Polisi wamsafirisha Niffer hadi Dar kutokea Dodoma baada ya kujisalimisha kufuatia agizo la Waziri Mkuu la kukamatwa

Duh! Kwahiyo akishughulikiwa anayeshabikia ccm anachekwa ila akishughulikiwa mtu wa upinzani inakuwa kaonewa?
 
Sio kirahisi hivyo.
 
Halafu huu ungese wa kuvunja sheria na kutaka huruma kisa jinsia ya kike inabidi ifike mwisho. Nimeona watu wengi wenye kauli za kipumbavu kwamba "kwanini unabishana na mtoto wa kike?".... nendeni central mkamtoe. Sheria haina jinsia
Inakuuma sana dogo wa 2000 kukuzudi mafanikio makurumbembe mishangazi ndo mmeaumua kupata faraja kwa kumuattack pumbafuu nyie
 
Inakuuma sana dogo wa 2000 kukuzudi mafanikio makurumbembe mishangazi ndo mmeaumua kupata faraja kwa kumuattack pumbafuu nyie
Kuna vijana wengi sana wadogo wana mafanikio kuliko Niffer ila wana nidhamu. Halafu kila mtu ana muda wake aliopangiwa kuwa na mafanikio. Ukiacha kuingiliwa utakuwa na akili.
 
Asipoelewa kwa maelezo haya hataelewa kamwe.
 
Unajua hata mie nilikua najiuliza sana,kwani tangu ijumaa niffer tupo nae Dodoma katika uzinduzi wa duka lake,sasa nawaza kua Dar alifika lini mpaka nakuanza changisha hiyo michango?
Juz watu wametekwa serikali ilichukua hatua gan ? Serikal ilishajiweka kando na jamii , Leo wanagombania michango ?
 

Na ndivyo sheria inataka hivyo , na wala haielezi kwamba lazima uombe kibali cha kukusanya .
Sheria inasema mtu yeyote akikusanya michango lazima aiwasilishe kwenye kamati.
 

Wewe huelewi kitu huyo binti hajavunja sheria
Nimekua ambatishia sheria ya maafa soma kifungu 35 na 36 kina maudhi ya alichokifanya huyo binti .
Kwa kuisoma hiyo sheria yote sijaona sehemu huyo binti amevunja sheria .
Labda tuelezwe kwamba hizo hela alizokusanya ameshazitumia kwa mambo yake
 

Attachments

Kibali awe nacho maana ata wale tunaowaona barabarani wanomba msaada wanaumwa wanakuwa na vibali tena vimepigwa lamination
[/QUOTE]

Sheria ya maafa hailezi hitaji la kuomba kibali kuchangisha.
Mtu yeyote anaweza kuchangisha ila atatakiwa kuzowasilisha fedha hizo kwenye kamati ya maafa
 

Attachments

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…