Polisi wamenitrack niliokota simu, kesho natakiwa kituoni

Polisi wamenitrack niliokota simu, kesho natakiwa kituoni

Ok fanya hivi... Toa line zako kwenye hiyo simu!!
Tafuta line zingine nne usizozijua (unaweza sajili kimagendo kwa wale jamaa wa mtaani, waambie hauna kitambulisho) ziweke kwenye hiyo simu kwa interval ya siku au mbili moja kwa kila line... Hakikisha umeingia internet na kupiga cm moja au mbili (hapa buni namba usizozijua ndo uwe unawasiliana nazo)

Note: polisi wametrack imei namba ya hyo simu... Kwahyo kila line utayoweka watapata namba yake then wanaacha kutrack cm wanaitrack hyo namba (kwahy hata uweke line kwa cm nyingine utakamatwa... Pia ukiizima watatumia information za usajili kupata namba zako nyingine pia ikibidi kuchukua namba unazowasiliana nazo Sana ili wakupate!!!!
Kwahyo lengo la kuweka line tofaut humo ni ili wawe na namba nyingi za kutrack
Game lianzie hapa,,,, line zako binafsi zote zima
Simu iwe hewan kwa namba zingine kwa siku kadhaa (hakikisha hauiwashi ukiwa home... Yani cheza kete zako kijasusi kama Mosad😁
Unaenda kuwasha stend unazugazuga pale kutumia then unazima fany hvyo 3 days then baada ya hapo sajili line kwa kitambulisho kingine halafu hyo simu kabadiri IMEI NAMBA endelea kutumia kama kawaida🤝

Namba kwa vitambulisho vyako anza kutumia after 6 month!!!
Polisi mpk kukupigia simu inaonesha sio kesi kubwa.... Ingekuwa n kipengele kirefu wangekuja kukukamata direct maana uwezo huo wanao.

Ila kama unapesa za kuwapoza kubali kuliwa ili uishi kwa amani🚶
Unamdanganya polisi wampige afe. Si kila mara polisi huja kwako moja kwa moja, wanaweza kuanzia kwa mtu uliekuwa unawasiliana nae mara kwa mara na huyo ndio anaweza kutumika kuwaleta polisi ulipo, ukiwa umewazungusha muda mrefu watakupasua bandama. Wewe nenda eleza ukweli na upambane na matokeo ya kutumia simu za wizi.
 
Razima urisaidie rijeshi ra porisi 😄
Usawa huu unaokota tu smart phone unatumia tuuuu

Kama unachievable ni kweli basi lazima upate mbilinge kidogo
Polisi hawana jambo dogo

Ova
 
Mzee mzima mshika dini huna Ustaarabu? Yanini kumtusi mama usiyemjua kuwa anadanga? Ndio ninyi mnataka kutufundisha dini za peponi wakati matendo yenu ni sifuri
Ukweli ndiyo ustaarabu.

Mama gani mwenye heshima atamletea simu mwanae amwambie "chukuwa hii zawadi yako mwanangu, nimeiokota njiani!

Hivi huwa mnafikiri sawa nyie kondoo?
 
Msaada wa kisheria simu ya kuokota nakamatwa na polisi. Mama yangu aliokota simu smat phone akanipa sababu yeye Hawezi tumia nikaweka laini hapa nimepagawa,

Hii imekaaje mbaya zaidi aliepoteza simu anadai kwao ilibiwa simu, TV nch 32, jiko la ges plate mbili.

Je, machomokaje katika hili tatizo?
Mkiona kimya mjue nawasiliana na polisi maana wanasumbua balaa
Imeshakula kwako jiandae kukaa ndani ,nenda na mtu wa kukupa dhamana ,kama hautaki mambo yawe mengi ongea nao mmalizane kiuutu uzima otherwise ukileta mkono wa birika utapoteza muda na pesa zaidi.
 
Unamdanganya polisi wampige afe. Si kila mara polisi huja kwako moja kwa moja, wanaweza kuanzia kwa mtu uliekuwa unawasiliana nae mara kwa mara na huyo ndio anaweza kutumika kuwaleta polisi ulipo, ukiwa umewazungusha muda mrefu watakupasua bandama. Wewe nenda eleza ukweli na upambane na matokeo ya kutumia simu za wizi.
Imebidi nikafute comment yangu kwanza..... Nisije nikaitwa kulisaidia upepelez jeshi letu tukufu🤔

Nikipewa haki fungamani ya kusaidiana na majambaz kwa kuwapa mbinu za kukwepa mkono wa sheria!!
 
Huchomoki.
Kama kwenye huo wizi alikufa mtu unalo.
Hasara na gharama zote zilizotokana na kupotea simu ni zako.

Huchomoki.
 
Naona watu wengi mna mbishia mwanba kuhusu kuokota simu..
.
Wew kama huna bahati ya kuokota sim usisem haiwezekani kuokota simu
.
M mara mbili nishaokota simu
Mara ya kwanza naingia dukani kwa mangi nakuta kwa nje kuna sim imedondoshwa na namuliza muuzaji anasema hajui sema nikamua tu kumpa muuzaji kama mwenye sim akitokea ampe lkn sjh kama kwel alimpa au alibaki nayo mwenye.
.
Sim ya pili nashuka kwenye bajaji na na m ndo abilia wa mwisho. Ile kushuka tu naangalia kwenye kiti kama kuna sarafu nimeangusha naona samsung moja imenyooka sana. Nikasema hii nikimpa bajaji sizan kama mwenye sim anaweza mpkata bajaji so hii nikamuoa kutoa lain nikakaa nayo kama wiki hivi nikaona niuze.

Lkn pia nishaokota sim ofcn kwangu. Hii ilikuwa samsung fold mpyaa tena enzi zile zintoka sema hii sikuzima wala nn nikaweka kwenye droo baada ya mda kupita akaja mzee mmoja nilimuhudumiaga akauliza kama alidondosha nikamwambi nilikutunzia hii hapa.
.
Kuokota sim kupo ila kama hujawah kuokota usimseme jamaa cha msingi hapo mshaulini tu namna gani anatoboa kama hakuiba kweli...
 
Kisanga mkuu change tuu sim card poteleaa kusiko julikana,maana hapo itakutoka pesa nyingi mmno ila hautafungwa
 
Bichwa lako la habari, uliokota wewe, utumbo wako wa habari, aliokota mamako.

Unaelewa unavyojikaanga hapo?

Ama wewe mwizi au mamako mwizi a kahongwa na mwizi.

Hakuna zaidi.
Wewe bibi shika adabu yako bas acha kutusi mama wa mwenzako

Kimbuka al kisas bin khaki
 
Back
Top Bottom