Polisi wamsafirisha Niffer hadi Dar kutokea Dodoma baada ya kujisalimisha kufuatia agizo la Waziri Mkuu la kukamatwa

Wwe ndiyo wa hovyo hadi nakuonea huruma, mmesha aambiwa mara nyingi sana kutokujua sheria siyo kinga ya kutokuchukuliwa hatua za kisheria!!
Hili 👆 👆 ni kweli kabisa na halina ubishi.
Lakini ni NANI anayetakiwa kuwafanya au kuwawezesha wale wasioijua Sheria waijue Sheria? Kama tukiwa waungwana kiUkweli, huyo mwezeshaji ndio awe wa kwanza kuwajibishwa halafu ndo huyo asiyejua Sheria afuate.
Ni sawa na kumlaumu mtoto asiyejua kusoma na kuandika kumbe wazazi wake ndo hawakumpeleka shule.
 
Na wewe .....tumia logic basi.......yeye yupo Dodoma amekusanyaje pesa ya wahanga akiwa Dodoma....kama sio utapeli ni nini?😀
Unajua hata mie nilikua najiuliza sana,kwani tangu ijumaa niffer tupo nae Dodoma katika uzinduzi wa duka lake,sasa nawaza kua Dar alifika lini mpaka nakuanza changisha hiyo michango?
 
Sio uchawa kihelehele
 
Wale ni vilaza bendera fata upepo kichwani ni zero
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…