Polisi wampeleka Tundu Lissu kwa mkemia mkuu kupima Mkojo, awagomea..

Polisi wampeleka Tundu Lissu kwa mkemia mkuu kupima Mkojo, awagomea..

Hivi vinaitwa vichekesho vya kuudhi...wanataka mbambikiza kesi nini? Kwakweli tunaombwe kubwa la uongozi
 
Hivi vinaitwa vichekesho vya kuudhi...wanataka mbambikiza kesi nini? Kwakweli tunaombwe kubwa la uongozi
Mkuu kwa kuwa wewe umezoea kubambikiza unajua kila mtu anawaza kubambikizia? Kama kubambikiza ni rahisi kihivyo walishindwa nini kumbambikizia Gwajima?
 
Hakuna lolote. Wanapoteza muda ili tu alale ndani leo. Jumatatu wanaanza tena abradakadabra zao. Sijui tumerogwa? Unakamatwa kwa uchochezi ila uchunguzi wa askari wetu sasa...unaanzia kwa mkemia mkuu kupimwa mkojo then kwako kupekuliwa. Huu ni "ulofa na upumbavu".
Kwan na wew upo kitengo cha uchunguzi...au unatumia atumiacho yeye maana kwa wenge lile lazima uwe stim

Sent using Jamii Forums mobile app
 


View attachment 547452
Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje wa Chadema, John Mrema amesema baada ya Tundu Lissu kutolewa ha Polisi cha Kati leo mchana, amefikishwa kwa Mkemia Mkuu wa Serikali na kupimwa mkojo.

Mapema asubuhi, mawakili akiwamo Fatma Karume walizuiliwa kuonana naye huku Jeshi la Polisi likisema litaendelea kumshikilia hadi uchunguzi utakapokamilika.

Mbunge huyo wa Singida Mashariki amekamatwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), akielekea Kigali, Rwanda kwenye kikao cha Halmashauri ya EALS kilichoanza jana.

"Kabla ya kuelekea nyumbani kwake Tegeta, wamempeleka kwa mkemia mkuu na ameshapimwa mkojo, sasa sijui ni kitu gani wanachunguza, kwa sasa wameshaelekea nyumbani kwake kwa ajili ya kumpekua,"amesema Mrema.


Licha ya kulala rumande hakuna aliyeruhusiwa kuingia na kumuona Tundu Lissu wakiwamo wanasheria wake. Mbali na Fatma, wengine waliokuwapo ni Peter Kibatala na Frederick Kihwelo.

====

UPDATE 1

Mapema kabla, Lissu alipitishwa kwa Mkemia Mkuu wa Serikali,alikataa kupimwa mkojo kwa sababu kipimo hicho hakihusiani na tuhuma za uchochezi.

More to follow

Examination ya mkojo inaweza kutoa hint as to why he behaves like he does.Behaviour yake sio ya kawaida kabisa.
 
Wanasheria mawakili wa afrika wanakutana Kigali Rwanda nchi ambayo demokrsia yake inatiliwa mashaka na nchi nyingi duniani kwa bahati nzuri Tanzania tunauhusiano wa kirafiki.sina wasiwa wowote mswahiba wa nchi hizi mbili wamekubaliana mhe.Antipasi tundu Lissu mwanaharakati,raisi wa chama cha wanasheria,wakili wa mahakama kuu,mwanasheria wa chadema na mbunge wa upinzani(Chadema) kuingia kwake Rwanda kuna hofiwa.!!!!!!!!!!!!!!!
 


View attachment 547452
Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje wa Chadema, John Mrema amesema baada ya Tundu Lissu kutolewa ha Polisi cha Kati leo mchana, amefikishwa kwa Mkemia Mkuu wa Serikali na kupimwa mkojo.

Mapema asubuhi, mawakili akiwamo Fatma Karume walizuiliwa kuonana naye huku Jeshi la Polisi likisema litaendelea kumshikilia hadi uchunguzi utakapokamilika.

Mbunge huyo wa Singida Mashariki amekamatwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), akielekea Kigali, Rwanda kwenye kikao cha Halmashauri ya EALS kilichoanza jana.

"Kabla ya kuelekea nyumbani kwake Tegeta, wamempeleka kwa mkemia mkuu na ameshapimwa mkojo, sasa sijui ni kitu gani wanachunguza, kwa sasa wameshaelekea nyumbani kwake kwa ajili ya kumpekua,"amesema Mrema.


Licha ya kulala rumande hakuna aliyeruhusiwa kuingia na kumuona Tundu Lissu wakiwamo wanasheria wake. Mbali na Fatma, wengine waliokuwapo ni Peter Kibatala na Frederick Kihwelo.

====

UPDATE 1

Mapema kabla, Lissu alipitishwa kwa Mkemia Mkuu wa Serikali,alikataa kupimwa mkojo kwa sababu kipimo hicho hakihusiani na tuhuma za uchochezi.

More to follow

Hah hah shujaa gani analia kama mtoto.
 
Kukataa kupima blood & urine cocaine level inaongeza suspicion level wa utumiaji wa hiyo kitu. Hata hivyo polisi wakidhibiti asipate hiyo kitu akiwa kokoroni withdraw symptoms (arosto) zitathibitisha maana tutasikia amekimbizwa Muhimbili. Asipoipata hiyo, basi itakuwa uchizi wa magonjwa mengine.

NB: Huko nyumbani kwake ambako polisi walienda kumpekua bila shaka walienda kupekuwa kama kuna unga. Wakivipata ushahidi wa kumpeleka mahakamani utakuwa umekamilika. Sijui wakili wake Fatums Karume alitaka Tundu apimwe mkojo na kupekuliwa nyumbani kwake kabla ya arrest? Si angeharibu ushahidi kwani kwanza angegoma kufanyiwa hivyo, ange deal dare hadi pale atakapokuwa amepoteza ushahidi.
 
Back
Top Bottom