Polisi wamkamata Joseph Sanura aka Ngosha, aliyekuwa mpenzi wa Penina wa Goba Centre

Jurisprudence imekuwa usikariri kuna baadhi ya binadamu huweza kuishi ndani ya provocation attitude hata masaa mawili. Ni swala la ushahidi tu hapo
jurisprudence ya wapi hiyo? ya hapa kwetu au ya kuazima of which we are not bound with.
 
"Legend wa Mahaba" amemaliza mwendo KIFALA sana...

Kwenye 20's na 30's wengi wetu tunaendeshwa na mapenzi na hisia,, LIFE STARTS at 40.
 
imagine, unaanza kumkatakata mapanga mtoto wa watu, as if ni mali yako binafsi, ana wazazi, ana watoto, ana ndugu. hivi who are you kufikiri unammiliki mwanadamu?
....Simuungi mkono ngosha kwa kuua ila dada kama hutaki kumilikiwa kwa nini ulinikubalia?
 
Pia, girls, kama mwanaume humwelewi, usijifanye kumpenda na kupokea chochote anachokupatia, iwe hela au vitu.

Kupokea vitu toka kwake huku humwelewi ni kujiweka katika mazingira hatarishi.
Watakuja kukuambia nawanukuu πŸ‘‡πŸ»

"Kwani si anatoa mwenyewe hajalazimishwa"

Hizi ndo akili za dada zetu wengi πŸ‘†πŸ»
 
Binadamu hawa ambao bado ni viwavi kuelekea utu ukiwaondolea adhabu ya kifo au/na diyar itafikia sehem kila kaya ina aliyeuawa!
Mjadala wa kufuta adhabu ya kifo urudishwe mezani!
Pia iundwe kamati ya nidham ngazi ya kitongoji yenye wazee wenye hekma na uadilifu ambayo itajishughulisha pia na mambo ambayo mahakama haiwezi ku capture moja kwa moja.
mf mashitaka ya kimapenzi na shambulio za kimaadili na saikolojia!
 
Ngosha atakuwa ameshazoea maisha ya jela
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…