Polisi wampeleka Tundu Lissu kwa mkemia mkuu kupima Mkojo, awagomea..

Polisi wampeleka Tundu Lissu kwa mkemia mkuu kupima Mkojo, awagomea..

Mwisho wa movie hii ni kutumbukia kwenye majanga kama wenzetu wanavyotuzunguka walivyopita kwenye majanga miaka ya nyuma wakati tulipokuwa tukijinadi kama kisiwa cha amani.
labda sio Tanzania ya Magufuli
 
Wamfanye kama yule jamaa Wã arusha ... Akili yake imekaa sawa sasa ..
 
Nani amekereka kwa maneno ya Lissu juzi?Ni yepi yamemkera?Labda tamemkera vipi?

May Allah bless Me and You
 
Hivi kweli Watanzania tumefikia kiwango cha kudhalilishwa kiasi hiki. Hii ni aibu yetu sote kama Taifa. Tumekubwa na kitu gani? Ujinga huu hata nchi jirani wanatucheka.
 
Ha ha haaa,mkojo?uchochezi na mkojo wapi na wapi?si wampeleke mahakamani waone.mbona wanaweweseka tu
 


View attachment 547452
Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje wa Chadema, John Mrema amesema baada ya Tundu Lissu kutolewa ha Polisi cha Kati leo mchana, amefikishwa kwa Mkemia Mkuu wa Serikali na kupimwa mkojo.

Mapema asubuhi, mawakili akiwamo Fatma Karume walizuiliwa kuonana naye huku Jeshi la Polisi likisema litaendelea kumshikilia hadi uchunguzi utakapokamilika.

Mbunge huyo wa Singida Mashariki amekamatwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), akielekea Kigali, Rwanda kwenye kikao cha Halmashauri ya EALS kilichoanza jana.

"Kabla ya kuelekea nyumbani kwake Tegeta, wamempeleka kwa mkemia mkuu na ameshapimwa mkojo, sasa sijui ni kitu gani wanachunguza, kwa sasa wameshaelekea nyumbani kwake kwa ajili ya kumpekua,"amesema Mrema.


Licha ya kulala rumande hakuna aliyeruhusiwa kuingia na kumuona Tundu Lissu wakiwamo wanasheria wake. Mbali na Fatma, wengine waliokuwapo ni Peter Kibatala na Frederick Kihwelo.

====

UPDATE 1

Mapema kabla, Lissu alipitishwa kwa Mkemia Mkuu wa Serikali,alikataa kupimwa mkojo kwa sababu kipimo hicho hakihusiani na tuhuma za uchochezi.

More to follow



CCM wameharibu weledi na taaluma ya jeshi la polisi. hivi sasa polisi hawajui walitendalo ni
 


View attachment 547452
Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje wa Chadema, John Mrema amesema baada ya Tundu Lissu kutolewa ha Polisi cha Kati leo mchana, amefikishwa kwa Mkemia Mkuu wa Serikali na kupimwa mkojo.

Mapema asubuhi, mawakili akiwamo Fatma Karume walizuiliwa kuonana naye huku Jeshi la Polisi likisema litaendelea kumshikilia hadi uchunguzi utakapokamilika.

Mbunge huyo wa Singida Mashariki amekamatwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), akielekea Kigali, Rwanda kwenye kikao cha Halmashauri ya EALS kilichoanza jana.

"Kabla ya kuelekea nyumbani kwake Tegeta, wamempeleka kwa mkemia mkuu na ameshapimwa mkojo, sasa sijui ni kitu gani wanachunguza, kwa sasa wameshaelekea nyumbani kwake kwa ajili ya kumpekua,"amesema Mrema.


Licha ya kulala rumande hakuna aliyeruhusiwa kuingia na kumuona Tundu Lissu wakiwamo wanasheria wake. Mbali na Fatma, wengine waliokuwapo ni Peter Kibatala na Frederick Kihwelo.

====

UPDATE 1

Mapema kabla, Lissu alipitishwa kwa Mkemia Mkuu wa Serikali,alikataa kupimwa mkojo kwa sababu kipimo hicho hakihusiani na tuhuma za uchochezi.

More to follow

“Rais wa Tanzania ni mmoja tu, Hawa wengine
Rais wa TLS Rumande
Rais wa TFF Rumande
Rais wa Yanga Rumande
Rais wa Simba Rumande
Mwingine akijiita *Rais* asubiri moto wake.
[HASHTAG]#utanikamakweli[/HASHTAG]
Nchi haiwezi kuwa na utitiri wa marais ikakubalika.
[HASHTAG]#raiswangu[/HASHTAG] [HASHTAG]#HapaKaziTu[/HASHTAG]
 
Back
Top Bottom