heartbeats
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 6,736
- 10,669
Aipeleke uko akirudi aisuuze aipake shabu irudi tuendelee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda wanatoa manyuKwani wahaya hutoa nini mkuu?,,🤔
Kater3r0Kwani wahaya hutoa nini mkuu?,,🤔
shida ni rasilimali muda na pesa alizotumia jamaa kwa huyo manzi plus ahadi kuwa yuko peke yake sasa ikatokea otherwise ndo butchering ilipotokea!Kumtoa roho mtu kwa mtu kwa ajili ya mapenzi kwangu mimi ni ujuha tu, maana sasa hapo Ngosha anaanza sumbuka na polisi, mahakama, kote huko atahongoa, bado ataweka advocate hela napo itamtoka, haya marehemu kaacha watoto so Ngosha anaonekana muuaji kwenye macho ya hao watoto.
Kama mtu kaamua kuutumia mwili wake kwa mtu mwingine ni bora kuachana tu mbona Ke/Me wapo wengi mpaka wamepitiliza!!
yeah ili uwe na amani inabidi ujiegeshe mguu mmoja nje mguu mmoja ndani vinginevyo unaingia hatarini,mapenzi hakuna siku hizi mwenye pesa ndio anageuka mpenzi muda huo husika,akiishiwa naye anatemwa anatafutwa mwingine mwenye pesaKwa wanawake wa kisasa ukipenda kweli kweli basi jua lazima utaua au utauawa!
Toka enzi kwenye maandiko wafalme wametumia njia mbalimbali ili kumiliki pisi za watuSkuizi hakuna mahaba mapenzi yanafanya watu wana chinjana sana 😭
Alafu kamkuta na watoto 2Mhaya ,harafu anamiliki bar ....Tena goba ..
Harafu unaweka kambi eti Ni mke wako ,Tena unamchunga ..
Kwan Huyo ngosha kaja mjini Lin ....
Mim nikiona mwanamke mhaya huwa Nakamilisha Ile kauli ya "mwanamke Ni chimbo cha starehe " hawanaga Nomaa kabisa kumuinamisha hata nyuma ya geti Kwa buku tano Ni swala la kawaida kabisa ...
watani zangu kina ngosha wanakuwaga waporipori kweli, sijuiw ataacha lini ushamba.Mhaya ,harafu anamiliki bar ....Tena goba ..
Harafu unaweka kambi eti Ni mke wako ,Tena unamchunga ..
Kwan Huyo ngosha kaja mjini Lin ....
Mim nikiona mwanamke mhaya huwa Nakamilisha Ile kauli ya "mwanamke Ni chimbo cha starehe " hawanaga Nomaa kabisa kumuinamisha hata nyuma ya geti Kwa buku tano Ni swala la kawaida kabisa ...
Ngoja tuoneAmekuja bila kukusudia.
Anaenda jela miaka 3
Hata ingekuwa mwezi tayari atapoteza heshima kwenye jamii, atapoteza pesa, muda, kwa kufupi hakuna faida aliyopata bali alichokifanya kimemletea hasara tena kubwaAmekuja bila kukusudia.
Anaenda jela miaka 3
Kwani mkuu wew unaona ni murder?being a lawyer, kuna kichaka kikubwa sana kimejificha kwenye suala la mapenzi likisababisha mauaji kudondokea kwenye manslaughter. tutafanyeje ndio sheria.
Jamaa kapotea kizembe sana na ushamba pia umechangia.Kumtoa roho mtu kwa mtu kwa ajili ya mapenzi kwangu mimi ni ujuha tu, maana sasa hapo Ngosha anaanza sumbuka na polisi, mahakama, kote huko atahongoa, bado ataweka advocate hela napo itamtoka, haya marehemu kaacha watoto so Ngosha anaonekana muuaji kwenye macho ya hao watoto.
Kama mtu kaamua kuutumia mwili wake kwa mtu mwingine ni bora kuachana tu mbona Ke/Me wapo wengi mpaka wamepitiliza!!