EP MEDICS COSMETICS STORE
JF-Expert Member
- Oct 18, 2015
- 2,826
- 4,593
Itakuwa aliuziwa na wahuni huyuu. Unaanzaje kuokota simu aisseWewe ndio mtu wa kwanza nimesikia ameokota simu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakuwa aliuziwa na wahuni huyuu. Unaanzaje kuokota simu aisseWewe ndio mtu wa kwanza nimesikia ameokota simu.
Washampigia simu,hata akiitupa,ataendelea kupigiwa simu kwani laini anayo.Mambo kdg namna hio unaogopa, huo sm tupilia kule Fanya mambo yako.
Nenda kafungwe kabisa mbwa wewe,Msaada wa kisheria simu ya kuokota nakamatwa na polisi. Mama yangu aliokota simu smat phone akanipa sababu yeye Hawezi tumia nikaweka laini hapa nimepagawa,
Hii imekaaje mbaya zaidi aliepoteza simu anadai kwao ilibiwa simu, TV nch 32, jiko la ges plate mbili.
Je, machomokaje katika hili tatizo?
Mkiona kimya mjue nawasiliana na polisi maana wanasumbua balaa
Mjinga wa mwshoiMsaada wa kisheria simu ya kuokota nakamatwa na polisi. Mama yangu aliokota simu smat phone akanipa sababu yeye Hawezi tumia nikaweka laini hapa nimepagawa,
Hii imekaaje mbaya zaidi aliepoteza simu anadai kwao ilibiwa simu, TV nch 32, jiko la ges plate mbili.
Je, machomokaje katika hili tatizo?
Mkiona kimya mjue nawasiliana na polisi maana wanasumbua balaa
HAKI ZAKO NA WAJIBU WA ASKARI HUO HAPO . NAKUTAKIA KAZI NJEMA YA UOKOTAJI. KUNA SHERIA ZA TCRA ZINAKATAZA UOKOTAJI. SITOKUTUMIA ILA ZIPO . MITANO KWA MAMA SAMIA
Ana bahati wamempa na wizi wa tv 32" na jiko la kichina. Siku ingine wangempa na murder case.Itakuwa aliuziwa na wahuni huyuu. Unaanzaje kuokota simu aisse
Watamkamata na kumpiga pesa nyingi zaidi akithubutu kufanya hivyozima simu itupilie chini ya uvungu ata miaka alaf tupa line
HaisaidiiZima usiwe hewañi, alafu nenda kaombe loss report
You are so negative.Huyo mamako alikudanganya. Alienda kudanga akahongwa hiyo simu na mwizi au jambazi, muulize vizuri.
Babako unamjuwa? Mnaishi nae?
Teh teh teh 😃 😃 hatari kweli kweliMiaka 5 jela inakusubiri.
Hakuna mwivi anayeiba simu kisha akaidondosha. Umenunua mali ya wizi na sasa kimewaka
Tayari ashapatikana kwa sababu namba yake wanayo.zima simu itupilie chini ya uvungu ata miaka alaf tupa line
Kama alisajili line, jina wanalo tayari hata akibadli line, zima simu mazima, kama Maza ana kitambulisho cha Nida tumia kusajili line mpya....Na abadili line kabisa ikiwezekana manake lazima tu kesi imdondokee yeye
Alishaweka line yake ya simu. So taarifa zake wanazo.Zima simu potea. Waachane na wewe.
Hebu angalieni ubinadamu ulipofikia! Jitu linaiba samaki wa watu, hujali boda katumwa au vipi kwamba itabidi afidie. Ulivyowala umeshiba mpaka leo?mimi juzi bodaboda kanipita vuuuu vumbi kama lote mara nikasikia tii kumbe ameangusha bahasha chap kwa haraka cheki ndani samaki watatu wakubwa home maharage kama yote , namwona jamaa anapunguza mwendo, niliingia chochi moja mitaa siifahamu, hadi home, chakuokota si cha kuiba.
Andaa hela ndefu ya kumlipa mwenye simu na kuhonga polisi. Ukizubaa unakula mvua kama Nyundo. Hizi simu za kuokota unaweza kuunganishwa na kesi ya mauaji unajiona. Kuna misala wanatafuta watu wa kuwaangushia.Msaada wa kisheria simu ya kuokota nakamatwa na polisi. Mama yangu aliokota simu smat phone akanipa sababu yeye Hawezi tumia nikaweka laini hapa nimepagawa,
Hii imekaaje mbaya zaidi aliepoteza simu anadai kwao ilibiwa simu, TV nch 32, jiko la ges plate mbili.
Je, machomokaje katika hili tatizo?
Mkiona kimya mjue nawasiliana na polisi maana wanasumbua balaa
Kwa mfano hao samaki wangekuwa wametiliwa sumu anapelekewa mtu.mimi juzi bodaboda kanipita vuuuu vumbi kama lote mara nikasikia tii kumbe ameangusha bahasha chap kwa haraka cheki ndani samaki watatu wakubwa home maharage kama yote , namwona jamaa anapunguza mwendo, niliingia chochi moja mitaa siifahamu, hadi home, chakuokota si cha kuiba.