Polisi wampe ulinzi mke wa Dr. Mwaka. Sakata la ndoa yao lina vita ya kiuchumi ambayo inaweza kupelekea mauaji

Kwasababu ambazo zisizoweza kuvumilika! Na kwa hali ilivyo akibakia ndani ya ndoa ni rahisi sana kuumizwa! Hawataaminiana!
Mbona huwa nasikia mwanamke kama anaruka ruka mfano wa maharage ya mbeya, huwa anatulizwa kwa ukuni na hongo tu?

Dr Mwaka kashindwa vipi kushawishi kumlala mke wake na vijizawadi vya kuzugia ili yaishe?

Mtu una hela unawezaje kukimbiwa na mwanamke bhana?

Maana katika statements za mwanamke kuna sehemu anasema alipopigiwa simu kwenda kwa kadhi, alitegemea itakuwa ni kikao cha usuluhisho ambao Mwaka aliutaka!

Baadaye ndiyo akageuziwa kibao na kuswendekwa ndani.

Kama ningelikuwa ndiye mimi, ningelichuna ngozi na jiko nikarudisha ndani na issue ikaishia hapo simple like that!

Huyu dr huyu, anataka kutuangusha sasa sisi wanaume wapenda wanawakel!
 
Mzee Lowassa aliwahi kusema Elimu, Elimu, Elimu!! Mzee Mwaka shule ndogo, yule janja janja nyingi hadi watu wanaamini ana degree sijui ya India. Hapo kaachwa haachike tu, mali kitu gani wakati huyo Queen ana watoto nae wawili ambao ndio halali yao hio. Kama anapata hio pesa yote kwenye biashara zake nyumba kujenga ingine anaweza pia.haya ma ndoa ya wake wengi ya matangazo ndio mwisho wake uwa hivi, Haji Manara analijua hili amebaki kulia lia tu watu washamdaka mkewe.
 
Acha urongo hv unajua stahiki za mwanamke wa kiislam pindi ndoa inapovunjika!!??
 
Uchawi mwingi
 
Unafanishaje mfumo dume na mambo ya kipuuzi?! Ni wapi ulisoma au ulifundishwa kuwa mfumo dume ulimuelekeza dokta mwaka kugombana na mkewe na kuleteana nae hizo kash kash.
 
ningekuwa ni mimi mahakama wewe ungekuwa namba moja kuleta usaidizi wa maelezo maana inaonekana unaijua sana ndoa ya yule bwana kuliko hata yeye binafsi pengine. Upande mwingine mimi kama mwanaume siwaamini wanawake hata wawe wanaeleza huku wanalia...hao ni wahuni sana si lahisi kuwaamini....Mwaka afanye analoliamini tu...wala asifanye kwa kumhurumia mtu, atende haki tu...na talaka asitoe, itakuwa fundisho kwa wachache wenye tabia kama za yule mkewe
 
Hujielewi labda uwe hakimu kwenye mahakama ya ndizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…