Polisi wamenitrack niliokota simu, kesho natakiwa kituoni

Polisi wamenitrack niliokota simu, kesho natakiwa kituoni

Msaada wa kisheria simu ya kuokota nakamatwa na polisi. Mama yangu aliokota simu smat phone akanipa sababu yeye Hawezi tumia nikaweka laini hapa nimepagawa,

Hii imekaaje mbaya zaidi aliepoteza simu anadai kwao ilibiwa simu, TV nch 32, jiko la ges plate mbili.

Je, machomokaje katika hili tatizo?
Mkiona kimya mjue nawasiliana na polisi maana wanasumbua balaa
Ukiokota simu peleka polisi au tangaza gazetini.

Kwanza hata usitangaze, unaweza kuokota kitu kinachoonekana simu kumbe ni bomu la kujilipua lenyewe kama huko Lebanon.
 
downloadfile.jpg
 
Mambo kdg namna hio unaogopa, huo sm tupilia kule Fanya mambo yako.
 
Msaada wa kisheria simu ya kuokota nakamatwa na polisi. Mama yangu aliokota simu smat phone akanipa sababu yeye Hawezi tumia nikaweka laini hapa nimepagawa,

Hii imekaaje mbaya zaidi aliepoteza simu anadai kwao ilibiwa simu, TV nch 32, jiko la ges plate mbili.

Je, machomokaje katika hili tatizo?
Mkiona kimya mjue nawasiliana na polisi maana wanasumbua balaa
Bro ukikutwa na Mali ya wizi, ni kosa, uwe umeokota, au kununua, ilibidi uiwasilishe polisi baada ya kuiokota.
 
Msaada wa kisheria simu ya kuokota nakamatwa na polisi. Mama yangu aliokota simu smat phone akanipa sababu yeye Hawezi tumia nikaweka laini hapa nimepagawa,

Hii imekaaje mbaya zaidi aliepoteza simu anadai kwao ilibiwa simu, TV nch 32, jiko la ges plate mbili.

Je, machomokaje katika hili tatizo?
Mkiona kimya mjue nawasiliana na polisi maana wanasumbua balaa
Faida za kitonga ndiyo hizo - komaa ukizubaa unakula ndoo.
 
mimi juzi bodaboda kanipita vuuuu vumbi kama lote mara nikasikia tii kumbe ameangusha bahasha chap kwa haraka cheki ndani samaki watatu wakubwa home maharage kama yote , namwona jamaa anapunguza mwendo, niliingia chochi moja mitaa siifahamu, hadi home, chakuokota si cha kuiba.
Ila sio simu..
 
Ukizima hiyo simu na kuitupa wana track laini yako, ukivunja laini na kuitupa wana track namba ulizokua unawasiliana nazo akikamatwa mama yako ataonyesha tu ulipo yani wana wewe hadi useme.

Ukute bahati mbaya alieibiwa aliuwawa wakati anaibiwa hapo ndo unaenda kuunganishwa na kesi ya mauji hata kama utaachiwa utakua umekaa mahabusu siyo chini ya miaka miwili au zaidi maana kesi haina dhamana
 
Wewe ndio mtu wa kwanza nimesikia ameokota simu.
Kuna mtu wangu wa karibu kuna siku alishawahi kuokota simu,alipoiokota akanipigia kunijulisha nikamuambia aitupe fasta,maana nishaona kuna jamaa kibamba huko aliuziwa simu baada ya kuitumia miaka 2 siku hiyo wazee wa obey wakamnyakua kama mwewe,simu ya laki na nusu ilimtoka milioni na kadhaa
 
Kwanza hyo simu ilipookotwa haikuwa na laini?? Kama ilikuwa na laini wewe automatically na huyo bi mkubwa ni wezi

Kama simu haikuwa na laini tena smartphone hyo pia ingekuwa ni moja ya jambo la kustua na kuachana nayo simu nzima inakuwaje haina laini

Wadau sasa hvi polisi wanafanya uchunguzi wa mambo mengi vipi ikategeshwa simu mtaani ya either mmoja kati ya watu waliopotea kama kina soka ukaiokota wewe alafu ukatumika kama kichaka cha kuanzia uchunguzi??? Tuwe makini unaokotaje simu
 
Back
Top Bottom