Mzee Wa Jambo
Member
- Aug 28, 2023
- 43
- 58
Utalipa maana anaekutwa na ngozi si ndo mwizi wa.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamdanganya polisi wampige afe. Si kila mara polisi huja kwako moja kwa moja, wanaweza kuanzia kwa mtu uliekuwa unawasiliana nae mara kwa mara na huyo ndio anaweza kutumika kuwaleta polisi ulipo, ukiwa umewazungusha muda mrefu watakupasua bandama. Wewe nenda eleza ukweli na upambane na matokeo ya kutumia simu za wizi.Ok fanya hivi... Toa line zako kwenye hiyo simu!!
Tafuta line zingine nne usizozijua (unaweza sajili kimagendo kwa wale jamaa wa mtaani, waambie hauna kitambulisho) ziweke kwenye hiyo simu kwa interval ya siku au mbili moja kwa kila line... Hakikisha umeingia internet na kupiga cm moja au mbili (hapa buni namba usizozijua ndo uwe unawasiliana nazo)
Note: polisi wametrack imei namba ya hyo simu... Kwahyo kila line utayoweka watapata namba yake then wanaacha kutrack cm wanaitrack hyo namba (kwahy hata uweke line kwa cm nyingine utakamatwa... Pia ukiizima watatumia information za usajili kupata namba zako nyingine pia ikibidi kuchukua namba unazowasiliana nazo Sana ili wakupate!!!!
Kwahyo lengo la kuweka line tofaut humo ni ili wawe na namba nyingi za kutrack
Game lianzie hapa,,,, line zako binafsi zote zima
Simu iwe hewan kwa namba zingine kwa siku kadhaa (hakikisha hauiwashi ukiwa home... Yani cheza kete zako kijasusi kama Mosad😁
Unaenda kuwasha stend unazugazuga pale kutumia then unazima fany hvyo 3 days then baada ya hapo sajili line kwa kitambulisho kingine halafu hyo simu kabadiri IMEI NAMBA endelea kutumia kama kawaida🤝
Namba kwa vitambulisho vyako anza kutumia after 6 month!!!
Polisi mpk kukupigia simu inaonesha sio kesi kubwa.... Ingekuwa n kipengele kirefu wangekuja kukukamata direct maana uwezo huo wanao.
Ila kama unapesa za kuwapoza kubali kuliwa ili uishi kwa amani🚶
DuhHuyo mamako alikudanganya. Alienda kudanga akahongwa hiyo simu na mwizi au jambazi, muulize vizuri.
Babako unamjuwa? Mnaishi nae?
Ukweli ndiyo ustaarabu.Mzee mzima mshika dini huna Ustaarabu? Yanini kumtusi mama usiyemjua kuwa anadanga? Ndio ninyi mnataka kutufundisha dini za peponi wakati matendo yenu ni sifuri
Imeshakula kwako jiandae kukaa ndani ,nenda na mtu wa kukupa dhamana ,kama hautaki mambo yawe mengi ongea nao mmalizane kiuutu uzima otherwise ukileta mkono wa birika utapoteza muda na pesa zaidi.Msaada wa kisheria simu ya kuokota nakamatwa na polisi. Mama yangu aliokota simu smat phone akanipa sababu yeye Hawezi tumia nikaweka laini hapa nimepagawa,
Hii imekaaje mbaya zaidi aliepoteza simu anadai kwao ilibiwa simu, TV nch 32, jiko la ges plate mbili.
Je, machomokaje katika hili tatizo?
Mkiona kimya mjue nawasiliana na polisi maana wanasumbua balaa
Imebidi nikafute comment yangu kwanza..... Nisije nikaitwa kulisaidia upepelez jeshi letu tukufu🤔Unamdanganya polisi wampige afe. Si kila mara polisi huja kwako moja kwa moja, wanaweza kuanzia kwa mtu uliekuwa unawasiliana nae mara kwa mara na huyo ndio anaweza kutumika kuwaleta polisi ulipo, ukiwa umewazungusha muda mrefu watakupasua bandama. Wewe nenda eleza ukweli na upambane na matokeo ya kutumia simu za wizi.
Muisilamu anayemuogopa Allah hawezi kuandika hiviHuyo mamako alikudanganya. Alienda kudanga akahongwa hiyo simu na mwizi au jambazi, muulize vizuri.
Babako unamjuwa? Mnaishi nae?
😂😂😂Mdogo mdogo utasema tu ukweli ulikoitoa.......
Usiusingizie Uislam upumbavu wako.Muisilamu anayemuogopa Allah hawezi kuandika hivi
Mimi siwezi kukujibu vibaya Kwani nimefundishwa kuheshimu wakubwa na wadogoUsiusingizie Uislam upumbavu wako.
Wewe bibi shika adabu yako bas acha kutusi mama wa mwenzakoBichwa lako la habari, uliokota wewe, utumbo wako wa habari, aliokota mamako.
Unaelewa unavyojikaanga hapo?
Ama wewe mwizi au mamako mwizi a kahongwa na mwizi.
Hakuna zaidi.