Polisi wamenitrack niliokota simu, kesho natakiwa kituoni

Polisi wamenitrack niliokota simu, kesho natakiwa kituoni

Tulishawapa onyo hayo mambo hamkusikia. Nenda kawape milioni 1 na simu wachukue wakuachie.
Wataitupa tena ili mjinga mwingine aingie King.
Hiyo ni michezo michafu ya polisi. Una bahati hujaambiwa mwenye simu kauwawa mngeuza mpaka nyumba ndo wakuache
Kama sio mtoto wa Mama jiandae kukaa mahabusu kwa siku kadhaa watakutoa we komaa simu uliiokota tena haikuwa na laini wakikwambia we ni mwizi kataa simamia msimamo wako watakushenta kidogo vumilia kama unajuana na mtu anajua sheria mwambie akufuatilie komaa uende mahakamani huko vitahitajika vielelezo hapo sasa ndio watajua hawajui ila haya yote kikubwa ni uvumilivu kwa maana hizo zingine huwa ni chezo/dili/A.k.a magumashi.NB: kabla ya kwenda jipange acha uoga.
 
Hayo maelezo yawe ni kweli au si kweli,
SAHAU Polisi kuyaelewa,

Usalama zaidi ilikua kuiacha(kitu ambacho kwa bongo ni ndoto)
Kwa kesi zetu hizi, acha kuokota, hata tuu kutoa taarifa au kumtafuta mwenyewe, jumba linaweza likuangukie....
Tena ushukuru wewe umetajiwa vitu vya kawaida,

Kuna mwamba alitajiwa mzigo wa 9.3M, Akicheki hana pesa, Hana wa kumtoa akiingia kwenye 18, akakata mawasiliano yote akapita vile, uzuri haikua kesi halali, hivyo hata kumfuatilia wakaacha,
kesi nyingi za madai ukiwa msumbufu wanaweza waachane na wewe, maana hata mdai naye hua zinamtoka pesa kwenye kufuatilia pamoja na usumbufu, anachoka na wale wanapotezea maana wana mambo mengi..

Sikushauri upotezee, yule mwamba alikua hasomeki, hana tegemezi wala hawakupata mtu wa karibu sana kusema kwamba watambananisha.
 
Msaada wa kisheria simu ya kuokota nakamatwa na polisi. Mama yangu aliokota simu smat phone akanipa sababu yeye Hawezi tumia nikaweka laini hapa nimepagawa,

Hii imekaaje mbaya zaidi aliepoteza simu anadai kwao ilibiwa simu, TV nch 32, jiko la ges plate mbili.

Je, machomokaje katika hili tatizo?
Mkiona kimya mjue nawasiliana na polisi maana wanasumbua balaa
Umenikumbusha nilipokuwa Sumbawanga kikazi mwaka 1987 niliokota pochi ya mfukoni nzuri sana imetengenezwa kwa ngozi ya mamba, kwa wanaozijua wanazielewa na zina bei kali. Pochi hiyo ilikuwa nzito kiasi, kutokana na desturi zangu tangu utotoni sikutaka kuifingua, niliipeleka kituo cha polisi na nikaikabidhi kaunta, ilipokelewa na askari akaifungua mbele yangu, cha ajabu yule askari aliondoka haraka kimya bila kusema neno. Nilisimama kaunta kwa dakika 15 hivi bila kumuona akirudi, nikaamua kuchungulia mna nini ndani ya pochi. Kumbe pochi ilikuwa na vijitambaa vyeusi bilivyoviringishwa na kufungwa, nikahisi ni hirizi.
Alikuja askari mwingine nadhani aliingia zamu akaniuliza ninachosubili nikamueleza na kumuonesha ile pochi, naye akachungulia kilicho ndani, cha ajabu naye akanyata taratibu kimyakimya, hakurudi! Nilipoona hivyo nikaamua kuichukua na kuondoka nayo. Nilipofika nyumbani nikaamua kuchukua koleo ya fundi umeme nikavivuta vile vidubwasha na hamadi! Chakuokota si cha kuiba chini yake kulikuwa na shs. 674,500/= na kwacha 55,000/= za Zambia, nikajisemea moyoni Mingu anipe nini, alhamdulilah.
 
Msaada wa kisheria simu ya kuokota nakamatwa na polisi. Mama yangu aliokota simu smat phone akanipa sababu yeye Hawezi tumia nikaweka laini hapa nimepagawa,

Hii imekaaje mbaya zaidi aliepoteza simu anadai kwao ilibiwa simu, TV nch 32, jiko la ges plate mbili.

Je, machomokaje katika hili tatizo?
Mkiona kimya mjue nawasiliana na polisi maana wanasumbua balaa
Another RIP or RIH, utamwona mafwele
 
Acha utoto usiende...zima simu tafuta line ya mtu mwingine na simu nyingine endelea kula maisha....kama wewe ni msamaria mwema wapigie waambie umeiweka dustbin flani kwenye kimfuko alafu timka....polisi watakukamua hela na muda mpaka ujute kwa kesi ya kisee
 
Msaada wa kisheria simu ya kuokota nakamatwa na polisi. Mama yangu aliokota simu smat phone akanipa sababu yeye Hawezi tumia nikaweka laini hapa nimepagawa,

Hii imekaaje mbaya zaidi aliepoteza simu anadai kwao ilibiwa simu, TV nch 32, jiko la ges plate mbili.

Je, machomokaje katika hili tatizo?
Mkiona kimya mjue nawasiliana na polisi maana wanasumbua balaa
Aisee 😯
Siku hizi unaokota simu na unaweka line yako bila wasiwasi!? Hapa mna balaa wewe na huyo mama yako.
 
Kuokota simu sawa sawa na kuokota maiti.
Hapo ulipo ujue una kesi ya mauaji, mbaya zaidi polisi wanajua jina lako na unapoishi.
Ukipangua kesi ya mauaji utabaki na ya kuvunja nyumba na kuiba kutumia silaha.
Kwanza, hebu waonyeshe polisi silaha yako unapoihifadhi. Ole wako Kama umesahau ulipoificha, Kuna vitu watakutanyia mpaka ukumbuke.
Bye bye.
Mama ake aliona eembe au chungwa sasa du hawajutishi ila ndo hvo msihara msihra unpigwa mvua...ur suspect no 1
 
Aisee 😯
Siku hizi unaokota simu na unaweka line yako bila wasiwasi!? Hapa mna balaa wewe na huyo mama yako.
Na hata ukiitupa ww line yako ishametch na imei ya simu uliokota na zisharekodiwa namba ulipiga kwa kutumia simu hyo so wasikilize tu polisi wanavotaka usije kujaribu kuwakimbia utaunganishwa na bunduki iliyotumika kupora hzo silaha zimekaa tu chumba cha vidhibiti vinatafuta wa kubambikiziwa ni kama umeagiza kuku nusu unawekewa chips bila kuomba..pambana baba ku a mdau amesema sasa ukaielexea polisi kama ww sio muhusika
 
Na hata ukiitupa ww line yako ishametch na imei ya simu uliokota na zisharekodiwa namba ulipiga kwa kutumia simu hyo so wasikilize tu polisi wanavotaka usije kujaribu kuwakimbia utaunganishwa na bunduki iliyotumika kupora hzo silaha zimekaa tu chumba cha vidhibiti vinatafuta wa kubambikiziwa ni kama umeagiza kuku nusu unawekewa chips bila kuomba..pambana baba ku a mdau amesema sasa ukaielexea polisi kama ww sio muhusika
Mimi si mleta mada.
 
Back
Top Bottom