Polisi wampe ulinzi mke wa Dr. Mwaka. Sakata la ndoa yao lina vita ya kiuchumi ambayo inaweza kupelekea mauaji

Kwa mjibu wa ndoa ya kiisilamu mwanamke anaweza kutoa talaka shida ya huyu mwanamke anataka kupewa talaka ili adai Mali kama kweli sio kivuruge atoe talaka yeye mwanamke

Sent by Iphone 14 pro
 
Huyo Mwaka kazingua sana..yule mama kwa maelezo ya jana...anahitaji kusepa tu..lkn pia kwa ajili alivyokua anaongea..yuko tayari kutulia kama atabembelezwa...shida huyo Mwaka ni kama hajui anataka nini, anampiga pini kila idara bila direction yoyote
Kama anataka atoe talaka yy mwanamke

Sent by Iphone 14 pro
 
Mwaka naye ni mjinga ,amechuma mali kibao yaani anang'ang'ania nyumba na range tu? Ebu muachie mpe na talaka aende zake,hizo mali ni za watoto wako na si za mke.
 
Hizo ni hisia zako tu, Mwaka anataka taratibu zifuatwe kwenye utoaji talaka ya kidini. Sheria ya dini inamruhusu mke kurudisha mahali na kuomba talaka, kwanini huyo mwanamke hafanyi hivyo?
Kelele za yule mwanamke ni kutaka jamii imuonee huruma kuwa anaonewa, ikiwa huyo mwanamke ni jirani yako ama mnajuana mwambie aache magumashi afuate taratibu
Pia biashara ya mwaka haiwezi kufa kama wateja wake ni hawa watanzania ninaowajua mimi.
 
Huyo Mwaka kazingua sana..yule mama kwa maelezo ya jana...anahitaji kusepa tu..lkn pia kwa ajili alivyokua anaongea..yuko tayari kutulia kama atabembelezwa...shida huyo Mwaka ni kama hajui anataka nini, anampiga pini kila idara bila direction yoyote
Usimuamini mwanamke kwa maelezo tu.
 
Kwanini hili limekuwa swala la jamii nzima?

Huyo mwanamke ana umuhimu gani kwenye hili taifa?

Akwende huko!
Ni muhimu sana huyo anawakilisha wanawake wengi ambao hawajapata watu wa kuwasemea kuhusu haki zao pale ndoa inapofika kikomo, na kupitia kwake wengi wetu tumejua udhaifu wa hizi taasisi za kidini zilizopewa mamlaka ya kutatua changamoto hizi.
 
Tashwishwi kwelikweli hivi Mwaka ni kabila gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…