecommunication EngineeringHuyo mamako alikudanganya. Alienda kudanga akahongwa hiyo simu na mwizi au jambazi, muulize vizuri.
Babako unamjuwa? Mnaishi nae?
Simu hawaokoti mkuu.Msaada wa kisheria simu ya kuokota nakamatwa na polisi. Mama yangu aliokota simu smat phone akanipa sababu yeye Hawezi tumia nikaweka laini hapa nimepagawa,
Hii imekaaje mbaya zaidi aliepoteza simu anadai kwao ilibiwa simu, TV nch 32, jiko la ges plate mbili.
Je, machomokaje katika hili tatizo?
Mkiona kimya mjue nawasiliana na polisi maana wanasumbua balaa
Bichwa lako la habari, uliokota wewe, utumbo wako wa habari, aliokota mamako.Msaada wa kisheria simu ya kuokota nakamatwa na polisi. Mama yangu aliokota simu smat phone akanipa sababu yeye Hawezi tumia nikaweka laini hapa nimepagawa,
Hii imekaaje mbaya zaidi aliepoteza simu anadai kwao ilibiwa simu, TV nch 32, jiko la ges plate mbili.
Je, machomokaje katika hili tatizo?
Mkiona kimya mjue nawasiliana na polisi maana wanasumbua balaa
Unaambiwa mama yake mtuhumiwa aliiokota😂Mdogo mdogo utasema tu ukweli ulikoitoa.......
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Jtatu atampelekea mwanae chai.....Unaambiwa mama yake mtuhumiwa aliiokota😂
mimi juzi bodaboda kanipita vuuuu vumbi kama lote mara nikasikia tii kumbe ameangusha bahasha chap kwa haraka cheki ndani samaki watatu wakubwa home maharage kama yote , namwona jamaa anapunguza mwendo, niliingia chochi moja mitaa siifahamu, hadi home, chakuokota si cha kuiba.Msaada wa kisheria simu ya kuokota nakamatwa na polisi. Mama yangu aliokota simu smat phone akanipa sababu yeye Hawezi tumia nikaweka laini hapa nimepagawa,
Hii imekaaje mbaya zaidi aliepoteza simu anadai kwao ilibiwa simu, TV nch 32, jiko la ges plate mbili.
Je, machomokaje katika hili tatizo?
Mkiona kimya mjue nawasiliana na polisi maana wanasumbua balaa
Halafu ukute ni simu ya Mohamed Ali Kibao.Unaambiwa mama yake mtuhumiwa aliiokota😂